"Ili mradi unapumua" ndiyo kigezo kilichobakia

"Ili mradi unapumua" ndiyo kigezo kilichobakia

"Nikiwa na miaka 20 nilikuwa na vigezo zaidi ya kurasa mbili. Lkn sasa nimeondoa vigezo vyote kimebakia cha pumzi tu.

Kama unapumua karibu pm tuyajenge" aliandika mdada mmoja.

My take:
Hamu ya ndoa ina-frustrate watu nyie. Asikwambie mtu.
Una hoja, usikilizwe
 
Ndoa ni raha sana, lakini kinacho fanya ndoa ionekane jehanam ni tamaa zetu binadamu.

Ukijikubali ulivyo ndoa raha sana, so vp mwenzio atajikubali na yeye? Hapo ndo tizi bwashee.

Watu wameishi kwa kuvumiliana, kila ndoa ina matatizo hata ya babu na baba yangu ilikuwa vivyo hivyo, muhimu ni usiri kutunziana madhaifu.

Dunia ya leo usiri hamna tena kila kitu hadharani mchana kweupe, ukijumlishia na tamaa ya pesa ndo basi kabisa.
 
"Nikiwa na miaka 20 nilikuwa na vigezo zaidi ya kurasa mbili. Lakini sasa nina 30 nimeondoa vigezo vyote kimebakia cha pumzi tu.

Kama unapumua karibu pm tuyajenge" aliandika mdada mmoja.

My take:
Hamu ya ndoa ina-frustrate watu nyie. Asikwambie mtu.
Endeleeni kuchagua chagua miaka inatembea
 
"Nikiwa na miaka 20 nilikuwa na vigezo zaidi ya kurasa mbili. Lakini sasa nina 30 nimeondoa vigezo vyote kimebakia cha pumzi tu.

Kama unapumua karibu pm tuyajenge" aliandika mdada mmoja.

My take:
Hamu ya ndoa ina-frustrate watu nyie. Asikwambie mtu.
Never give up!!!
Ndoa siyo umri.
Haina limitation.
 
Back
Top Bottom