Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 17,048
- 22,790
Azam TV inadhamini zote za ligi kuu. Kama ilikuwa hujui başı kuanzia sasa Elewa hivyo.Una uhakika? Unajuaa maana ya mdhamini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Azam TV inadhamini zote za ligi kuu. Kama ilikuwa hujui başı kuanzia sasa Elewa hivyo.Una uhakika? Unajuaa maana ya mdhamini?
Kwahy kuonyesha ndio kuzamini?Azam TV inadhamini zote za ligi kuu. Kama ilikuwa hujui başı kuanzia sasa Elewa hivyo.
kudhamini ni nini?Kwahy kuonyesha ndio kuzamini?
🗑️kudhamini ni nini?
KWELI MKUUMambo ya mechi kila siku ya wiki tuyaache
MKUUU UPO NGOJA LIGI IANZE TUKUTANE KULE KWENYE UZI WETU
Wanakera timu zenyewe hazina hela alafu unachezesha mechi saa nane mchana siku ya alhamisiKWELI MKUU
Hiyo hisa 49% ulimpa wewe?Udhamini wa Sportpesa ni sawa na CRD na NMB.
GSM ni muwekezaji directly wa Yanga na ndio maana ana hisa 49%
AKIKUJIBU NITAGHiyo hisa 49% ulimpa wewe?
Nb. Huku hakuna mbumbumbu.
Azam ni wadhamini wa Klabu zote za NBC Premier League, je tuseme timu yake kumdondosha Kolo hadi nafasi ya 3 ni match fixing?7. Mdhamini mmoja kudhamini vilabu zaidi ya 5 ni indication ya match fixing.
AKIKUJIBU UNITAGAzam ni wadhamini wa Klabu zote za NBC Premier League, je tuseme timu yake kumdondosha Kolo hadi nafasi ya 3 ni match fixing?
Hapa sijakuelewa, unataka ratiba ya saa 8 ufutwe, alafu unata Simba na yanga zicheze saa 8 mchana.Ratiba ya saa nane mchana ifutwe au Simba na Yanga nazo zipangiwe ratiba ya mchana wa
Mkuu hujaelewa nini hapo?Hapa sijakuelewa, unataka ratiba ya saa 8 ufutwe, alafu unata Simba na yanga zicheze saa 8 mchana.
Mkuu hujaelewa nini hapo?
Kwa akili hizi Mangungu yupo sahihi kuwaletea ManzokiKwahy kuonyesha ndio kuzamini?
Basi ama wewe ni Simba luza au hueweli maana ya kudhamini.
Mkuu, hizo n malipo ya haki ya kuonyesha mechi zao, Azam ndio anayeonyesha ligi hvy kwakuwa anapata faida watu kununua vifurushi kwa ajili ya kuona mechi za team flani ndio mana akaambiwa anatakiwa kuwalipa, na Azam ndio anatoa pesa nyingi kwenye ligi kumzidi hata huyo mdhamini mkuu wa ligi NBC.Basi ama wewe ni Simba luza au hueweli maana ya kudhamini.
Kudhamini maana ya yake ni kusaidia; hiyo ni tofauti kabisa na kuwekeza.
Azam TV inazisaidia timu zote za ligi kuu kwa kuwapa pesa cash TSh ili ipate haki za kurusha matangazo ya michezo hiyo.
View attachment 3035264