Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 4,107
- 9,671
Watanunua gari la DED milioni 600.Hizo hela zinapelekwa wapi? Angechanganua vizuri sio kuwaacha watu kwenye sintofahamu ya ajabu ajabu unakusanya Pesa hausemi unazipeleka wapi nani atakuelewa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watanunua gari la DED milioni 600.Hizo hela zinapelekwa wapi? Angechanganua vizuri sio kuwaacha watu kwenye sintofahamu ya ajabu ajabu unakusanya Pesa hausemi unazipeleka wapi nani atakuelewa?
Mazishi nayo ni sherehe. Yanakuwa naKwa wasio na taarifa, tangazo hili hapa!View attachment 2997156
Tanzania Nationa e- Procurement system yaaani TANePS....View attachment 2997156
Manispaa ya Moshi chini ya Sheria ndogo za (ada na ushuruj ya Mwaka 2019, Tangazo in Serikali Na. 148 la Tarehe 15/02/2019, imeainisha ada na tozo mbalimbali katika kuendesha sherehe kwenye kumbi na maeneo ya starehe.
Mchanganuo wa ada na tozo hizo ni kama ifuatavyo;
JUMLA KUU: Tshs 230,000.00
- Tshs. 60,000.00, Kibali cha kufanya sherehe
- Malipo kutoka kwa mpambaji wa sherehe Tshs. 50,000.00 Tshs. 50,000.00
- Malipo chakula na vinywaji Tshs. 30,000.00
- Mshercheshaji wa sherehe (MC) Tsh. 30,000
- Mpiga picha wa sherehe Tshs. 20,000.00
- Muziki Tshs. 20,000,00
Fedha hizi zinatakiwa kulipwa na Mwenye sherehe ndipo apatiwe kibali cha kuendesha sherehe husika. Aidha mmiliki wa Ukumbi anapaswa kuhakikisha kwamba Mwenye sherehe anakupatia nakala ya kibali kabla ya kumruhusu kutumia Ukumbi. ANGALIZO: Iwapo wakala hatakuta kibali ukumbini, sherehe itazuiwa kufanyika kuanzia muda huo.
Kwa barua hii namtambulisha kwenu ULOFAMO AUCTIONEER AND COURT BROKERS LTD, wakala atakayehusika na usimamizi wa ukiukwaji wa ada na tozo tajwa kifungu cha 3 hapo juu.
naona sasa wazee wa kataa ndoa wanapaishwa sana mawinguni kama ndege ya raisi wa iranView attachment 2997156
Manispaa ya Moshi chini ya Sheria ndogo za (ada na ushuruj ya Mwaka 2019, Tangazo in Serikali Na. 148 la Tarehe 15/02/2019, imeainisha ada na tozo mbalimbali katika kuendesha sherehe kwenye kumbi na maeneo ya starehe.
Mchanganuo wa ada na tozo hizo ni kama ifuatavyo;
JUMLA KUU: Tshs 230,000.00
- Tshs. 60,000.00, Kibali cha kufanya sherehe
- Malipo kutoka kwa mpambaji wa sherehe Tshs. 50,000.00 Tshs. 50,000.00
- Malipo chakula na vinywaji Tshs. 30,000.00
- Mshercheshaji wa sherehe (MC) Tsh. 30,000
- Mpiga picha wa sherehe Tshs. 20,000.00
- Muziki Tshs. 20,000,00
Fedha hizi zinatakiwa kulipwa na Mwenye sherehe ndipo apatiwe kibali cha kuendesha sherehe husika. Aidha mmiliki wa Ukumbi anapaswa kuhakikisha kwamba Mwenye sherehe anakupatia nakala ya kibali kabla ya kumruhusu kutumia Ukumbi. ANGALIZO: Iwapo wakala hatakuta kibali ukumbini, sherehe itazuiwa kufanyika kuanzia muda huo.
Kwa barua hii namtambulisha kwenu ULOFAMO AUCTIONEER AND COURT BROKERS LTD, wakala atakayehusika na usimamizi wa ukiukwaji wa ada na tozo tajwa kifungu cha 3 hapo juu.
Takukuru huko Kilimanjaro, fuatilieni hii tenda.Tanzania Nationa e- Procurement system yaaani TANePS....
envelope single
Bid ID ni 693709
Financial Value Tzs 1050.000.00.00( hii inasomeka Tsh ngapi?)*
Ambako yeye anasomeka kama
Erick Clement Mphuru
Box 7859 Moshi
Phone 0673883800
Email: ulofomaauctioneer@gmail.com
Sahihi Yaani mwenye ukumbi alipe Kodi ya mapato na Bado mwenye sherehe alipe huu wizi SasaKwa kweli nchi ikikosa watu makini wenye ubunifu na malengo halisi ya kusaidia nchi haya ndio matokeo yake.
hii nimeipendaNimeshindwa hata niseme nini, anyway enough is enough.
