Ili RPC afukuzwe kazi au ahamishiwe Makao Makuu inahitajika matukio mangapi ya kihalifu yatokee kwenye Mkoa wake?

Ili RPC afukuzwe kazi au ahamishiwe Makao Makuu inahitajika matukio mangapi ya kihalifu yatokee kwenye Mkoa wake?

Mungu ambariki afande muroto

Mungu hawezi kubariki Mnafiki Kama Muroto. Awe mwangalifu tu maana yasije yakamfika ya Pierre Kurunzinza wa Burundi! Hivi vimelea vya Udikteta havilipi chochote zaidi ya kujipatia hukumu mbele za Mungu!
 
RPC Muroto kamanda Polisi Mkoa wa Dodoma ameshindwa kazi ya kulinda Usalama wa Raia na Viongozi wa Jiji la Dodoma.
RPC Muroto anastahili kupumzishwa(to be fired) kwa Uzembe kutokana na matukio makubwa yanayotokea Dodoma na hafanyi lolote.


Wakti Lissu anapigwa Risasi Muroto alikuwa RPC lakini mpaka leo miaka zaidi ya 2 hajakamata hata Kiroboto! Kifo Cha Sheikh Bura keep na zaidi ya mwaka hajakamata hata Kiroboto na Jana tena Mhe Mbowe kushambuliwa na Watu wasiojulikana Muroto anapiga sound tu. Ni saa ya kutumbuliwa akapumxike maana kazi imemshinda.
Kama ataachwa aendelee kuwa RPC Dodoma basi Watz wajue kuwa yeye ni SEHEMU ya genge la WASIOJULIKANA.
Hapo hawezi kutumbuliwa kwani ndiyo katekeleza yale aliyotakiwa kufanya. Na asingetekeleza amri zile basi hapo ndipo angeonekana hana utii kwa Wakuu. Sana sana hapo usishanhae kupandishwa cheo.
 
RPC Muroto kamanda Polisi Mkoa wa Dodoma ameshindwa kazi ya kulinda Usalama wa Raia na Viongozi wa Jiji la Dodoma.
RPC Muroto anastahili kupumzishwa(to be fired) kwa Uzembe kutokana na matukio makubwa yanayotokea Dodoma na hafanyi lolote.


Wakti Lissu anapigwa Risasi Muroto alikuwa RPC lakini mpaka leo miaka zaidi ya 2 hajakamata hata Kiroboto! Kifo Cha Sheikh Bura keep na zaidi ya mwaka hajakamata hata Kiroboto na Jana tena Mhe Mbowe kushambuliwa na Watu wasiojulikana Muroto anapiga sound tu. Ni saa ya kutumbuliwa akapumxike maana kazi imemshinda.
Kama ataachwa aendelee kuwa RPC Dodoma basi Watz wajue kuwa yeye ni SEHEMU ya genge la WASIOJULIKANA.
Sasa mtu amelewa. Unataka RPC azuie pombe
 
Hili ni swali ninalompelekea IGP Simon Sirro, kwamba Ili RPC aonekane ameshindwa kazi ya kulinda usalama wa Raia na mali zao kunahitajika uhalifu wa kiwango gani utokee?

Jana ni Lissu, leo ni Mbowe, kesho ni nani?

Ili ionekane RPC kishashindwa kazi ni kipi kinatakiwa kitokee, na je ni Umri upi wa mwisho kwa ofisa wa polisi kuendelea kulitumikia jeshi hilo, anaruhusiwa hata akiwa mzee wa miaka 70? Uwezo wake wa kulitumikia jeshi utakuwa na weledi wowote?
Inasikitisha sana
 
RPC Muroto kamanda Polisi Mkoa wa Dodoma ameshindwa kazi ya kulinda Usalama wa Raia na Viongozi wa Jiji la Dodoma.
RPC Muroto anastahili kupumzishwa(to be fired) kwa Uzembe kutokana na matukio makubwa yanayotokea Dodoma na hafanyi lolote.


