Ili usimuue mkeo ukajiweka matatizoni, fanya yafuatayo


Ni Bora upasuliwe kichwa na Mwanamke uliyemkuta Bikra kuliko hao wengine. Hata mbingu zitakutetea lakini jitu umeliokota limeshaharibiwa alafu linakuhangaisha hata jamii inakuona hamnazo.

Ndipo utaambiwa, Ganda la kuwa la Jana chungu kaona kivuno😀😀
 
Mkuu nafikiri ibakie Tu kwenye zile fasihi zako konki!
Kwenye mahaba hakuna formula!

Tutashangaa hapa siku wewe mwenyewe umeua! Huku ulituasa hayo hayo!

Mimi siwezi kuua Kwa sababu ya hivyo, Kwanza nashika amri za Mungu IL haimaanishi siwezi kuua.
Yapo mambo Ambayo yanaweza kunifanya Niue lakini kisa Mapenzi.

😀😀 Utakuwa unajiuliza mambo gani hayo, kila binadamu anavipaombele vyake, wengine mapenzi, wengine Pesa, wengine Mungu, wengine Watoto wao. Sasa utaamua Kati ya hivyo kipi hasa linaweza mfanya Taikon aitoe roho ya mtu bila kujali lolote
 
Mkuu nafikiri ibakie Tu kwenye zile fasihi zako konki!
Kwenye mahaba hakuna formula!

Tutashangaa hapa siku wewe mwenyewe umeua! Huku ulituasa hayo hayo!

Mimi siwezi kuua Kwa sababu ya hivyo, Kwanza nashika amri za Mungu IL haimaanishi siwezi kuua.
Yapo mambo Ambayo yanaweza kunifanya Niue lakini kisa Mapenzi.

😀😀 Utakuwa unajiuliza mambo gani hayo, kila binadamu anavipaombele vyake, wengine mapenzi, wengine Pesa, wengine Mungu, wengine Watoto wao. Sasa utaamua Kati ya hivyo kipi hasa linaweza mfanya Taikon aitoe roho ya mtu bila kujali lolote
 
No. 2&4 ni Bora Sana.

Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
 

Siku hizi Kwa vile watu hawauthamini upendo ni Kheri mtu awe bachela Kwa wahuni lakini.
Kwa wale wapenda kufuata Imani basi itawapasa wafuate sheria ya ufanano na kanuni za kiungu
 
Mzee hilo namba tatu mbona sio kabisa, unamuingiza mkeo kwenye jukumu la utafutaji kwa nguvu na kiasi sawa na chako, na mambo mengine hapo ya kifamilia myafanye sawa kwa sawa.

Masuala ya utafutaji, hili sio jukumu la msingi la mwanamke kabisa kwenye ndoa labda kama msaidizi tu, napo baada ya jukumu lake la msingi la kulea na kutunza familia kwa ukaribu zaidi kupungua. Vingenevyo ni unatafuta matatizo mengine mazito zaidi kwako, kwake na familia.
 
Kuna pointi kadhaa nakubaliana na wewe, ila hili la bikra nalo ni 50/50 kwa jamii ya sasa.

Kuna jamaa alienda kwao bush kuoa, akatafuta pisi yake yenye bikra akaileta town. Ilivofika town mambo yakabadilika jiji likamchanganya mtoto, akakuta mambo ambayo hajawahi kuyaona mwisho ndoa ikapalanganyika.

Ndoa naonaga haina formula, babu yangu alioa mbali kabisa na kwao, watu wenye mila na tamaduni tofauti kabisa lakini walidumu mpaka kifo wala sikuwahi shuhudia migogoro baina yao.
Na jirani yetu (age mate wa babu) nae alioa hapohapo kijijini, mtu wa kabila lake lakini wao japo ni wazee ila migogoro haiishi, mpaka kuna muda hawaongei kabisa.

Tunapunguza makali tu lakini hizi mambo wala hazitabiriki, sababu kubwa ni watu kubadilika badilika. Leo ni mnyoofu kesho kapinda ni kubahatisha tu.

Ushauri wa kutooa kwa mwanaume ni mzuri zaidi.
 
Siku hizi Kwa vile watu hawauthamini upendo ni Kheri mtu awe bachela Kwa wahuni lakini.
Kwa wale wapenda kufuata Imani basi itawapasa wafuate sheria ya ufanano na kanuni za kiungu
Fact kabisa mkuu ila ukiona mambo kama yanaanza kuwa hatari na unatafuta ufumbuzi na huuoni unaachana nalooo unakuwa kama nyati dume alotengwa na kundi
 

Huo ni Ushauri Kwa kizazi hiki Mkuu.
Wakifanya hivi watanishukuru.

