Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Una hoja, usikilizwe"Nikiwa na miaka 20 nilikuwa na vigezo zaidi ya kurasa mbili. Lkn sasa nimeondoa vigezo vyote kimebakia cha pumzi tu.
Kama unapumua karibu pm tuyajenge" aliandika mdada mmoja.
My take:
Hamu ya ndoa ina-frustrate watu nyie. Asikwambie mtu.