Ili usimuue mkeo ukajiweka matatizoni, fanya yafuatayo

Ili usimuue mkeo ukajiweka matatizoni, fanya yafuatayo

ILI USIMUUE MKEO AU MCHUMBA WAKO UKAJIWEKA MATATIZONI FANYA YAFUATAYO;

Anaandika, Robert HERIEL.

Kuua ni kosa kisheria pia ni dhambi kubwa kidini. Hivyo ili kujiepusha na kosa hilo hasa Kwa wanandoa tukiwemo wanaume basi Ushauri huu utafaa zaidi;

1. Usioe Mwanamke ambaye ni first love wako, au unayempenda Kwa dhati yote.

Ni ngumu sana Kwa mwanaume kuua mke ikiwa ni mzoefu wa wanawake, mara nyingi wanaume wasio na tabia ya polygamist ndio hujiua au kuua.
Mtu mwenye mtazamo wa kuoa mke zaidi ya mmoja ni nadra Sana kujiua au kuua mtu kisa mapenzi.

2. Usimhudumie Mwanamke Kwa kiwango kikubwa kupitiliza, usijitese kutafuta pesa kisa Mwanamke. Tafuta pesa Kwa ajili yako, au watoto wako.
Wanaume wanaotafuta pesa Kwa ajili ya wake au wanawake wanaowapenda ndio hujikuta katika hatari ya kuua.
Pesa inauma hakuna asiyejua,
Embu fikiria unajiingiza kwenye kazi hatari kisa umhudumie Mkeo alafu uje umkute amelala na Mwanaume mwingine hakika inauma.

Mimi huwaga silaumugi wala simhukumu mwanaume anayefanya matendo hayo, najua vile mtu anajisikia pale anaposalitiwa na mtu ambaye anamhudumia Kwa jasho na damu.

Ingawaje sipendekezi adhabu hizo, lakini ushauri wangu usimhudumie Mkeo kama malikia kiasi cha kujiumiza kwenye utafutaji.

Kuwa mbinafsi kadiri uwezavyo, jipende, na penda watoto wako. Wanaume wenye mtizamo huu ni nadra sana kujiua au kuua mtu kisa mapenzi.

3. Gawaneni majukumu ya kifamilia.

Mume na mke wote muwajibike kuitunza familia, Bro
- majukumu ya kimapato wote mchangie,
Wote mfanye kazi mzalishe mlete NYUMBANI, hakuna cha Mume wala mke, hakuna cha mwanaume wala mwanamke. Wote mkafanye kazi au vibarua mlee familia. Mmoja akinunua mboga mwingine anunue Chakula,

Bills kila mtu awajibike.
Kupunguza uchungu wa mmoja kuumia,

-. Majukumu ya NYUMBANI wote mfanye, iwe ni kupika au Kuosha vyombo au ikiwezekana kila mtu afue nguo zake.

Maana kuna watu wanasingizia kuwa wanafanya kazi za uzalishaji hivyo hawataki kufanya kazi za Nyumbani kisa wanatafuta pesa.

Na wengine wanafanya tuvikazi vya NYUMBANI kama Kuosha vyombo na Kupika wanachukulia ndio kigezo kikubwa kana kwamba ni kazi ngumu.

4. Usioe Baki kuwa Bachela.
Hakuna Raha Kama kuwa Bachela hasa Kwa Sisi wanaume, kuna watu watabisha lakini ubachela unaraha Kwa Asilimia 80% wakati ukiwa kwenye ndoa Raha yake ni 20%. Kwa Zama hizi.

Zaa watoto kisha kila mtu apite kushoto, muwekeane utaratibu wa kuwalea watoto.

Huduma za Unyumba zinanunulika tuu, tena Kwa gharama rahisi kabisa, kila mwezi ukitenga laki moja yako inatosha kabisa kupata Huduma hiyo tena Kwa wanawake tofauti tofauti wenye mvuto tofauti.

Kama utaona hiyo ya kuoa inasumbua, kukaa na mtu miaka nenda Rudi alafu anakupasua kichwa basi ni Kheri ufuate ushauri huo.

Kuna watu watasema ishu ya Maadili lakini Kwa kizazi cha sasa ambacho hakina maadili ni Bora ufanye hivyo kuliko ujitese na kuua watu au kujiua kisa upumbavu.

5. Tafuta mwanamke Bikra uoe.
Kama itakushinda kukaa Bachela, basi tafuta mwanamke Bikra uoe. Kama asemavyo Jokajeusi,

Itashangaza mtu ajiue Kwa mwanamke ambaye hakumkuta Bikra, au mwanamke ajiue Kwa mwanaume ambaye anama-ex Mia moja.

Huwezi muoa Mwanamke asiye na Bikra bila ku-format historia ya wapenzi wake wa zamani, elewa kuwa Mwanamke kumuoa sio sababu ya kukupenda, mara nyingi upendo wa Kwanza Kwa mwanamke ndio upendo halisi, mwanaume wa Kwanza ndio alimpenda Kwa dhati kuliko watakaofuatia.

Sasa assume wewe ni mtu wa tano kwake unafikiri unalipi la kumwambia, tayari anafanya kila kitu Kwa Reference za nyuma akikulinganisha wewe na wengine.

Mwisho Kwa watu wa Imani, Tunza watoto, wafundishe maadili hata Kama wewe ulikosea, muonyeshe namna ya kufanya chaguzi Kwa usahihi kwenye maisha,

Muathiri mtoto asichague wanaume au wanawake WA hovyo hiyo inawezakana kabisa, hata Kama wewe ulichagua mke/mume WA hovyo jitahidi umuathiri mtoto aone mabaya yaliyokupata, pandikiza chuki awachukie watu wapumbavu, makatili na wenye vichaa.

Hakikisha mtoto ajue Hana haki ya kuchagua Upande wa mauti au upande mbaya.

Hakikisha Ajue siku akichagua watu wasioeleweka hamtakuwa tena mtu na Mzazi wake.

Baadhi ya familia huwawekea watoto vikwazo Kwa kuwatenga, kutowapa Mali za Urithi ikiwa wataamua kufuata mambo ya hovyo.

Jambo hili linatuhusu zaidi wababa, Mwanaume lazima uwe mkali linapokuja suala la familia yako.

Sio toto linaamua kuwa Shoga au kufanya mambo ya kupuuzi unalichekea, zamani watoto walijua kabisa Baba zao watawaua ikiwa watajiingiza kwenye ujinga.

