ulichokiandika watu wengi hawajakielewa, umetoa elimu kubwa sana kwa wavivu wa kufikiria, hili uliloliwaza ndio jibu sahihi. siku moja kabla ya mechi ofisini tulikuwa tunabishana kuwa kwa mwarabu yanga hatoki, nikawaambia yanga anaenda kushinda kwa sababu wataingia uwanjani na k.ti. moto aisee nilishambuliwa balaa