Ili Kutinga Robo Fainali CCL Simba Inalazimika kumvua Ubingwa Wydad Casablanca!

Ili Kutinga Robo Fainali CCL Simba Inalazimika kumvua Ubingwa Wydad Casablanca!

Huu ni ukweli Mchungu!
Simba wiki 2 zijazo ina kibarua kigumu!itakutana na Wydad mara mbili wiki ijayo! Mechi hizi zitakuwa ni ngumu mno Kwa Simba! Hii inatokana na ukweli kuwa ndio mechi zitakazoamua Ima Simba aende Robo Fainali au Wydad ajenge matumaininya kuingia Robo Fainali na kuendelea kutetea Ubingwa.
Bila shaka Mnyama anahitaji kudhirisha ukubwa wake!
Ubingwa upi?
 
Logic is very simple, Simba hata kumaliza kwa kuongoza kundi anaweza.

Simba hata akipoteza kwa Wydad sio kesi lakini LAZIMA nae amfunge Wydad hapa nyumbani, hapo atakuwa na pointi 5.

Then Simba akienda kwa Asec LAZIMA atafute draw yoyote, au ashinde, kwasababu wale wajinga walipata draw hapa, tugawane pointi moja, au tuondoke na tatu, hapo Simba atakuwa na pointi sita au nane.

Mechi ya mwisho na Galaxy kwa Mkapa, Simba LAZIMA ashinde, akishinda atafikisha pointi 11, hapo anaenda robo fainali bila shida tena kwa kuongoza kundi.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Simba hii hii ikamfunge Asec kwao? Hebu amka Mkuu, unaota.
 
Sema mpira una hisia za ajabu sana watu wamekaa mapovu yanatoka tunajadili ajira za watu na mabosi zao hao watu wala hawaongelei hilo
 
Simba hii ya akina Baleke na Onana hatufiki popote. Watu wanacheza Kama wamelazimishwa .
 
Mbna Humtaji Saidoo? Huyu ndo hatakiwi hata kucheza cha ajabu eti ndo anafanyiwa sub mwshoni, inakeraaa.
Ukimtoa Huyo mchezaji wetu wa zamani aliyechoka sababu ya umri mkubwa ndiyo makolo itakwishaa kabisa na kugaragara pale middle.
Yote kwa yote hasira ya Jana ya kutoshinda dhidi ya Mwarabu tutaileta kwa makolo mnyonge wetu next game
 
Logic is very simple, Simba hata kumaliza kwa kuongoza kundi anaweza.

Simba hata akipoteza kwa Wydad sio kesi lakini LAZIMA nae amfunge Wydad hapa nyumbani, hapo atakuwa na pointi 5.

Then Simba akienda kwa Asec LAZIMA atafute draw yoyote, au ashinde, kwasababu wale wajinga walipata draw hapa, tugawane pointi moja, au tuondoke na tatu, hapo Simba atakuwa na pointi sita au nane.

Mechi ya mwisho na Galaxy kwa Mkapa, Simba LAZIMA ashinde, akishinda atafikisha pointi 11, hapo anaenda robo fainali bila shida tena kwa kuongoza kundi.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Simba atakuwa na uwezo wa kumshinda ASEC kwao na Juaneng nyumbani maana wakati huo tayari atakuwa ameshafanya usajili mzuri. Lakini Mechi za Wydad anaweza kupata point 1 tu.
 
Huu ni ukweli Mchungu!
Simba wiki 2 zijazo ina kibarua kigumu!itakutana na Wydad mara mbili wiki ijayo! Mechi hizi zitakuwa ni ngumu mno Kwa Simba! Hii inatokana na ukweli kuwa ndio mechi zitakazoamua Ima Simba aende Robo Fainali au Wydad ajenge matumaininya kuingia Robo Fainali na kuendelea kutetea Ubingwa.
Bila shaka Mnyama anahitaji kudhirisha ukubwa wake!
upo sahihi kutoboa kwa simba kwenye hili kundi lazma wachukue pnts 4 au 6 kwa wydad...kinyume na hapo makolo RIP
 
Simba atakuwa na uwezo wa kumshinda ASEC kwao na Juaneng nyumbani maana wakati huo tayari atakuwa ameshafanya usajili mzuri. Lakini Mechi za Wydad anaweza kupata point 1 tu.
Unahakika hizo sajili zitafit?Sometimes kusajili ni sawa na kubet na dirisha dogo ni ngumu kupata wachezaji wazuri.

Cha msingi kocha awe na plan kwa wachezaji hao hao aliokuwa nao, kwenye usajili ukibugi kwenye dirisha kubwa ndio basi subiria msimu uishe.
 
Huu ni ukweli Mchungu!
Simba wiki 2 zijazo ina kibarua kigumu!itakutana na Wydad mara mbili wiki ijayo! Mechi hizi zitakuwa ni ngumu mno Kwa Simba! Hii inatokana na ukweli kuwa ndio mechi zitakazoamua Ima Simba aende Robo Fainali au Wydad ajenge matumaininya kuingia Robo Fainali na kuendelea kutetea Ubingwa.
Bila shaka Mnyama anahitaji kudhirisha ukubwa wake!
Wydad ni bingwa wa kombe lipi? Bingwa mtetezi wa Klabu Bingwa Africa ni Al Ahly.
 
Huu ni ukweli Mchungu!
Simba wiki 2 zijazo ina kibarua kigumu!itakutana na Wydad mara mbili wiki ijayo! Mechi hizi zitakuwa ni ngumu mno Kwa Simba! Hii inatokana na ukweli kuwa ndio mechi zitakazoamua Ima Simba aende Robo Fainali au Wydad ajenge matumaininya kuingia Robo Fainali na kuendelea kutetea Ubingwa.
Bila shaka Mnyama anahitaji kudhirisha ukubwa wake!
Wydad ni Bingwa?
 
Logic is very simple, Simba hata kumaliza kwa kuongoza kundi anaweza.

Simba hata akipoteza kwa Wydad sio kesi lakini LAZIMA nae amfunge Wydad hapa nyumbani, hapo atakuwa na pointi 5.

Then Simba akienda kwa Asec LAZIMA atafute draw yoyote, au ashinde, kwasababu wale wajinga walipata draw hapa, tugawane pointi moja, au tuondoke na tatu, hapo Simba atakuwa na pointi sita au nane.

Mechi ya mwisho na Galaxy kwa Mkapa, Simba LAZIMA ashinde, akishinda atafikisha pointi 11, hapo anaenda robo fainali bila shida tena kwa kuongoza kundi.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Mechi za nyumbani labda mbadilishe uwanja
 
Simba atakuwa na uwezo wa kumshinda ASEC kwao na Juaneng nyumbani maana wakati huo tayari atakuwa ameshafanya usajili mzuri. Lakini Mechi za Wydad anaweza kupata point 1 tu.
Kwahiyo wao ASEC hatasajili?
 
Back
Top Bottom