Baba lazima utambulike hivyo, usione shida kufukuza na kutoa adhabu Kali Kwa watoto wapuuzi.

Kuliko mtoto ajiue au auwe watoto wa wengine ni Kheri mzazi umdhibiti mapema Kabisa.

Siku zote Taikon ninaamini Matatizo ya watoto Kwa Asilimia 90% chanzo chake ni wazazi iwe Kwa uzembe au Kwa makusudi. Ndio maana wanasema mtoto wa nyoka ni nyoka.

Wewe uliona wapi Nyoka akazaa jongoo.

Hizo kumi ni exceptional ambazo watoto huiga kwenye jamii. Ila 90% ni matokeo ya wazazi.

Kama mzazi ni Malaya mtoto ataachaje kuwa Malaya, hata ukienda kushtaki Kwa wazazi wake watakuwa wanakuchora tuu Ila kimsingi wao ndio tabia zao.

Mzazi mchoyo huzaa watoto wachoyo.

Mzazi mchawi huzaa watoto wachawi.

Mzazi mwizi huzaa watoto wezi.
Hivyo ndivyo ilivyo.

Vijana wa siku wanajifanya wamesoma wanakataa Jambo hili wanasema tabia ni ishu ya mtu mwenyewe hata hawajui maana ya tabia, ndio maana Dada yangu Faizafoxy anakuambia huko shuleni mmeenda kusomea ujinga.
Kabla hujaoa au hujaolewa lazima uchunguze ukoo unaoenda kuolewa/kuoa.

Matukio ya Dunia hujirudia Kwa kufuata Mkondo, Kama kwenye ukoo wao kuna ishu za mauaji usijesema miaka mingi imepita haijatokea Jambo kama Hilo, sio kweli inaweza kutokea kwako, inaitwa volcano iliyolala. Historia inakawaida ya kujirudia lakini lazima ijirudie kwenye Mkondo uleule. Matukio ya mafuriko hukumba Maeneo yaleyale hata Kama yasipotokea miaka elfu moja, matukio ya vimbunga halikadhalika, matetemeko.
Kila ukoo unatabia zake za Asili iwe za ndani au za wazi. Vijana wakiambiwa hili watakubishia,


Watu wanasema ndoa ni ngumu lakini hawaelewi ugumu wanauleta wao.
Muislam aoelewe na muislam halikadhalika Wakristo Kwa Wakiriso.

Mzungu Kwa Mzungu
Muafrika Kwa muafrika
Kabila Kwa kabila au Yale yanayokaribiana Mila. Sio mjifanye wajuaji ilhali hamna mjuacho.

Ndoa inahitaji Ufanano. Acha wauaji waoane wenyewe Kwa wenyewe,
Walevi Kwa walevi
Wazinzi Kwa wazinzi
Wema Kwa wema.

Hivyo ndio namna ya kuepukana na Matatizo na mabalaa.

Polisi na Serikali itoe hiyo Elimu, Dini na taasisi za mambo ya ndoa na kijinsia zitoe elimu hiyo.
Sio zitoe elimu za ajabuajabu ati watu wasibaguane, jamani kwenye maisha kuna mambo lazima watu wabaguane hasa ishu za ndoa na uzazi.

Huwezi weka pamoja Moto na maji,
Huwezi weka pamoja Mafuta na Maji
Huwezi weka pamoja Giza na Nuru,
Huwezi weka pamoja jamani eleweni hivyo.

Biblia inasema;
Danieli 2:43
Na kama vile ulivyokiona kile chuma kimechanganyika na udongo wa matope, watajichanganya nafsi zao kwa mbegu za wanadamu; lakini hawatashikamana, kama vile chuma kisivyoshikamana na udongo.

Vijana mnashindwa akili hata na wanyama, uliona wapi Chui na Chita wakazaliana licha ya kufanana.
Au uliona wapi Njiwa wa porini na njiwa nyumbani wakazaliana?
Au uliona wapi Mbwa mwitu na mbwa WA nyumbani wakazaliana hata wakiwekwa pamoja, labda walazimishwe na binadamu.
Au pundamilia na punda wa nyumbani uliona wapi wakaingiliana?

Mtu kuwa binadamu haimaanishi anaweza kuwa Mke au mume wako, Mungu sio mjinga atuumbe tofauti tofauti, kila makundi yakae pamoja.

Poleni Wafiwa!

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
Inahitaji mtu mwenye akili iliyobarehe kufanya hayo..

Wengi wao wanashindwa kuhimili hisia na wakifanya hayo wanaweza watesa wanawake wao..

Mwisho mwanamke wa kukubali hayo mazingira huwezi mkuta mkoani labda huko kwenu Dar.
 
Mkuu nakubaliana na wewe kwenye sehemu kubwa ya nasaha zako. Tofauti ni kwamba mapenzi hutokea na hayapangwi. Wakati mwingine moyo unakua mmbea au kimbelembele badala ya kusukuma damu unaleta lovey dovey dovey hapo sasa changamoto ndipo inapoanza. Kumpenda mwanamke ndiyo asili ya kila mwanaume, tena wakati mwingine upendo wa dhati. Sasa pale unapoumizwa na unaye mpenda kama siyo mzoefu unaweza ukasababisha madhara makubwa kwako na kwa wengine.

Maumivu ya mapenzi huwezi kumeza panadol ukaingia road, lazima utulie, na mbaya zaidi uchapiwe na pimbi unayemjua au unaye dhani ni mtu wa lower class au ambaye anaongea ongea shobo kwa wadau. Kimsingi, unapaswa kuwa na emotional intelligence (born or acquired) kabla ya kuingia kwenye mapenzi. Wanawake wengi hawajui au wanadharau athari za mapenzi zitokanazo na mienendo yao mibovu. Pengina anaweza asiliwe, ila kukaa kaa pamoja na machawa na kuwa na marafiki wa kiume wangesengese inaweza ikaleta madhara makubwa sana ikiwa ana date na mtu serious.
 
Mkuu nakubaliana na wewe kwenye sehemu kubwa ya nasaha zako. Tofauti ni kwamba mapenzi hutokea na hayapangwi. Wakati mwingine moyo unakua mmbea au kimbelembele badala ya kusukuma damu unaleta lovey dovey dovey hapo sasa changamoto ndipo inapoanza. Kumpenda mwanamke ndiyo asili ya kila mwanaume, tena wakati mwingine upendo wa dhati. Sasa pale unapoumizwa na unaye mpenda kama siyo mzoefu unaweza ukasababisha madhara makubwa kwako na kwa wengine.

