beefinjector
JF-Expert Member
- Jul 23, 2009
- 2,458
- 2,496
Ubingwa upi?Huu ni ukweli Mchungu!
Simba wiki 2 zijazo ina kibarua kigumu!itakutana na Wydad mara mbili wiki ijayo! Mechi hizi zitakuwa ni ngumu mno Kwa Simba! Hii inatokana na ukweli kuwa ndio mechi zitakazoamua Ima Simba aende Robo Fainali au Wydad ajenge matumaininya kuingia Robo Fainali na kuendelea kutetea Ubingwa.
Bila shaka Mnyama anahitaji kudhirisha ukubwa wake!
Simba hii hii ikamfunge Asec kwao? Hebu amka Mkuu, unaota.Logic is very simple, Simba hata kumaliza kwa kuongoza kundi anaweza.
Simba hata akipoteza kwa Wydad sio kesi lakini LAZIMA nae amfunge Wydad hapa nyumbani, hapo atakuwa na pointi 5.
Then Simba akienda kwa Asec LAZIMA atafute draw yoyote, au ashinde, kwasababu wale wajinga walipata draw hapa, tugawane pointi moja, au tuondoke na tatu, hapo Simba atakuwa na pointi sita au nane.
Mechi ya mwisho na Galaxy kwa Mkapa, Simba LAZIMA ashinde, akishinda atafikisha pointi 11, hapo anaenda robo fainali bila shida tena kwa kuongoza kundi.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Ukimtoa Huyo mchezaji wetu wa zamani aliyechoka sababu ya umri mkubwa ndiyo makolo itakwishaa kabisa na kugaragara pale middle.Mbna Humtaji Saidoo? Huyu ndo hatakiwi hata kucheza cha ajabu eti ndo anafanyiwa sub mwshoni, inakeraaa.
Simba atakuwa na uwezo wa kumshinda ASEC kwao na Juaneng nyumbani maana wakati huo tayari atakuwa ameshafanya usajili mzuri. Lakini Mechi za Wydad anaweza kupata point 1 tu.Logic is very simple, Simba hata kumaliza kwa kuongoza kundi anaweza.
Simba hata akipoteza kwa Wydad sio kesi lakini LAZIMA nae amfunge Wydad hapa nyumbani, hapo atakuwa na pointi 5.
Then Simba akienda kwa Asec LAZIMA atafute draw yoyote, au ashinde, kwasababu wale wajinga walipata draw hapa, tugawane pointi moja, au tuondoke na tatu, hapo Simba atakuwa na pointi sita au nane.
Mechi ya mwisho na Galaxy kwa Mkapa, Simba LAZIMA ashinde, akishinda atafikisha pointi 11, hapo anaenda robo fainali bila shida tena kwa kuongoza kundi.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Mmh sio kwa simba hii, simba hatujashinda hata mechi 1 kimataifa kati ya mechi 6?
upo sahihi kutoboa kwa simba kwenye hili kundi lazma wachukue pnts 4 au 6 kwa wydad...kinyume na hapo makolo RIPHuu ni ukweli Mchungu!
Simba wiki 2 zijazo ina kibarua kigumu!itakutana na Wydad mara mbili wiki ijayo! Mechi hizi zitakuwa ni ngumu mno Kwa Simba! Hii inatokana na ukweli kuwa ndio mechi zitakazoamua Ima Simba aende Robo Fainali au Wydad ajenge matumaininya kuingia Robo Fainali na kuendelea kutetea Ubingwa.
Bila shaka Mnyama anahitaji kudhirisha ukubwa wake!
Unahakika hizo sajili zitafit?Sometimes kusajili ni sawa na kubet na dirisha dogo ni ngumu kupata wachezaji wazuri.Simba atakuwa na uwezo wa kumshinda ASEC kwao na Juaneng nyumbani maana wakati huo tayari atakuwa ameshafanya usajili mzuri. Lakini Mechi za Wydad anaweza kupata point 1 tu.
Wydad ni bingwa wa kombe lipi? Bingwa mtetezi wa Klabu Bingwa Africa ni Al Ahly.Huu ni ukweli Mchungu!
Simba wiki 2 zijazo ina kibarua kigumu!itakutana na Wydad mara mbili wiki ijayo! Mechi hizi zitakuwa ni ngumu mno Kwa Simba! Hii inatokana na ukweli kuwa ndio mechi zitakazoamua Ima Simba aende Robo Fainali au Wydad ajenge matumaininya kuingia Robo Fainali na kuendelea kutetea Ubingwa.
Bila shaka Mnyama anahitaji kudhirisha ukubwa wake!
Ni makamu bingwa!! Ni mshindi wa pili caf champions league 2022/2023!!Wydad ana ubingwa gani?
Muombe wasimfukuze kocha wao wa sasaWydad Casablanca inafungwa kirahisi tu; siyo ile ya zamani.
Wydad ni Bingwa?Huu ni ukweli Mchungu!
Simba wiki 2 zijazo ina kibarua kigumu!itakutana na Wydad mara mbili wiki ijayo! Mechi hizi zitakuwa ni ngumu mno Kwa Simba! Hii inatokana na ukweli kuwa ndio mechi zitakazoamua Ima Simba aende Robo Fainali au Wydad ajenge matumaininya kuingia Robo Fainali na kuendelea kutetea Ubingwa.
Bila shaka Mnyama anahitaji kudhirisha ukubwa wake!
Mechi za nyumbani labda mbadilishe uwanjaLogic is very simple, Simba hata kumaliza kwa kuongoza kundi anaweza.
Simba hata akipoteza kwa Wydad sio kesi lakini LAZIMA nae amfunge Wydad hapa nyumbani, hapo atakuwa na pointi 5.
Then Simba akienda kwa Asec LAZIMA atafute draw yoyote, au ashinde, kwasababu wale wajinga walipata draw hapa, tugawane pointi moja, au tuondoke na tatu, hapo Simba atakuwa na pointi sita au nane.
Mechi ya mwisho na Galaxy kwa Mkapa, Simba LAZIMA ashinde, akishinda atafikisha pointi 11, hapo anaenda robo fainali bila shida tena kwa kuongoza kundi.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Kwahiyo wao ASEC hatasajili?Simba atakuwa na uwezo wa kumshinda ASEC kwao na Juaneng nyumbani maana wakati huo tayari atakuwa ameshafanya usajili mzuri. Lakini Mechi za Wydad anaweza kupata point 1 tu.
mumeshauroga?Mechi za nyumbani labda mbadilishe uwanja