Ili usimuue mkeo ukajiweka matatizoni, fanya yafuatayo

[emoji3][emoji3]

Mimi ni Mkristo OG sio ule Ukristo ulioeditiwa.
Kristo alikuwa Myahudi na dini yake ni myahudi Ila wafuasi wake wanaona shida kufuata amri na sheria za kiyahudi. Inashangaza.

Kristo hajawahi kubadili dini popote pale
Mkristo OG halafu unashauri watu wasioe bali wafanye zinaa na wanawake kadiri wapendavyo tena watenge bajeti kabisa laki kila mwezi inatosha kwenye zinaa[emoji23][emoji23][emoji23] itakua ukristo umevamiwa
 
Hili somo haliingii akilini maana mapenzi kila mtu na mawazo na akili zake zinavyo mtuma mi nshafumania wife analiwa sikuongea kitu niliamua kuondoka mpaka leo sitaki kumuona na watoto nilishachukua wala sikumwambia kosa lake yani kimya mpaka leo.
Adhabu uliyomwachia ni kali balaa,kifungo cha nafsi kibaya unaweza jiua bora hata ufungwe ujue upo jela kihalali
 
Hata mke nae ananjia zake za kumuua mumewe hata kama umemzidi nguvu e.g sumu kwa chakula,juju etc,,,weka na sln za wake wafanye nini wasiwaue waume zao
 
Hili somo haliingii akilini maana mapenzi kila mtu na mawazo na akili zake zinavyo mtuma mi nshafumania wife analiwa sikuongea kitu niliamua kuondoka mpaka leo sitaki kumuona na watoto nilishachukua wala sikumwambia kosa lake yani kimya mpaka leo.
DUH
 
Tuoe wanawake wabaya, tuzae na warembo
 
Mkristo OG halafu unashauri watu wasioe bali wafanye zinaa na wanawake kadiri wapendavyo tena watenge bajeti kabisa laki kila mwezi inatosha kwenye zinaa[emoji23][emoji23][emoji23] itakua ukristo umevamiwa

Ukisoma vizuri utagundua niliandika Kwa makundi mawili,
1. Wahuni
2. Waamini katika Mungu.

Kila kundi litachukua Posheni yake inayolihusu.
Ulitaka mhuni nimpe ushauri wa Kristo ilhali mfumo wake hautumii Imani hiyo?

Ukisoma andiko lolote jitahidi usome Kwa ufahamu
 

Huwezi kuacha mtu ambaye bado anavitu vyako, hiyo kanuni inatumiwa na watu wanyonge.

Yaani nikununulie Nyumba, magari, nikusomeshe alafu nikuachie vitu hivyo kisa sijui uzima au moyo. Adhabu ya kifo ni adhabu ya wasaliti wote popote Duniani. Utakufa Kwa Amani kuliko kuishi Kwa Mateso huku ukimuona Msaliti anapeta.

Hapo unachotakiwa kushauri ni kuwaambia wanaochukua Mali za watu ndio warudishe Mali na Fidia ya waliyopewa ili waachwe Kwa Amani vinginevyo ni Kifo tuu ndio Suluhu na haki Yao.

"huwezi ukawa Msaliti alafu bado ukawa Una-survive tuu" JPM.

Hiyo ni kanuni ya watu wote mashujaa na hodari.

Watu waache mazoea na Mali na kuchezea mioyo ya watu. Vifo vya namna hiyo havitakuwepo.

Hata chanzo cha kifo cha mwanadamu ni usaliti wa Adamu na Hawa Kwa Mungu, wakamchagua Lusifa badala ya Mungu, kilichotokea ni kulimwa RISASI za mauti mpaka hivi leo.

Tena ingekuwa mwingine angedhuru mpaka wasiohusika ikiwemo familia ya Msaliti.
 
ILI USIMUUE MKEO AU MCHUMBA WAKO UKAJIWEKA MATATIZONI FANYA YAFUATAYO

Anaandika, Robert HERIEL

Kuua ni kosa kisheria pia ni dhambi kubwa kidini. Hivyo ili kujiepusha na kosa hilo hasa Kwa wanandoa tukiwemo wanaume basi Ushauri huu utafaa zaidi;
Zote umenena vyema, ila hiyo ya kuoa bikra umechemka
Hakuna mahusiano ya ubikra na upendo huwa ni coincidence inatokea tu bikra mkaishi naye vizur
Ni hv wapo waliooa mabikra na wakaja kuwageuka baada ya kutaka kujua mapenzi zaidi ndiposa wakachepuka kujua ladha mbalmbal wanazozisikia tu
 

Sio kila vita ina faida
Kama ulitafuta, bado utatafuta vingine na utapata tena bora zaidi
 


hayo yote hakuna kitu, binadamu hubadilika
Kuwa kichwa familia ndo mpango mzima, yaani mbane hata asikohoe from day one
 
Siku hizi Kwa vile watu hawauthamini upendo ni Kheri mtu awe bachela Kwa wahuni lakini.
Kwa wale wapenda kufuata Imani basi itawapasa wafuate sheria ya ufanano na kanuni za kiungu
Utabaini vipi mfanano mkuu kwani wengine ujivika ngozi ya kenge yamkin wao ni nyoka wenye sumu ya kukuua Kwa sekunde tu
 
Mcha Mungu kwa mcha MUNGU
Muovu Kwa Muovu n.k.

Kanuni ni apate wa kufanana Naye, hivyo tuu
Hata baadhi yahivyo HAOI AU KUOLEWA ILA NA MTU ANAYE FANANA NAYE!
MLEVI ATAOA AU KUOLEWA NA MLEVI MWENZIE
MCHAWI NA MCHWI MWENZIE
MWIZI NA MWIZI MWENZIE
HALI KADHALIKA MCHA MUNGU
MUONGO n.k
 
uzi wa kifwala.. nikadhani una solution kwa sisi ambao tushaoa kumbe unawahusu wale ambao hawajaoa?? heading na yaliyomo ndani ni mbali mbali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…