Ili upumue na nuksi zinazoanza Kukuandama sasa Wewe kama Baba na Mwanao Mjeuri fanya yafuatayo

Ili upumue na nuksi zinazoanza Kukuandama sasa Wewe kama Baba na Mwanao Mjeuri fanya yafuatayo

Mkuu samahani kama nimekukwaza, ila namaanisha binafsi sijaelewa vizuri


Mkuu samahani kama nimekukwaza, binafsi sijaelewa kitu 1-7 ungefanunua kidogo itakuwa rahisi hata ujumbe ufike kwa wahusika.

Nikifafanua utakavyo Wewe nikipelekwa Kaburini kwa lazima utanisindikiza na kuyaanza Maisha yetu mapya na ya Kutukuka huko Mavumbini ( Udongoni ) kama waliotangulizwa na Yule mmoja aliyekoswakoswa na sasa amekita Kambi kwa Mla Mirungi Uhuru huku akiichungulia nchi yetu kwa mbali Mwili wake ukitamani Kuingia lakini Moyo wake unasita?
 
Mimacho mimate namjua Ila matege mibanio nisaidie kidogo mkuu

Mkuu unaniangusha bhana yaani hata Wewe 'Great Thinker ' wa JFni wa Kutomjua Matege Mbanio? Kuna Mtu leo ' alijipendekeza ' katika Banda la Watu wa Sheria na Haki za Binadamu bila Kualikwa pale Viwanja vya Mnazi Mmoja basi ndiyo huyo huyo.
 
GENTAMYCINE,
Mtuache kwa muda, tumeitisha kikao na wataalam wetu wa mambo ya jadi, hapa kuna makarai yana maji na vioo ili tuone kila linalofanyika white house.

Pia tunaangalia namba ya kumroga Pompeo nankumpiga nuksi kali yeye na Trump ili wachukiwe kila mahali duniani, hapa kuna ndoo saba za mayai viza, maiti,na fisi, wanyama wanaochukiwa sana,tunapiga nuksi utawala wa Trump kwa kutumia zana hizi.



Pia tumeagiza wataalam wa vipande kutoka Tanga na Pemba na wataalam wa kupiga radi ili ndege ya Pompeo ipigwe radi angani iungue
 
Nikifafanua utakavyo Wewe nikipelekwa Kaburini kwa lazima utanisindikiza na kuyaanza Maisha yetu mapya na ya Kutukuka huko Mavumbini ( Udongoni ) kama waliotangulizwa na Yule mmoja aliyekoswakoswa na sasa amekita Kambi kwa Mla Mirungi Uhuru huku akiichungulia nchi yetu kwa mbali Mwili wake ukitamani Kuingia lakini Moyo wake unasita?
Baelezee baelezee
 
Kakobe ana tofauti gani na hao aliowaambia watubu ?

Madayaspora wengi wa huko Marekani wakiongozwa na Rais wenu kutoka Texas au Dallas kama sijakosea aitwae Kazoora ni Watu ' Werevu ' sana, mbona Wewe ' Mdayaspora ' Mwenzao umekaa ' Kipopoma ' mno? Uko Marekani kweli au labda tupo wote tu hapa hapa Tandale Uzuri?
 
Haaa haaa🤣🤣🤣 nr 1, ni shida 😂 nimesoma nimerudia ..watu mna maneno😂😂
 
Madayaspora wengi wa huko Marekani wakiongozwa na Rais wenu kutoka Texas au Dallas kama sijakosea aitwae Kazoora ni Watu ' Werevu ' sana, mbona Wewe ' Mdayaspora ' Mwenzao umekaa ' Kipopoma ' mno? Uko Marekani kweli au labda tupo wote tu hapa hapa Tandale Uzuri?
Mimi nipo Nanjilinji mkuu
 
Back
Top Bottom