👏👏👏Mimi nimetimiza hilo.Mnipongeze.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
👏👏👏Mimi nimetimiza hilo.Mnipongeze.
Fact📌📌📌Kuliwahi kutolewa taarifa hivi karibuni kuwa ndoa 300 kwa mwezi (sawa na ndoa 10 kwa siku) huvunjika jijini Dar es Salaam pekee.
Ili kupunguza ama kuondoa kabisa tatizo hili, mimi Sexless napendekeza ndugu wa karibu waoane kama wafanyavyo waarabu na wahindi.
Hili likifanyika litapunguza migogoro ya kwenye ndoa inayosababishwa na:-
(a) Tofauti za kimalezi
(b) Tofauti za kimila
(c) Tofauti za kipato
(d) Kutoaminiana baina ya wanandoa. Mume/mke anafanya baadhi ya vitu kwa siri pasipo mwenza kujua.
Hivyo tuoane watoto wa baba mdogo/mkubwa, watoto wa mama mdogo/mkubwa, watoto wa mjomba/shangazi, dada/watoto wa shemeji iwe rukhusa kuoana.
N.B. Tuwaepuke kaka na dada wale wa baba na mama mmoja tu.
( Moderator nitenganishie maneno kupunguza na kuzuia kwa kuweka alama ya mkwaju / katikati hapo kwenye heading).
😂😂😂Ukoo mzima tia maji tia majiMadhara yake kama ni uko wa wstu wajinga basi kizazi chenu chote kitakuwa cha watu wajinga watupu.
Kuliwahi kutolewa taarifa hivi karibuni kuwa ndoa 300 kwa mwezi (sawa na ndoa 10 kwa siku) huvunjika jijini Dar es Salaam pekee.
Ili kupunguza ama kuondoa kabisa tatizo hili, mimi Sexless napendekeza ndugu wa karibu waoane kama wafanyavyo waarabu na wahindi.
Hili likifanyika litapunguza migogoro ya kwenye ndoa inayosababishwa na:-
(a) Tofauti za kimalezi
(b) Tofauti za kimila
(c) Tofauti za kipato
(d) Kutoaminiana baina ya wanandoa. Mume/mke anafanya baadhi ya vitu kwa siri pasipo mwenza kujua.
Hivyo tuoane watoto wa baba mdogo/mkubwa, watoto wa mama mdogo/mkubwa, watoto wa mjomba/shangazi, dada/watoto wa shemeji iwe rukhusa kuoana.
N.B. Tuwaepuke kaka na dada wale wa baba na mama mmoja tu.
( Moderator nitenganishie maneno kupunguza na kuzuia kwa kuweka alama ya mkwaju / katikati hapo kwenye heading).
Umetimiza pia hili nn mkuuFact📌📌📌
licha kuwa kuoana ndug kuna saidia kiasi fulani ndoa kutovunjika . ila kuna hatar ya kurithishana malazi asa yale ya kurithi kwhy unawez ukakta babu mpk kitukuu wote n wagonjwa ..Kuliwahi kutolewa taarifa hivi karibuni kuwa ndoa 300 kwa mwezi (sawa na ndoa 10 kwa siku) huvunjika jijini Dar es Salaam pekee.
Ili kupunguza ama kuondoa kabisa tatizo hili, mimi Sexless napendekeza ndugu wa karibu waoane kama wafanyavyo waarabu na wahindi.
Hili likifanyika litapunguza migogoro ya kwenye ndoa inayosababishwa na:-
(a) Tofauti za kimalezi
(b) Tofauti za kimila
(c) Tofauti za kipato
(d) Kutoaminiana baina ya wanandoa. Mume/mke anafanya baadhi ya vitu kwa siri pasipo mwenza kujua.
Hivyo tuoane watoto wa baba mdogo/mkubwa, watoto wa mama mdogo/mkubwa, watoto wa mjomba/shangazi, dada/watoto wa shemeji iwe rukhusa kuoana.
N.B. Tuwaepuke kaka na dada wale wa baba na mama mmoja tu.
( Moderator nitenganishie maneno kupunguza na kuzuia kwa kuweka alama ya mkwaju / katikati hapo kwenye heading).
Achana na Akili kisoda huyoHivi sasa hatuoani ndugu kwa ndugu lkn watanzwnia ni wajinga hatari.
Kwann hatuoni huo ujinga ukitamalaki miongoni mwa waarabu na wahindi?
Kwamba hayo maradhi ndio upeleke koo zingine aulicha kuwa kuoana ndug kuna saidia kiasi fulani ndoa kutovunjika . ila kuna hatar ya kurithishana malazi asa yale ya kurithi kwhy unawez ukakta babu mpk kitukuu wote n wagonjwa ..
haina maana maradhi upeleke ukoo wengine ila unapunguz asilimia za maradhi kupngua mfano km kuna mtu ana albinism akioa ndani ya family kuna asilimia kubwa sana ya kupata mtot wny albinism maana vina saba mfanano vinakuwa vipo kwa wing ndan ya wazaz wawil... ila km utaoa family nyngn ambay aina albnisim kuna usalama wa kiasi fulan kutopata mtoto wny albinism.... maan mzaz moja tu ndo anakuw na tatz mwngn anakuw yupo safeKwamba hayo maradhi ndio upeleke koo zingine au
Umewahi gombana na nduguyo? If YES then hata ndugu mkioana kuvunjika kupo pale pale..!!!Kuliwahi kutolewa taarifa hivi karibuni kuwa ndoa 300 kwa mwezi (sawa na ndoa 10 kwa siku) huvunjika jijini Dar es Salaam pekee.
Ili kupunguza ama kuondoa kabisa tatizo hili, mimi Sexless napendekeza ndugu wa karibu waoane kama wafanyavyo waarabu na wahindi.
Hili likifanyika litapunguza migogoro ya kwenye ndoa inayosababishwa na:-
(a) Tofauti za kimalezi
(b) Tofauti za kimila
(c) Tofauti za kipato
(d) Kutoaminiana baina ya wanandoa. Mume/mke anafanya baadhi ya vitu kwa siri pasipo mwenza kujua.
Hivyo tuoane watoto wa baba mdogo/mkubwa, watoto wa mama mdogo/mkubwa, watoto wa mjomba/shangazi, dada/watoto wa shemeji iwe rukhusa kuoana.
N.B. Tuwaepuke kaka na dada wale wa baba na mama mmoja tu.
( Moderator nitenganishie maneno kupunguza na kuzuia kwa kuweka alama ya mkwaju / katikati hapo kwenye heading).