Maumivu ya mapenzi huwezi kumeza panadol ukaingia road, lazima utulie, na mbaya zaidi uchapiwe na pimbi unayemjua au unaye dhani ni mtu wa lower class au ambaye anaongea ongea shobo kwa wadau. Kimsingi, unapaswa kuwa na emotional intelligence (born or acquired) kabla ya kuingia kwenye mapenzi. Wanawake wengi hawajui au wanadharau athari za mapenzi zitokanazo na mienendo yao mibovu. Pengina anaweza asiliwe, ila kukaa kaa pamoja na machawa na kuwa na marafiki wa kiume wangesengese inaweza ikaleta madhara makubwa sana ikiwa ana date na mtu serious.
Sawasawa 👍 👍
 
ILI USIMUUE MKEO AU MCHUMBA WAKO UKAJIWEKA MATATIZONI FANYA YAFUATAYO;

Anaandika, Robert HERIEL.

Kuua ni kosa kisheria pia ni dhambi kubwa kidini. Hivyo ili kujiepusha na kosa hilo hasa Kwa wanandoa tukiwemo wanaume basi Ushauri huu utafaa zaidi;

1. Usioe Mwanamke ambaye ni first love wako, au unayempenda Kwa dhati yote.

Ni ngumu sana Kwa mwanaume kuua mke ikiwa ni mzoefu wa wanawake, mara nyingi wanaume wasio na tabia ya polygamist ndio hujiua au kuua.
Mtu mwenye mtazamo wa kuoa mke zaidi ya mmoja ni nadra Sana kujiua au kuua mtu kisa mapenzi.

2. Usimhudumie Mwanamke Kwa kiwango kikubwa kupitiliza, usijitese kutafuta pesa kisa Mwanamke. Tafuta pesa Kwa ajili yako, au watoto wako.
Wanaume wanaotafuta pesa Kwa ajili ya wake au wanawake wanaowapenda ndio hujikuta katika hatari ya kuua.
Pesa inauma hakuna asiyejua,
Embu fikiria unajiingiza kwenye kazi hatari kisa umhudumie Mkeo alafu uje umkute amelala na Mwanaume mwingine hakika inauma.

Mimi huwaga silaumugi wala simhukumu mwanaume anayefanya matendo hayo, najua vile mtu anajisikia pale anaposalitiwa na mtu ambaye anamhudumia Kwa jasho na damu.

Ingawaje sipendekezi adhabu hizo, lakini ushauri wangu usimhudumie Mkeo kama malikia kiasi cha kujiumiza kwenye utafutaji.

Kuwa mbinafsi kadiri uwezavyo, jipende, na penda watoto wako. Wanaume wenye mtizamo huu ni nadra sana kujiua au kuua mtu kisa mapenzi.

3. Gawaneni majukumu ya kifamilia.

Mume na mke wote muwajibike kuitunza familia, Bro
- majukumu ya kimapato wote mchangie,
Wote mfanye kazi mzalishe mlete NYUMBANI, hakuna cha Mume wala mke, hakuna cha mwanaume wala mwanamke. Wote mkafanye kazi au vibarua mlee familia. Mmoja akinunua mboga mwingine anunue Chakula,

Bills kila mtu awajibike.
Kupunguza uchungu wa mmoja kuumia,

-. Majukumu ya NYUMBANI wote mfanye, iwe ni kupika au Kuosha vyombo au ikiwezekana kila mtu afue nguo zake.

Maana kuna watu wanasingizia kuwa wanafanya kazi za uzalishaji hivyo hawataki kufanya kazi za Nyumbani kisa wanatafuta pesa.

Na wengine wanafanya tuvikazi vya NYUMBANI kama Kuosha vyombo na Kupika wanachukulia ndio kigezo kikubwa kana kwamba ni kazi ngumu.

4. Usioe Baki kuwa Bachela.
Hakuna Raha Kama kuwa Bachela hasa Kwa Sisi wanaume, kuna watu watabisha lakini ubachela unaraha Kwa Asilimia 80% wakati ukiwa kwenye ndoa Raha yake ni 20%. Kwa Zama hizi.

Zaa watoto kisha kila mtu apite kushoto, muwekeane utaratibu wa kuwalea watoto.

Huduma za Unyumba zinanunulika tuu, tena Kwa gharama rahisi kabisa, kila mwezi ukitenga laki moja yako inatosha kabisa kupata Huduma hiyo tena Kwa wanawake tofauti tofauti wenye mvuto tofauti.

Kama utaona hiyo ya kuoa inasumbua, kukaa na mtu miaka nenda Rudi alafu anakupasua kichwa basi ni Kheri ufuate ushauri huo.

Kuna watu watasema ishu ya Maadili lakini Kwa kizazi cha sasa ambacho hakina maadili ni Bora ufanye hivyo kuliko ujitese na kuua watu au kujiua kisa upumbavu.

5. Tafuta mwanamke Bikra uoe.
Kama itakushinda kukaa Bachela, basi tafuta mwanamke Bikra uoe. Kama asemavyo Jokajeusi,

Itashangaza mtu ajiue Kwa mwanamke ambaye hakumkuta Bikra, au mwanamke ajiue Kwa mwanaume ambaye anama-ex Mia moja.

Huwezi muoa Mwanamke asiye na Bikra bila ku-format historia ya wapenzi wake wa zamani, elewa kuwa Mwanamke kumuoa sio sababu ya kukupenda, mara nyingi upendo wa Kwanza Kwa mwanamke ndio upendo halisi, mwanaume wa Kwanza ndio alimpenda Kwa dhati kuliko watakaofuatia.

Sasa assume wewe ni mtu wa tano kwake unafikiri unalipi la kumwambia, tayari anafanya kila kitu Kwa Reference za nyuma akikulinganisha wewe na wengine.

Mwisho Kwa watu wa Imani, Tunza watoto, wafundishe maadili hata Kama wewe ulikosea, muonyeshe namna ya kufanya chaguzi Kwa usahihi kwenye maisha,

Muathiri mtoto asichague wanaume au wanawake WA hovyo hiyo inawezakana kabisa, hata Kama wewe ulichagua mke/mume WA hovyo jitahidi umuathiri mtoto aone mabaya yaliyokupata, pandikiza chuki awachukie watu wapumbavu, makatili na wenye vichaa.

Hakikisha mtoto ajue Hana haki ya kuchagua Upande wa mauti au upande mbaya.

Hakikisha Ajue siku akichagua watu wasioeleweka hamtakuwa tena mtu na Mzazi wake.