Waweke pia kodi ya kifo ukifa bila kulipa ufufuliwe kwanza...
Sahihi Yaani mwenye ukumbi alipe Kodi ya mapato na Bado mwenye sherehe alipe huu wizi Sasa
Mtu ana leseni ya ukumbi na anatambuliwa kuwa anafanya hiyo biashara na kazi za kumbi zinaeleweka miziki,nk ndio kazi yake Vibali hivyo vingine vya Nini Tena? Huo ni wizi na u hukuaji Pesa mara mbili Kwa biashara Ile Ile
Kazi ya leseni ya ukumbi ni Nini?
nafanyia home kwangu tu, simple.View attachment 2997156
Manispaa ya Moshi chini ya Sheria ndogo za (ada na ushuruj ya Mwaka 2019, Tangazo in Serikali Na. 148 la Tarehe 15/02/2019, imeainisha ada na tozo mbalimbali katika kuendesha sherehe kwenye kumbi na maeneo ya starehe.
Mchanganuo wa ada na tozo hizo ni kama ifuatavyo;
JUMLA KUU: Tshs 230,000.00
- Tshs. 60,000.00, Kibali cha kufanya sherehe
- Malipo kutoka kwa mpambaji wa sherehe Tshs. 50,000.00 Tshs. 50,000.00
- Malipo chakula na vinywaji Tshs. 30,000.00
- Mshercheshaji wa sherehe (MC) Tsh. 30,000
- Mpiga picha wa sherehe Tshs. 20,000.00
- Muziki Tshs. 20,000,00
Fedha hizi zinatakiwa kulipwa na Mwenye sherehe ndipo apatiwe kibali cha kuendesha sherehe husika. Aidha mmiliki wa Ukumbi anapaswa kuhakikisha kwamba Mwenye sherehe anakupatia nakala ya kibali kabla ya kumruhusu kutumia Ukumbi. ANGALIZO: Iwapo wakala hatakuta kibali ukumbini, sherehe itazuiwa kufanyika kuanzia muda huo.
Kwa barua hii namtambulisha kwenu ULOFAMO AUCTIONEER AND COURT BROKERS LTD, wakala atakayehusika na usimamizi wa ukiukwaji wa ada na tozo tajwa kifungu cha 3 hapo juu.
Kwani wanaume mkigoma kuoa mtawekewa kodi ya ubachela? Gomeni muwaachie manispaa hao wanawake.View attachment 2997156
Manispaa ya Moshi chini ya Sheria ndogo za (ada na ushuruj ya Mwaka 2019, Tangazo in Serikali Na. 148 la Tarehe 15/02/2019, imeainisha ada na tozo mbalimbali katika kuendesha sherehe kwenye kumbi na maeneo ya starehe.
Mchanganuo wa ada na tozo hizo ni kama ifuatavyo;
JUMLA KUU: Tshs 230,000.00
- Tshs. 60,000.00, Kibali cha kufanya sherehe
- Malipo kutoka kwa mpambaji wa sherehe Tshs. 50,000.00 Tshs. 50,000.00
- Malipo chakula na vinywaji Tshs. 30,000.00
- Mshercheshaji wa sherehe (MC) Tsh. 30,000
- Mpiga picha wa sherehe Tshs. 20,000.00
- Muziki Tshs. 20,000,00
Fedha hizi zinatakiwa kulipwa na Mwenye sherehe ndipo apatiwe kibali cha kuendesha sherehe husika. Aidha mmiliki wa Ukumbi anapaswa kuhakikisha kwamba Mwenye sherehe anakupatia nakala ya kibali kabla ya kumruhusu kutumia Ukumbi. ANGALIZO: Iwapo wakala hatakuta kibali ukumbini, sherehe itazuiwa kufanyika kuanzia muda huo.
Kwa barua hii namtambulisha kwenu ULOFAMO AUCTIONEER AND COURT BROKERS LTD, wakala atakayehusika na usimamizi wa ukiukwaji wa ada na tozo tajwa kifungu cha 3 hapo juu.
Hata ukifanyia kwako lazima utalipa, soma vizuri hapo luna kodi ya misosi.nafanyia home kwangu tu, simple.