Ili ligi yetu iwe bora na ya kuvutia TFF na Bodi ya ligi inapaswa kushughulika na haya yafuatayo

Yaani unataka ratiba ya kucheza saa 8, baadhi ya timu ifutwe, au Simba na yanga nao, wakicheza saa nane hamna shida, ratiba iendelee tu.
Ndio iwe hivyo kusiwepo na ubaguzi, ukiangalia ratiba miaka yote haijawahi kutokea hata mara moja Simba au Yanga akacheza saa nane mchana. Kibaya zaidi hali ya hewa hapa nchini maeneo mengi saa nane ni jua kali, inakuaje timu nyingine zicheze hawa wengine wasicheze kama kweli tumedhamiria kutengeneza fair competition?
 
Hawakuandika kuwa ni malipo ya kununua haki, bali ni udhamaini unaoendana na wao kupata haki hizo. Ni kama ambavyo SportPesa anaidhamini yanga na kupitia udhamini huo anaoata haki ya jina lake kuandikwa kifuani mwa jezi ya Yanga.
 
Hawakuandika kuwa ni malipo ya kununua haki, bali ni udhamaini unaoendana na wao kupata haki hizo
😂 Ww mwnyw Umeelewa ulichokiandika hapa 😂
Ni kama ambavyo SportPesa anaidhamini yanga na kupitia udhamini huo anaoata haki ya jina lake kuandikwa kifuani mwa jezi ya Yanga.
Haya ni wap nembo ya Azam umeiona kwenye jezi za timu?
 
Kwa hio mdhamini hatakiwi kupata faida? kweli Rage aliona mbali
 
😂 Ww mwnyw Umeelewa ulichokiandika hapa 😂

Haya ni wap nembo ya Azam umeiona kwenye jezi za timu?
Kuna title sponsor na co-sponsor NBC ni title sponsor ndio maana ana kaa kwenye jezi kwa akili hizi Mangungu yupo sahihi
 
Kwenye viwanja ndo muhimu sana ni kiwa na maana pitch ya kiwanja vyote vitkavyo kuwa vnatumiwa vwe na hadhi ya uwanja wa taifa tutaenjoy mpira kwa sisi watazamaji na hao wachezaj pia
 
Kwenye viwanja ndo muhimu sana ni kiwa na maana pitch ya kiwanja vyote vitkavyo kuwa vnatumiwa vwe na hadhi ya uwanja wa taifa tutaenjoy mpira kwa sisi watazamaji na hao wachezaj pia
Well said mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…