Baadhi ya familia huwawekea watoto vikwazo Kwa kuwatenga, kutowapa Mali za Urithi ikiwa wataamua kufuata mambo ya hovyo.

Jambo hili linatuhusu zaidi wababa, Mwanaume lazima uwe mkali linapokuja suala la familia yako.

Sio toto linaamua kuwa Shoga au kufanya mambo ya kupuuzi unalichekea, zamani watoto walijua kabisa Baba zao watawaua ikiwa watajiingiza kwenye ujinga.

Baba lazima utambulike hivyo, usione shida kufukuza na kutoa adhabu Kali Kwa watoto wapuuzi.

Kuliko mtoto ajiue au auwe watoto wa wengine ni Kheri mzazi umdhibiti mapema Kabisa.

Siku zote Taikon ninaamini Matatizo ya watoto Kwa Asilimia 90% chanzo chake ni wazazi iwe Kwa uzembe au Kwa makusudi. Ndio maana wanasema mtoto wa nyoka ni nyoka.

Wewe uliona wapi Nyoka akazaa jongoo.

Hizo kumi ni exceptional ambazo watoto huiga kwenye jamii. Ila 90% ni matokeo ya wazazi.

Kama mzazi ni Malaya mtoto ataachaje kuwa Malaya, hata ukienda kushtaki Kwa wazazi wake watakuwa wanakuchora tuu Ila kimsingi wao ndio tabia zao.

Mzazi mchoyo huzaa watoto wachoyo.

Mzazi mchawi huzaa watoto wachawi.

Mzazi mwizi huzaa watoto wezi.
Hivyo ndivyo ilivyo.

Vijana wa siku wanajifanya wamesoma wanakataa Jambo hili wanasema tabia ni ishu ya mtu mwenyewe hata hawajui maana ya tabia, ndio maana Dada yangu Faizafoxy anakuambia huko shuleni mmeenda kusomea ujinga.
Kabla hujaoa au hujaolewa lazima uchunguze ukoo unaoenda kuolewa/kuoa.

Matukio ya Dunia hujirudia Kwa kufuata Mkondo, Kama kwenye ukoo wao kuna ishu za mauaji usijesema miaka mingi imepita haijatokea Jambo kama Hilo, sio kweli inaweza kutokea kwako, inaitwa volcano iliyolala. Historia inakawaida ya kujirudia lakini lazima ijirudie kwenye Mkondo uleule. Matukio ya mafuriko hukumba Maeneo yaleyale hata Kama yasipotokea miaka elfu moja, matukio ya vimbunga halikadhalika, matetemeko.
Kila ukoo unatabia zake za Asili iwe za ndani au za wazi. Vijana wakiambiwa hili watakubishia,


Watu wanasema ndoa ni ngumu lakini hawaelewi ugumu wanauleta wao.
Muislam aoelewe na muislam halikadhalika Wakristo Kwa Wakiriso.

Mzungu Kwa Mzungu
Muafrika Kwa muafrika
Kabila Kwa kabila au Yale yanayokaribiana Mila. Sio mjifanye wajuaji ilhali hamna mjuacho.

Ndoa inahitaji Ufanano. Acha wauaji waoane wenyewe Kwa wenyewe,
Walevi Kwa walevi
Wazinzi Kwa wazinzi
Wema Kwa wema.

Hivyo ndio namna ya kuepukana na Matatizo na mabalaa.

Polisi na Serikali itoe hiyo Elimu, Dini na taasisi za mambo ya ndoa na kijinsia zitoe elimu hiyo.
Sio zitoe elimu za ajabuajabu ati watu wasibaguane, jamani kwenye maisha kuna mambo lazima watu wabaguane hasa ishu za ndoa na uzazi.

Huwezi weka pamoja Moto na maji,
Huwezi weka pamoja Mafuta na Maji
Huwezi weka pamoja Giza na Nuru,
Huwezi weka pamoja jamani eleweni hivyo.

Biblia inasema;
Danieli 2:43
Na kama vile ulivyokiona kile chuma kimechanganyika na udongo wa matope, watajichanganya nafsi zao kwa mbegu za wanadamu; lakini hawatashikamana, kama vile chuma kisivyoshikamana na udongo.

Vijana mnashindwa akili hata na wanyama, uliona wapi Chui na Chita wakazaliana licha ya kufanana.
Au uliona wapi Njiwa wa porini na njiwa nyumbani wakazaliana?
Au uliona wapi Mbwa mwitu na mbwa WA nyumbani wakazaliana hata wakiwekwa pamoja, labda walazimishwe na binadamu.
Au pundamilia na punda wa nyumbani uliona wapi wakaingiliana?

Mtu kuwa binadamu haimaanishi anaweza kuwa Mke au mume wako, Mungu sio mjinga atuumbe tofauti tofauti, kila makundi yakae pamoja.

Poleni Wafiwa!

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam

Ameeeen nakazia namba 4 hapo
 
4. Usioe Baki kuwa Bachela.
Hakuna Raha Kama kuwa Bachela hasa Kwa Sisi wanaume, kuna watu watabisha lakini ubachela unaraha Kwa Asilimia 80% wakati ukiwa kwenye ndoa Raha yake ni 20%. Kwa Zama hizi.

Huduma za Unyumba zinanunulika tuu, tena Kwa gharama rahisi kabisa, kila mwezi ukitenga laki moja yako inatosha kabisa kupata Huduma hiyo tena Kwa wanawake tofauti tofauti wenye mvuto tofauti.


NAKUBALINA NA HII POINTI

TENA LAKI MOJA KWA MWEZI NAONA NYINGI.
KWA WAKAZI WA TEGETA, KUNA SEHEMU INAITWA COMFORT GUEST HOUSE (INATAZAMANA NA RABINSIA HOSPITAL).
KUNA WATOTO WAZURI PALE KWA 10,000., CHUMBA NA YEYE.
BAADA YA HAPO HAKUNA KUPIGIANA SIMU, SIJUI MAMA MGONJWA, MTOTO KARUDISHWA ADA.....
Hivi rabinsia ndio kairuki?
 
mama D una lipi la kusema?
ILI USIMUUE MKEO AU MCHUMBA WAKO UKAJIWEKA MATATIZONI FANYA YAFUATAYO

Anaandika, Robert HERIEL

Kuua ni kosa kisheria pia ni dhambi kubwa kidini. Hivyo ili kujiepusha na kosa hilo hasa Kwa wanandoa tukiwemo wanaume basi Ushauri huu utafaa zaidi;

1. Usioe Mwanamke ambaye ni first love wako, au unayempenda Kwa dhati yote

Ni ngumu sana Kwa mwanaume kuua mke ikiwa ni mzoefu wa wanawake, mara nyingi wanaume wasio na tabia ya polygamist ndio hujiua au kuua.
Mtu mwenye mtazamo wa kuoa mke zaidi ya mmoja ni nadra Sana kujiua au kuua mtu kisa mapenzi.

