Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Una hoja, usikilizwe"Nikiwa na miaka 20 nilikuwa na vigezo zaidi ya kurasa mbili. Lkn sasa nimeondoa vigezo vyote kimebakia cha pumzi tu.
Kama unapumua karibu pm tuyajenge" aliandika mdada mmoja.
My take:
Hamu ya ndoa ina-frustrate watu nyie. Asikwambie mtu.
Yaan acha tu mkuuKwenye macho ya watu na jamii ndoa ni furaha,but ukiwa ndani ni zaidi ya jahanamu.
Isingekuwa watoto sijui hali ingekuwaje,angalau MTU ukiwaona wanakupa faraja kidogo.
"Ili mradi anapumua?" Anashida na pumzi yangu au? π π π
ππππkikubwa pumzi mengine atavumilia"Ili mradi anapumua?" Anashida na pumzi yangu au? π π π
My wangu unataka akaniue, ubaki mjane? π π π
Ilo ni dume. Sio interest zangu watu wa aina hiyo π π πππππkikubwa pumzi mengine atavumilia
Huwezi kufa
KumbeIlo ni dume. Sio interest zangu watu wa aina hiyo π π π
Ndio, sema hapendi msoto. Ndio maana kachagua njia hiyo π πKumbe
Raha ππNdio, sema hapendi msoto. Ndio maana kachagua njia hiyo π π
Tumpe pole aisee π πRaha ππ
Kumbe Sexless ni dume shoga π€π€Tumpe pole aisee π π
Pole sanaaa wenye ndoa zenu.Kwenye macho ya watu na jamii ndoa ni furaha, but ukiwa ndani ni zaidi ya jahanamu.
Isingekuwa watoto sijui hali ingekuwaje, angalau MTU ukiwaona wanakupa faraja kidogo.
Endeleeni kuchagua chagua miaka inatembea"Nikiwa na miaka 20 nilikuwa na vigezo zaidi ya kurasa mbili. Lakini sasa nina 30 nimeondoa vigezo vyote kimebakia cha pumzi tu.
Kama unapumua karibu pm tuyajenge" aliandika mdada mmoja.
My take:
Hamu ya ndoa ina-frustrate watu nyie. Asikwambie mtu.
[emoji23][emoji23][emoji23]We utakuja kusukumizwa gogo kwenye kinyero
Endelea
Never give up!!!"Nikiwa na miaka 20 nilikuwa na vigezo zaidi ya kurasa mbili. Lakini sasa nina 30 nimeondoa vigezo vyote kimebakia cha pumzi tu.
Kama unapumua karibu pm tuyajenge" aliandika mdada mmoja.
My take:
Hamu ya ndoa ina-frustrate watu nyie. Asikwambie mtu.
[emoji23][emoji23][emoji23]