Ili Kutinga Robo Fainali CCL Simba Inalazimika kumvua Ubingwa Wydad Casablanca!

Ili Kutinga Robo Fainali CCL Simba Inalazimika kumvua Ubingwa Wydad Casablanca!

Huu ni ukweli Mchungu!
Simba wiki 2 zijazo ina kibarua kigumu!itakutana na Wydad mara mbili wiki ijayo! Mechi hizi zitakuwa ni ngumu mno Kwa Simba! Hii inatokana na ukweli kuwa ndio mechi zitakazoamua Ima Simba aende Robo Fainali au Wydad ajenge matumaininya kuingia Robo Fainali na kuendelea kutetea Ubingwa.
Bila shaka Mnyama anahitaji kudhirisha ukubwa wake!
Na Uto je?
 
Ukimtoa Huyo mchezaji wetu wa zamani aliyechoka sababu ya umri mkubwa ndiyo makolo itakwishaa kabisa na kugaragara pale middle.
Yote kwa yote hasira ya Jana ya kutoshinda dhidi ya Mwarabu tutaileta kwa makolo mnyonge wetu next game
Sioni Saidoo anachokifanyaa, afurushweeeeee.
 
Jwaneng Galaxy yeye anashinda ugenini.
Kamfunga
Wydad 0:1
Orlando pirates 0:1
Simba 1:3
Tujipange, tuache hesabu uchwara
hajamfunga orlando away acha bangi alipigwa kimoja akashinda kwa matuta
 
Back
Top Bottom