2. Usimhudumie Mwanamke Kwa kiwango kikubwa kupitiliza, usijitese kutafuta pesa kisa Mwanamke. Tafuta pesa Kwa ajili yako, au watoto wako.

Wanaume wanaotafuta pesa Kwa ajili ya wake au wanawake wanaowapenda ndio hujikuta katika hatari ya kuua.
Pesa inauma hakuna asiyejua.

Embu fikiria unajiingiza kwenye kazi hatari kisa umhudumie Mkeo alafu uje umkute amelala na Mwanaume mwingine hakika inauma.

Mimi huwaga silaumugi wala simhukumu mwanaume anayefanya matendo hayo, najua vile mtu anajisikia pale anaposalitiwa na mtu ambaye anamhudumia Kwa jasho na damu.

Ingawaje sipendekezi adhabu hizo, lakini ushauri wangu usimhudumie Mkeo kama malikia kiasi cha kujiumiza kwenye utafutaji.

Kuwa mbinafsi kadiri uwezavyo, jipende, na penda watoto wako. Wanaume wenye mtizamo huu ni nadra sana kujiua au kuua mtu kisa mapenzi.

3. Gawaneni majukumu ya kifamilia

Mume na mke wote muwajibike kuitunza familia, Bro - majukumu ya kimapato wote mchangie. Wote mfanye kazi mzalishe mlete NYUMBANI, hakuna cha Mume wala mke, hakuna cha mwanaume wala mwanamke. Wote mkafanye kazi au vibarua mlee familia. Mmoja akinunua mboga mwingine anunue Chakula.

Bills kila mtu awajibike. Kupunguza uchungu wa mmoja kuumia.

Majukumu ya NYUMBANI wote mfanye, iwe ni kupika au Kuosha vyombo au ikiwezekana kila mtu afue nguo zake.

Maana kuna watu wanasingizia kuwa wanafanya kazi za uzalishaji hivyo hawataki kufanya kazi za Nyumbani kisa wanatafuta pesa.

Na wengine wanafanya tuvikazi vya NYUMBANI kama Kuosha vyombo na Kupika wanachukulia ndio kigezo kikubwa kana kwamba ni kazi ngumu.

4. Usioe Baki kuwa Bachela

Hakuna Raha Kama kuwa Bachela hasa Kwa Sisi wanaume, kuna watu watabisha lakini ubachela unaraha Kwa Asilimia 80% wakati ukiwa kwenye ndoa Raha yake ni 20%. Kwa Zama hizi.

Zaa watoto kisha kila mtu apite kushoto, muwekeane utaratibu wa kuwalea watoto.

Huduma za Unyumba zinanunulika tuu, tena Kwa gharama rahisi kabisa, kila mwezi ukitenga laki moja yako inatosha kabisa kupata Huduma hiyo tena Kwa wanawake tofauti tofauti wenye mvuto tofauti.

Kama utaona hiyo ya kuoa inasumbua, kukaa na mtu miaka nenda Rudi alafu anakupasua kichwa basi ni Kheri ufuate ushauri huo.

Kuna watu watasema ishu ya Maadili lakini Kwa kizazi cha sasa ambacho hakina maadili ni Bora ufanye hivyo kuliko ujitese na kuua watu au kujiua kisa upumbavu.

5. Tafuta mwanamke Bikra uoe

Kama itakushinda kukaa Bachela, basi tafuta mwanamke Bikra uoe. Kama asemavyo Jokajeusi,

Itashangaza mtu ajiue Kwa mwanamke ambaye hakumkuta Bikra, au mwanamke ajiue Kwa mwanaume ambaye anama-ex Mia moja.

Huwezi muoa Mwanamke asiye na Bikra bila ku-format historia ya wapenzi wake wa zamani, elewa kuwa Mwanamke kumuoa sio sababu ya kukupenda, mara nyingi upendo wa Kwanza Kwa mwanamke ndio upendo halisi, mwanaume wa Kwanza ndio alimpenda Kwa dhati kuliko watakaofuatia.

Sasa assume wewe ni mtu wa tano kwake unafikiri unalipi la kumwambia, tayari anafanya kila kitu Kwa Reference za nyuma akikulinganisha wewe na wengine.

Mwisho Kwa watu wa Imani, Tunza watoto, wafundishe maadili hata Kama wewe ulikosea, muonyeshe namna ya kufanya chaguzi Kwa usahihi kwenye maisha.

Muathiri mtoto asichague wanaume au wanawake WA hovyo hiyo inawezakana kabisa, hata Kama wewe ulichagua mke/mume WA hovyo jitahidi umuathiri mtoto aone mabaya yaliyokupata, pandikiza chuki awachukie watu wapumbavu, makatili na wenye vichaa.

Hakikisha mtoto ajue Hana haki ya kuchagua Upande wa mauti au upande mbaya.

Hakikisha Ajue siku akichagua watu wasioeleweka hamtakuwa tena mtu na Mzazi wake.

Baadhi ya familia huwawekea watoto vikwazo Kwa kuwatenga, kutowapa Mali za Urithi ikiwa wataamua kufuata mambo ya hovyo.

Jambo hili linatuhusu zaidi wababa, Mwanaume lazima uwe mkali linapokuja suala la familia yako.

Sio toto linaamua kuwa Shoga au kufanya mambo ya kupuuzi unalichekea, zamani watoto walijua kabisa Baba zao watawaua ikiwa watajiingiza kwenye ujinga.

Baba lazima utambulike hivyo, usione shida kufukuza na kutoa adhabu Kali Kwa watoto wapuuzi.

Kuliko mtoto ajiue au auwe watoto wa wengine ni Kheri mzazi umdhibiti mapema Kabisa.

Siku zote Taikon ninaamini Matatizo ya watoto Kwa Asilimia 90% chanzo chake ni wazazi iwe Kwa uzembe au Kwa makusudi. Ndio maana wanasema mtoto wa nyoka ni nyoka.

Wewe uliona wapi Nyoka akazaa jongoo.

Hizo kumi ni exceptional ambazo watoto huiga kwenye jamii. Ila 90% ni matokeo ya wazazi.

