Ili RPC afukuzwe kazi au ahamishiwe Makao Makuu inahitajika matukio mangapi ya kihalifu yatokee kwenye Mkoa wake?

Mungu ambariki afande muroto

Mungu hawezi kubariki Mnafiki Kama Muroto. Awe mwangalifu tu maana yasije yakamfika ya Pierre Kurunzinza wa Burundi! Hivi vimelea vya Udikteta havilipi chochote zaidi ya kujipatia hukumu mbele za Mungu!
 
Hapo hawezi kutumbuliwa kwani ndiyo katekeleza yale aliyotakiwa kufanya. Na asingetekeleza amri zile basi hapo ndipo angeonekana hana utii kwa Wakuu. Sana sana hapo usishanhae kupandishwa cheo.
 
Sasa mtu amelewa. Unataka RPC azuie pombe
 
Inasikitisha sana
 
Anakamataga. vibaka anaanza kuwahoji
 
Tatizo huwa mnalipuka bila kutulia na kupata ukweli umekosa cha kuandika mpaka unajaa povu kwa kisa cha mlevi kuanguka Mbowe hana impact yeyote kwenye jamii mpaka dola imshambulie, Hata kama angekuwa kashambuliwa siyo jambo la ajabu kwa watu wazima kama mimi labda kwa watoto wasiojua kitu kama wewe kumbuka Mbowe ana uadui na wabunge aliowafukuza chamani kwake lakini pia ujue Dodoma siyo peponi kwamba hakuna uhalifu na kama ingekuwa hakuna uhalifu hata huyo RPC MUROTO unayemtolea povu asingekuwepo kwa taarifa yako wanapokuwepo Polisi maana yake kuna uhalifu na panaokuwepo madaktari tambua kuna wagonjwa hivyo kwa habari ya mlevi kuvamiwa na vibaka siyo jambo la kushangaza.
 
Yaani sababu ya mbowe na lissu tu? Hata simiyu unafanyika uhalifu. Hao uliowataja hawajaweka standard...
 
Kwa hiyo unataka RPC afukuzwe kwa ulevi wa mbowe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…