Hapa hatufuati tena kanuni za Asili tena Mkuu hivyo kanuni yoyote itakayotumika kinyume na kanuni ya Asili italeta madhara.

Wanawake wenyewe ndio wametaka mambo haya. Hivyo Acha iwe hivi tuu
 

Ndoa ilikuwa inafomula Kwa kufuata kanuni za Asili lakini Kwa sasa kila kitu hakina formula kwani watu wanataka kuvunja kanuni zilizowekwa.
Mwanamke anatakiwa akae nyumbani alee familia lakini sasa hivi huoni wanawake ni waalimu, madaktari, wahasibu, madereva n.k.
Kama wanafanya kazi ilhali hawapaswi kuwa watafutaji kimsingi washavunja nature.

Matokeo yake ni hivyo kuna uhaba WA Ajira. Dharau Kwa sababu wa kipato, ndoa kuvunjika n.k.

Ushauri nilioutoa ni WA Karne ya 21+ hazizingatii hizo kanuni za kizamani ambazo ndio Bora.

Na huwezi tumia Mfumo wa zamani kwa mtu anayetumia mfumo wa kisasa
 
Ndoa inamambo mengi sana, kwa hiyo hakuna maelekezo ya moja kwa moja ya jinsi ya kuishi kwenye ndoa. Mfano unaweza ukawa umetoka zako job umechoka umefika kwako umeingia mpaka chumbani, unamsalimia mkeo anaitika fresh tu, ile unavua viatu analiazisha zogo kwa nini umeingia na viatu mpaka chumbani...mzozo unaanza. Kuna mambo mengi sana kwenye ndoa , tamaa ndogo ndogo zipo zinazovuruga ndoa n.k.
 

Maelekezo makuu ya ndoa;
1. Ufanano
2. Upendo ufuatie
3. Wajibu na majukumu
 
Maelekezo makuu ya ndoa;
1. Ufanano
2. Upendo ufuatie
3. Wajibu na majukumu
Mkuu umeoa? kwa ufahamu wangu, mpaka unatangaza ndoa ni kwamba kila mmoja ameona mwenza wake amekidhi vigezo. Sisi binadamu ni dhaifu mara nyingi tunatoka nje ya mstari kwenye maisha ya mahusiano hata ya urafiki. mfano kugombana kwenye ndoa ni kawaida tu ila uwezo wa kujishusha na kujizuia kupanda hasira zaidi huzuia madhara yanayoweza kujitokeza kwenye ugomvi. Ndoa isiyo na kelele hata kidogo haina mvuto lazima mpeane changamoto kidogo ili akili zikae sawa.
 
Hili tangazo ntalizingatia
 

Madhara huwa makubwa zaidi mkiwa hamna Chemistry sijui kama unanielewa nikisemacho, huwezi weka maji na Mafuta pamoja kwenye moto
 
[emoji3][emoji3]

Mimi ni Mkristo OG sio ule Ukristo ulioeditiwa.
Kristo alikuwa Myahudi na dini yake ni myahudi Ila wafuasi wake wanaona shida kufuata amri na sheria za kiyahudi. Inashangaza.

Kristo hajawahi kubadili dini popote pale
Umepotea sana ukidhani Ukristo ni dini. Ukristo sio dini bro. Yesu Kristo hakuleta dini duniani, alileta wokovu. Alikuja kutafuta na kuokoa waliopotea. Neno "Wakristo" lilitamkwa kwa mara ya kwanza pale Antiokia (Mdo 11:26) baada ya jamii ya Antiokia kuwaona watu wanaomfanana Kristo (katika namna ya kuishi).

Ukristo simply ni kumfanana Kristo. Wayahudi hadi muda huu hawana wokovu kwa kuwa hata hawana taarifa kuwa Yesu Kristo (Masihi) keshakuja duniani na kufa na kufufuka kwa ajili ya ukombozi na wokovu wa wanadamu. Adui namba moja wa huduma wa Yesu Kristo duniani walikuwa ni watu wa dini ya Kiyahudi yaani Waandishi na Mafarisayo.

Ndio waliomshitaki kwa Pilato na kupiga kelele "asulubiwe! Asulubiwe" kwa hakika dini zitapeleka watu motoni kama hawatokubali kumpokea Yesu Kristo kuwa Bwana na Mwokozi wa maisha yao! ISHU NI KUPOKEA WOKOVU, SIO DINI.


YESU ni BWANA na MWOKOZI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…