Kama mzazi ni Malaya mtoto ataachaje kuwa Malaya, hata ukienda kushtaki Kwa wazazi wake watakuwa wanakuchora tuu Ila kimsingi wao ndio tabia zao.

Mzazi mchoyo huzaa watoto wachoyo.

Mzazi mchawi huzaa watoto wachawi.

Mzazi mwizi huzaa watoto wezi.
Hivyo ndivyo ilivyo.

Vijana wa siku wanajifanya wamesoma wanakataa Jambo hili wanasema tabia ni ishu ya mtu mwenyewe hata hawajui maana ya tabia, ndio maana Dada yangu Faizafoxy anakuambia huko shuleni mmeenda kusomea ujinga. Kabla hujaoa au hujaolewa lazima uchunguze ukoo unaoenda kuolewa/kuoa.

Matukio ya Dunia hujirudia Kwa kufuata Mkondo, Kama kwenye ukoo wao kuna ishu za mauaji usijesema miaka mingi imepita haijatokea Jambo kama Hilo, sio kweli inaweza kutokea kwako, inaitwa volcano iliyolala. Historia inakawaida ya kujirudia lakini lazima ijirudie kwenye Mkondo uleule. Matukio ya mafuriko hukumba Maeneo yaleyale hata Kama yasipotokea miaka elfu moja, matukio ya vimbunga halikadhalika, matetemeko.

Kila ukoo unatabia zake za Asili iwe za ndani au za wazi. Vijana wakiambiwa hili watakubishia,

Watu wanasema ndoa ni ngumu lakini hawaelewi ugumu wanauleta wao.
Muislam aoelewe na muislam halikadhalika Wakristo Kwa Wakiriso.

Mzungu Kwa Mzungu
Muafrika kwa Mwafrika
Kabila Kwa kabila au Yale yanayokaribiana Mila. Sio mjifanye wajuaji ilhali hamna mjuacho.

Ndoa inahitaji Ufanano. Acha wauaji waoane wenyewe Kwa wenyewe,
Walevi Kwa walevi
Wazinzi Kwa wazinzi
Wema Kwa wema.

Hivyo ndio namna ya kuepukana na Matatizo na mabalaa.

Polisi na Serikali itoe hiyo Elimu, Dini na taasisi za mambo ya ndoa na kijinsia zitoe elimu hiyo.

Sio zitoe elimu za ajabuajabu ati watu wasibaguane, jamani kwenye maisha kuna mambo lazima watu wabaguane hasa ishu za ndoa na uzazi.

Huwezi weka pamoja Moto na maji
Huwezi weka pamoja Mafuta na Maji
Huwezi weka pamoja Giza na Nuru
Huwezi weka pamoja jamani eleweni hivyo.

Biblia inasema;
Danieli 2:43
Na kama vile ulivyokiona kile chuma kimechanganyika na udongo wa matope, watajichanganya nafsi zao kwa mbegu za wanadamu; lakini hawatashikamana, kama vile chuma kisivyoshikamana na udongo.

Vijana mnashindwa akili hata na wanyama, uliona wapi Chui na Chita wakazaliana licha ya kufanana.
Au uliona wapi Njiwa wa porini na njiwa nyumbani wakazaliana?
Au uliona wapi Mbwa mwitu na mbwa WA nyumbani wakazaliana hata wakiwekwa pamoja, labda walazimishwe na binadamu.
Au pundamilia na punda wa nyumbani uliona wapi wakaingiliana?

Mtu kuwa binadamu haimaanishi anaweza kuwa Mke au mume wako, Mungu sio mjinga atuumbe tofauti tofauti, kila makundi yakae pamoja.

Poleni Wafiwa!

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam


Nimevaa kiatu cha wazazi wa Saidi hakinitoshi😥😥😥😥

Kitendo cha kumuua mtu yoyote bila kujali ni mke au mume ni swala linalohusika na moyo wa mtu na mahusiano yake na ile nguvu ya Mungu iliyo ndani yake.

Ukimjua Mungu na yeye akakujua wewe kwa imani yako, ukazijua nguvu zake na kuzifuata amri na sheria zake huwezi kuua. Ndio maana tunafundishwa kwamba ukimpata Mungu umepata yote

Ukitafuta partner Mungu atakutangulia, na ukapata partner asiyekufaa yeye atakushindia kwa kumuondoa kwenye maisha yako kwaamani

Hivi vifo vya hawa watu vimeniuma, wanaume mke akikusumbua mwache kwa amani.
Kwenye mahusiano usihesabu ni vingapi umeamfanyia mwenzio na bado akakutenda ila hesabu ni vingapi amekufanyia wewe vinavyokufanya ukose amani. Okoa moyo wako na uzima wako, uhai haununuliwi
 
Mimi msimamo wangu uko pale pale.

1. Chakata mbususu zaidi ya 50
2. Chuja katika hizo chagua 5 bora
3. Katika hao, oa yule anaekupenda kuliko wote
4. Waliobaki wabakishe kama michepuko for future use.
 
Cha umuhimu zaidi ukioa, ukimpigia simu mke wako asipopokea, mwisho ni missed calls tatu

20220409_150402.jpg
 
Usioe Baki kuwa Bachela

Hakuna Raha Kama kuwa Bachela hasa Kwa Sisi wanaume, kuna watu watabisha lakini ubachela unaraha Kwa Asilimia 80% wakati ukiwa kwenye ndoa Raha yake ni 20%. Kwa Zama hizi.

Zaa watoto kisha kila mtu apite kushoto, muwekeane utaratibu wa kuwalea watoto.



Hii ndo naitekeleza sasa.

Nafasi ya ubachela uliyonayo usiipoteze utatukumbuka
 
ILI USIMUUE MKEO AU MCHUMBA WAKO UKAJIWEKA MATATIZONI FANYA YAFUATAYO

Anaandika, Robert HERIEL

Kuua ni kosa kisheria pia ni dhambi kubwa kidini. Hivyo ili kujiepusha na kosa hilo hasa Kwa wanandoa tukiwemo wanaume basi Ushauri huu utafaa zaidi;

1. Usioe Mwanamke ambaye ni first love wako, au unayempenda Kwa dhati yote

Ni ngumu sana Kwa mwanaume kuua mke ikiwa ni mzoefu wa wanawake, mara nyingi wanaume wasio na tabia ya polygamist ndio hujiua au kuua.
Mtu mwenye mtazamo wa kuoa mke zaidi ya mmoja ni nadra Sana kujiua au kuua mtu kisa mapenzi.

