Ili kupunguza kuzuia wimbi la ndoa kuvunjika tuoane ndugu wa karibu

Ili kupunguza kuzuia wimbi la ndoa kuvunjika tuoane ndugu wa karibu

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Kuliwahi kutolewa taarifa hivi karibuni kuwa ndoa 300 kwa mwezi (sawa na ndoa 10 kwa siku) huvunjika jijini Dar es Salaam pekee.

Ili kupunguza ama kuondoa kabisa tatizo hili, mimi Sexless napendekeza ndugu wa karibu waoane kama wafanyavyo waarabu na wahindi.

Hili likifanyika litapunguza migogoro ya kwenye ndoa inayosababishwa na:-
(a) Tofauti za kimalezi
(b) Tofauti za kimila
(c) Tofauti za kipato
(d) Kutoaminiana baina ya wanandoa. Mume/mke anafanya baadhi ya vitu kwa siri pasipo mwenza kujua.

Hivyo tuoane watoto wa baba mdogo/mkubwa, watoto wa mama mdogo/mkubwa, watoto wa mjomba/shangazi, dada/watoto wa shemeji iwe rukhusa kuoana.

N.B. Tuwaepuke kaka na dada wale wa baba na mama mmoja tu.

( Moderator nitenganishie maneno kupunguza na kuzuia kwa kuweka alama ya mkwaju / katikati hapo kwenye heading).
 
House Targaryen
images(4).jpg
 
Kama kwenye ukoo wenu kuna wagonjwa wa Kisukari, Pumu, Sickle cell au Kifafa. Angalau itasaidia hayo magonjwa yatabaki kwenye ukoo wenu tu.
So unaamua uyasambaze. Kwani waarabu hizo Mambo hazipo mkuu. Reason yako iko weak kwa mtizamo wangu
 
Kuliwahi kutolewa taarifa hivi karibuni kuwa ndoa 300 kwa mwezi (sawa na ndoa 10 kwa siku) huvunjika jijini Dar es Salaam pekee.

Ili kupunguza ama kuondoa kabisa tatizo hili, mimi Sexless napendekeza ndugu wa karibu waoane kama wafanyavyo waarabu na wahindi.

Hili likifanyika litapunguza migogoro ya kwenye ndoa inayosababishwa na:-
(a) Tofauti za kimalezi
(b) Tofauti za kimila
(c) Tofauti za kipato
(d) Kutoaminiana baina ya wanandoa. Mume/mke anafanya baadhi ya vitu kwa siri pasipo mwenza kujua.

Hivyo tuoane watoto wa baba mdogo/mkubwa, watoto wa mama mdogo/mkubwa, watoto wa mjomba/shangazi, dada/watoto wa shemeji iwe rukhusa kuoana.

N.B. Tuwaepuke kaka na dada wale wa baba na mama mmoja tu.

( Moderator nitenganishie maneno kupunguza na kuzuia kwa kuweka alama ya mkwaju / katikati hapo kwenye heading).
Mie Ni mdau wa hii ishu ,yaani mie nilitaka kuoa mtt wa shangazi ujue.

Wakakataa home bado nilipooa Ni undugu ama ujamaa wa karibu. Mana dada wa babu yake akaolewa na babu yangu mdogo na sie wajukuu tumeona pia.

Na dada wa babu wa bamkwe aliolewa na babu kizaa mama wa mama yangu so tunafahimiana Ile mbaya kiundani sidhani hata umafia unaweza ukafanyika.


Yaani siku ukijua why ukitaka ubunge unaenda kwenu ndio wakuchague Ila kuoa hutaki kwenu unaenda pengine utajiona u mjinga ama mjanja
 
Kuliwahi kutolewa taarifa hivi karibuni kuwa ndoa 300 kwa mwezi (sawa na ndoa 10 kwa siku) huvunjika jijini Dar es Salaam pekee.

Ili kupunguza ama kuondoa kabisa tatizo hili, mimi Sexless napendekeza ndugu wa karibu waoane kama wafanyavyo waarabu na wahindi.

Hili likifanyika litapunguza migogoro ya kwenye ndoa inayosababishwa na:-
(a) Tofauti za kimalezi
(b) Tofauti za kimila
(c) Tofauti za kipato
(d) Kutoaminiana baina ya wanandoa. Mume/mke anafanya baadhi ya vitu kwa siri pasipo mwenza kujua.

Hivyo tuoane watoto wa baba mdogo/mkubwa, watoto wa mama mdogo/mkubwa, watoto wa mjomba/shangazi, dada/watoto wa shemeji iwe rukhusa kuoana.

N.B. Tuwaepuke kaka na dada wale wa baba na mama mmoja tu.

( Moderator nitenganishie maneno kupunguza na kuzuia kwa kuweka alama ya mkwaju / katikati hapo kwenye heading).
Mimi nimetimiza hilo.Mnipongeze.
 
Back
Top Bottom