Wakti Lissu anapigwa Risasi Muroto alikuwa RPC lakini mpaka leo miaka zaidi ya 2 hajakamata hata Kiroboto! Kifo Cha Sheikh Bura keep na zaidi ya mwaka hajakamata hata Kiroboto na Jana tena Mhe Mbowe kushambuliwa na Watu wasiojulikana Muroto anapiga sound tu. Ni saa ya kutumbuliwa akapumxike maana kazi imemshinda.
Kama ataachwa aendelee kuwa RPC Dodoma basi Watz wajue kuwa yeye ni SEHEMU ya genge la WASIOJULIKANA.
Anakamataga. vibaka anaanza kuwahoji
 
Hili ni swali ninalompelekea IGP Simon Sirro, kwamba Ili RPC aonekane ameshindwa kazi ya kulinda usalama wa Raia na mali zao kunahitajika uhalifu wa kiwango gani utokee?

Jana ni Lissu, leo ni Mbowe, kesho ni nani?

Ili ionekane RPC kishashindwa kazi ni kipi kinatakiwa kitokee, na je ni Umri upi wa mwisho kwa ofisa wa polisi kuendelea kulitumikia jeshi hilo, anaruhusiwa hata akiwa mzee wa miaka 70? Uwezo wake wa kulitumikia jeshi utakuwa na weledi wowote?
Tatizo huwa mnalipuka bila kutulia na kupata ukweli umekosa cha kuandika mpaka unajaa povu kwa kisa cha mlevi kuanguka Mbowe hana impact yeyote kwenye jamii mpaka dola imshambulie, Hata kama angekuwa kashambuliwa siyo jambo la ajabu kwa watu wazima kama mimi labda kwa watoto wasiojua kitu kama wewe kumbuka Mbowe ana uadui na wabunge aliowafukuza chamani kwake lakini pia ujue Dodoma siyo peponi kwamba hakuna uhalifu na kama ingekuwa hakuna uhalifu hata huyo RPC MUROTO unayemtolea povu asingekuwepo kwa taarifa yako wanapokuwepo Polisi maana yake kuna uhalifu na panaokuwepo madaktari tambua kuna wagonjwa hivyo kwa habari ya mlevi kuvamiwa na vibaka siyo jambo la kushangaza.
 
Hili ni swali ninalompelekea IGP Simon Sirro, kwamba Ili RPC aonekane ameshindwa kazi ya kulinda usalama wa Raia na mali zao kunahitajika uhalifu wa kiwango gani utokee?

Jana ni Lissu, leo ni Mbowe, kesho ni nani?

Ili ionekane RPC kishashindwa kazi ni kipi kinatakiwa kitokee, na je ni Umri upi wa mwisho kwa ofisa wa polisi kuendelea kulitumikia jeshi hilo, anaruhusiwa hata akiwa mzee wa miaka 70? Uwezo wake wa kulitumikia jeshi utakuwa na weledi wowote?
Yaani sababu ya mbowe na lissu tu? Hata simiyu unafanyika uhalifu. Hao uliowataja hawajaweka standard...
 
Bapa halijawahi kumuacha mtu salama
IMG-20200609-WA0015.jpg
 
Hili ni swali ninalompelekea IGP Simon Sirro, kwamba Ili RPC aonekane ameshindwa kazi ya kulinda usalama wa Raia na mali zao kunahitajika uhalifu wa kiwango gani utokee?

Jana ni Lissu, leo ni Mbowe, kesho ni nani?

Ili ionekane RPC kishashindwa kazi ni kipi kinatakiwa kitokee, na je ni Umri upi wa mwisho kwa ofisa wa polisi kuendelea kulitumikia jeshi hilo, anaruhusiwa hata akiwa mzee wa miaka 70? Uwezo wake wa kulitumikia jeshi utakuwa na weledi wowote?
Kwa hiyo unataka RPC afukuzwe kwa ulevi wa mbowe?
 
Back
Top Bottom