2. Usimhudumie Mwanamke Kwa kiwango kikubwa kupitiliza, usijitese kutafuta pesa kisa Mwanamke. Tafuta pesa Kwa ajili yako, au watoto wako.

Wanaume wanaotafuta pesa Kwa ajili ya wake au wanawake wanaowapenda ndio hujikuta katika hatari ya kuua.
Pesa inauma hakuna asiyejua.

Embu fikiria unajiingiza kwenye kazi hatari kisa umhudumie Mkeo alafu uje umkute amelala na Mwanaume mwingine hakika inauma.

Mimi huwaga silaumugi wala simhukumu mwanaume anayefanya matendo hayo, najua vile mtu anajisikia pale anaposalitiwa na mtu ambaye anamhudumia Kwa jasho na damu.

Ingawaje sipendekezi adhabu hizo, lakini ushauri wangu usimhudumie Mkeo kama malikia kiasi cha kujiumiza kwenye utafutaji.

Kuwa mbinafsi kadiri uwezavyo, jipende, na penda watoto wako. Wanaume wenye mtizamo huu ni nadra sana kujiua au kuua mtu kisa mapenzi.

3. Gawaneni majukumu ya kifamilia

Mume na mke wote muwajibike kuitunza familia, Bro - majukumu ya kimapato wote mchangie. Wote mfanye kazi mzalishe mlete NYUMBANI, hakuna cha Mume wala mke, hakuna cha mwanaume wala mwanamke. Wote mkafanye kazi au vibarua mlee familia. Mmoja akinunua mboga mwingine anunue Chakula.

Bills kila mtu awajibike. Kupunguza uchungu wa mmoja kuumia.

Majukumu ya NYUMBANI wote mfanye, iwe ni kupika au Kuosha vyombo au ikiwezekana kila mtu afue nguo zake.

Maana kuna watu wanasingizia kuwa wanafanya kazi za uzalishaji hivyo hawataki kufanya kazi za Nyumbani kisa wanatafuta pesa.

Na wengine wanafanya tuvikazi vya NYUMBANI kama Kuosha vyombo na Kupika wanachukulia ndio kigezo kikubwa kana kwamba ni kazi ngumu.

4. Usioe Baki kuwa Bachela

Hakuna Raha Kama kuwa Bachela hasa Kwa Sisi wanaume, kuna watu watabisha lakini ubachela unaraha Kwa Asilimia 80% wakati ukiwa kwenye ndoa Raha yake ni 20%. Kwa Zama hizi.

Zaa watoto kisha kila mtu apite kushoto, muwekeane utaratibu wa kuwalea watoto.

Huduma za Unyumba zinanunulika tuu, tena Kwa gharama rahisi kabisa, kila mwezi ukitenga laki moja yako inatosha kabisa kupata Huduma hiyo tena Kwa wanawake tofauti tofauti wenye mvuto tofauti.

Kama utaona hiyo ya kuoa inasumbua, kukaa na mtu miaka nenda Rudi alafu anakupasua kichwa basi ni Kheri ufuate ushauri huo.

Kuna watu watasema ishu ya Maadili lakini Kwa kizazi cha sasa ambacho hakina maadili ni Bora ufanye hivyo kuliko ujitese na kuua watu au kujiua kisa upumbavu.

5. Tafuta mwanamke Bikra uoe

Kama itakushinda kukaa Bachela, basi tafuta mwanamke Bikra uoe. Kama asemavyo Jokajeusi,

Itashangaza mtu ajiue Kwa mwanamke ambaye hakumkuta Bikra, au mwanamke ajiue Kwa mwanaume ambaye anama-ex Mia moja.

Huwezi muoa Mwanamke asiye na Bikra bila ku-format historia ya wapenzi wake wa zamani, elewa kuwa Mwanamke kumuoa sio sababu ya kukupenda, mara nyingi upendo wa Kwanza Kwa mwanamke ndio upendo halisi, mwanaume wa Kwanza ndio alimpenda Kwa dhati kuliko watakaofuatia.

Sasa assume wewe ni mtu wa tano kwake unafikiri unalipi la kumwambia, tayari anafanya kila kitu Kwa Reference za nyuma akikulinganisha wewe na wengine.

Mwisho Kwa watu wa Imani, Tunza watoto, wafundishe maadili hata Kama wewe ulikosea, muonyeshe namna ya kufanya chaguzi Kwa usahihi kwenye maisha.

Muathiri mtoto asichague wanaume au wanawake WA hovyo hiyo inawezakana kabisa, hata Kama wewe ulichagua mke/mume WA hovyo jitahidi umuathiri mtoto aone mabaya yaliyokupata, pandikiza chuki awachukie watu wapumbavu, makatili na wenye vichaa.

Hakikisha mtoto ajue Hana haki ya kuchagua Upande wa mauti au upande mbaya.

Hakikisha Ajue siku akichagua watu wasioeleweka hamtakuwa tena mtu na Mzazi wake.

Baadhi ya familia huwawekea watoto vikwazo Kwa kuwatenga, kutowapa Mali za Urithi ikiwa wataamua kufuata mambo ya hovyo.

Jambo hili linatuhusu zaidi wababa, Mwanaume lazima uwe mkali linapokuja suala la familia yako.

Sio toto linaamua kuwa Shoga au kufanya mambo ya kupuuzi unalichekea, zamani watoto walijua kabisa Baba zao watawaua ikiwa watajiingiza kwenye ujinga.

Baba lazima utambulike hivyo, usione shida kufukuza na kutoa adhabu Kali Kwa watoto wapuuzi.

Kuliko mtoto ajiue au auwe watoto wa wengine ni Kheri mzazi umdhibiti mapema Kabisa.

Siku zote Taikon ninaamini Matatizo ya watoto Kwa Asilimia 90% chanzo chake ni wazazi iwe Kwa uzembe au Kwa makusudi. Ndio maana wanasema mtoto wa nyoka ni nyoka.

Wewe uliona wapi Nyoka akazaa jongoo.

Hizo kumi ni exceptional ambazo watoto huiga kwenye jamii. Ila 90% ni matokeo ya wazazi.

Kama mzazi ni Malaya mtoto ataachaje kuwa Malaya, hata ukienda kushtaki Kwa wazazi wake watakuwa wanakuchora tuu Ila kimsingi wao ndio tabia zao.

Mzazi mchoyo huzaa watoto wachoyo.

Mzazi mchawi huzaa watoto wachawi.

Mzazi mwizi huzaa watoto wezi.
Hivyo ndivyo ilivyo.

