Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe uliyeleta hoja ndio utetee hoja yako.., otherwise haina mashiko. Au laa BOT waache kuchapisha pesa.Tafuta majibu, ukipenda kutafuniwa, utatafuniwa hata mke
Pendekeza kwanza BOT waache kuchapisha pesa ndio tuendelee na hatua ya Lipa namba..Tuko katika era ya digital money, paper money itakuwepo, ila digital currency ndio Dunia ijayo
Aende kwa wakala aweke hela kwenye line yake. Kisha Arudi alipe kwa Lipa namba.Mtu mwenye cash mkononi atanunuaje bidhaa kwa Lipa namba?
Naunga Mkono hojaNaona ili kuepuka ukwepaji kodi kila mfanyabiashara aingizwe VAT, na iwe % ndogo wala sio 18 ya sasa, kwa sasa mtu anayelazimika kudai rist ni yule aliyeko vat ambaye hana vat hana habari na mambo ya rist, au yeyote yule anayetaka kufanya biashara na serikali lazima awe na vat, kuliko ilivyo sasa mwenye vat na asiye na vat wote mnakubalika serikakini.
Kuna mtu ame-like hiki ulichoandika [emoji24][emoji24][emoji24]Itaongeza WiGo wa kukusanya kodi na kuepusha vurugu za kukimbizana na TRA kisha kuondoa nafasi ya rushwa. Kimsingi hii itakuwa inatupeleka kuwa Taifa linalotumia paperless and coinless Money. Hence, kupunguza athari za climate change!!!
Bila shaka wewe ni muajiriwaUnapodai maendeleo, jiulize kama unalipa Kodi, nashauri Kila biashara ambayo haitumii EFD receipt, Sasa zilazimishwe kuwa na LIPA NAMBA.
Mfanyabiashara, kama anafanya biashara Kila siku, hajatoa taarifa kwa mamlaka kwamba ameifunga, angalau kwa wiki au mwezi aonekane kuitumia, na namba hiyo iwe inakata Kodi moja kwa moja kimtandao na kuiwasilisha TRA.
Hii inaweza kupunguza kukimbizana mitaani,kupanua wigo wa Kodi, na Kila mtu anapodai maendeleo, kwanza aonekane amewajibika kulipa Kodi.
Haina haja ya kununua device mpya, ni simu hiyohiyo ya mmiliki wa biashara na laini ya/za simu alizowasilisha kwa mamlaka na LIPA NAMBA yake, na kama inaonekana LIPA NAMBA haitumiki, basi mamlaka, kimfumo, Ione, na waweze kumfikia hata kimitego
Pole sana.Kuna mtu ame-like hiki ulichoandika [emoji24][emoji24][emoji24]
Hoja ni kwamba huwezi kumuadhibu mfanyabiashara kwa mteja kutokuwa na pesa kwenye simu..,Hata mtoto alianza kwa kutambaa bwashee, bado una hangover ya mbege na banana?
Sasa kwanini BOT ichapishe pesa isiyoweza kutumika? Ukizingatia kuchapisha pesa ni gharama kubwa sana? Na akalipa kwa cash kisha akapewa risiti yake.., utamfanya nini? Yaani uta-enforce vipi hilo agizo la lipa namba?Aende kwa wakala aweke hela kwenye line yake. Kisha Arudi alipe kwa Lipa namba.
Niitwe mbwa, nimekaa pale 😂😂Mimi mfanyabiashara, ila ni mzalendo sana