Vijana wa siku wanajifanya wamesoma wanakataa Jambo hili wanasema tabia ni ishu ya mtu mwenyewe hata hawajui maana ya tabia, ndio maana Dada yangu Faizafoxy anakuambia huko shuleni mmeenda kusomea ujinga. Kabla hujaoa au hujaolewa lazima uchunguze ukoo unaoenda kuolewa/kuoa.

Matukio ya Dunia hujirudia Kwa kufuata Mkondo, Kama kwenye ukoo wao kuna ishu za mauaji usijesema miaka mingi imepita haijatokea Jambo kama Hilo, sio kweli inaweza kutokea kwako, inaitwa volcano iliyolala. Historia inakawaida ya kujirudia lakini lazima ijirudie kwenye Mkondo uleule. Matukio ya mafuriko hukumba Maeneo yaleyale hata Kama yasipotokea miaka elfu moja, matukio ya vimbunga halikadhalika, matetemeko.

Kila ukoo unatabia zake za Asili iwe za ndani au za wazi. Vijana wakiambiwa hili watakubishia,

Watu wanasema ndoa ni ngumu lakini hawaelewi ugumu wanauleta wao.
Muislam aoelewe na muislam halikadhalika Wakristo Kwa Wakiriso.

Mzungu Kwa Mzungu
Muafrika kwa Mwafrika
Kabila Kwa kabila au Yale yanayokaribiana Mila. Sio mjifanye wajuaji ilhali hamna mjuacho.

Ndoa inahitaji Ufanano. Acha wauaji waoane wenyewe Kwa wenyewe,
Walevi Kwa walevi
Wazinzi Kwa wazinzi
Wema Kwa wema.

Hivyo ndio namna ya kuepukana na Matatizo na mabalaa.

Polisi na Serikali itoe hiyo Elimu, Dini na taasisi za mambo ya ndoa na kijinsia zitoe elimu hiyo.

Sio zitoe elimu za ajabuajabu ati watu wasibaguane, jamani kwenye maisha kuna mambo lazima watu wabaguane hasa ishu za ndoa na uzazi.

Huwezi weka pamoja Moto na maji
Huwezi weka pamoja Mafuta na Maji
Huwezi weka pamoja Giza na Nuru
Huwezi weka pamoja jamani eleweni hivyo.

Biblia inasema;
Danieli 2:43
Na kama vile ulivyokiona kile chuma kimechanganyika na udongo wa matope, watajichanganya nafsi zao kwa mbegu za wanadamu; lakini hawatashikamana, kama vile chuma kisivyoshikamana na udongo.

Vijana mnashindwa akili hata na wanyama, uliona wapi Chui na Chita wakazaliana licha ya kufanana.
Au uliona wapi Njiwa wa porini na njiwa nyumbani wakazaliana?
Au uliona wapi Mbwa mwitu na mbwa WA nyumbani wakazaliana hata wakiwekwa pamoja, labda walazimishwe na binadamu.
Au pundamilia na punda wa nyumbani uliona wapi wakaingiliana?

Mtu kuwa binadamu haimaanishi anaweza kuwa Mke au mume wako, Mungu sio mjinga atuumbe tofauti tofauti, kila makundi yakae pamoja.

Poleni Wafiwa!

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
Nijuavyo mimi kila mtu anaweza kutekeleza ukatili ni mazingira tu mtu anayokutana nayo, usimcheke mtu kwa kuwa kaua kajiua kajeruhi n.k ni mazingira aliyokutana nayo tu

Ndio maana kuna mtu ukisikia kafanya tukio la kikatili unakataa kabisa unauliza hivi kweli ni huyu huyu tunayemjua au ni mwingine?

Kuna watu wanavumilia madhila mengi kwa muda mrefu mpaka anafikia kuamini kwamba hana namna nyingine ya kuyaepuka
 
Uwe mcha Mungu, umuombe Mungu akuunganishe na mcha Mungu. Msimame imara katika kumtumikia Mungu. Wote wawili mkiwa na hofu ya Mungu mambo hwenda barabara, maana mtaongozwa na Mungu. Ndoa ni taasisi iliyoanzishwa na Mungu mwenyewe. Ndoa ni kitu kizuri sana kwa kuwa kilianzishwa na Mungu pale bustanini Eden, Imeandikwa: "apataye mke apata kitu chema"


JESUS IS LORD
Sasa kwa taarifa yako hakuna ndoa zenye matatizo kama hizo za nyie mnaojifanya wachamungu
 
Umeongea vingi pointi kabisa. Mwanaume ukioa ukiwa na uzoefu na wanawake kabla haitakusumbua ukiingia kwenye ndoa. Ksbb tayari unakuwa ulishawahi kupenda. Pia kama ulivyosema usioe unaempenda sana.

Ila tunafautiana hapo kwenye bikra,unadhani mwanamke ukimbikiri hawezi kuzengewa na mabaharia?. Hata boda boda anaembeba anaweza akamuonja. Tena hawa ndio wabaya sana akionja nyingine,inaweza ikamkolea. Kingine sidhani kwamba ksbb ya kukutunuku usichana wake kwamba ndio wewe anakupenda,sio kweli. Unaweza kuta umepewa kuringana na mazingira tu mnapoishi,labda hata sehemu za kazi n.k. Lakini kiuhalisia sio kwamba unaweza ukawa ndio amekupenda hatampenda mwingine zaidi yako.

Kutooa kabisa hicho kitu kiko wazi kabisa mara zote nawaambia hawa vijana wanaokuja kama wana uwezo watengeneze mazingira ya kutooa mazima. Wataishi kwa furaha sana.

Kuhusu kuua mke ukimfumania hiyo kwangu haiwezi kunitokea. Vinginevyo atakuwa tu amejisafishia njia ya kuondoka tu,kuachana.
 
[emoji3][emoji3]

Tatizo unajifikiria mwenyewe, huoni tabu ipo Kwa watoto ambao unawalea bila ya Mama[emoji3][emoji3].

Tatizo mambo haya watu hawayafikirii Kwa kina, ni Sawa na Mwanamke anayejiwaza yeye kisa anauwezo WA Kulea watoto pekeake.

Kitendo cha Kulea watoto pekee yako kinatosha Kueleza kuwa familia yako imeanguka na hiyo utaiona baadaye Sana
Lakini si umeshauri kila mtu awe mbinafsi kwa kadiri anavyotaka?? Yeye kwa upande wake ndio alivyotaka
 
Back
Top Bottom