Ili utoboe fanya yafuatayo

Ili utoboe fanya yafuatayo

Malila

JF-Expert Member
Joined
Dec 22, 2007
Posts
5,329
Reaction score
5,024
Salaam,
Katika michakato ya ujasiriamali nimekutana na mambo kadhaa wa kadhaa, iwe kwa kuona au kuhadithiwa au kwa kutenda au kutendewa au kushuhudia, mwisho ukweli umebaki pale pale ambao ni huu hapa chini.

1. Ili utoboe haraka kwa njia za haki, simamia mwenyewe kazi yako

2. Ili utoboe haraka kwa njia za haki achana na story ya kumwachia dhamana kubwa mtu mwingine

3. Ili utoboe haraka kwa njia za haki achana na partinership za kibongo zisizo na tija

4. Ili utoboe haraka kwa njia za haki achana na kitu kinaitwa undugu hasa kwa sisi wabantu

5. Ili utoboe haraka kwa njia za haki usimpe usaidizi wa kazi total jobless person
 
1. Ili utoboe haraka kwa njia za haki, simamia mwenyewe kazi yako
2. Ili utoboe haraka kwa njia za haki achana na story ya kumwachia dhamana kubwa mtu mwingine
3. Ili utoboe haraka kwa njia za haki achana na partinership za kibongo zisizo na tija
4. Ili utoboe haraka kwa njia za haki achana na kitu kinaitwa undugu hasa kwa sisi wabantu
5. Ili utoboe haraka kwa njia za haki usimpe usaidizi wa kazi total jobless person
Hizi points zako tano; zimenipatia hii Hadithi fupi: "Njia za Kupata Mafanikio"
=
Njia za Kupata Mafanikio


Kulikuwa na kijana mmoja ambaye alitaka kufanikiwa haraka katika maisha yake. Alitaka kupata pesa nyingi na kufanikiwa katika kazi yake, lakini hakuwa na uhakika ni njia gani angezipitia.

Siku moja, alikutana na mzee mmoja ambaye alikuwa amefanikiwa sana katika maisha yake. Mzee huyo alimwambia kijana huyo kwamba ili apate mafanikio haraka kwa njia za haki, alitakiwa kufuata mambo kadhaa.

Kwanza, alitakiwa kusimamia mwenyewe kazi yake na kuwa na bidii katika kufanya kazi. Hakutakiwa kuwa na uvivu na badala yake, alitakiwa kuwa makini na kusimamia kila hatua ya kazi yake.

Pili, alitakiwa kuepuka kuwapa watu dhamana kubwa kama vile kufanya biashara au kutoa pesa nyingi bila kujiridhisha. Alitakiwa kuepuka kupata partinership za kibongo zisizo na tija na badala yake, kufanya maamuzi yake mwenyewe.

Tatu, alitakiwa kuachana na undugu hasa kwa sisi wabantu na badala yake, kuzingatia ubora wa mtu katika kazi zake na uwezo wake. Hivyo, alitakiwa kutambua kwamba mafanikio yake yatatokana na juhudi zake binafsi na siyo kwa sababu ya kuwa na undugu na watu fulani.

Nne, alitakiwa kuepuka kuwasaidia watu ambao hawana kazi na hawako tayari kujituma katika kazi yoyote. Hivyo, alitakiwa kujiepusha na watu wenye tabia ya kutaka kupata kazi kwa njia ya mkato na badala yake, kufanya kazi kwa bidii ili kupata mafanikio.

Kijana huyo aliyasikia maelezo hayo ya mzee huyo na akafanya kazi kwa bidii na kufuata ushauri huo. Baada ya muda mfupi, alipata mafanikio makubwa katika kazi yake na akawa mmoja wa watu maarufu sana katika jamii yake.
 
Salaam,
Katika michakato ya ujasiriamali nimekutana na mambo kadhaa wa kadhaa, iwe kwa kuona au kuhadithiwa au kwa kutenda au kutendewa au kushuhudia, mwisho ukweli umebaki pale pale ambao ni huu hapa chini.
1. Ili utoboe haraka kwa njia za haki, simamia mwenyewe kazi yako
2. Ili utoboe haraka kwa njia za haki achana na story ya kumwachia dhamana kubwa mtu mwingine
3. Ili utoboe haraka kwa njia za haki achana na partinership za kibongo zisizo na tija
4. Ili utoboe haraka kwa njia za haki achana na kitu kinaitwa undugu hasa kwa sisi wabantu
5. Ili utoboe haraka kwa njia za haki usimpe usaidizi wa kazi total jobless person
Sambamba Sana [emoji1666] kiongozi naona umerudi Tena JF bila wewe Malila huwa naona bado haijakamilika kutokana na nondo ulizokuwa unatoa miaka ya nyuma
 
Salaam,
Katika michakato ya ujasiriamali nimekutana na mambo kadhaa wa kadhaa, iwe kwa kuona au kuhadithiwa au kwa kutenda au kutendewa au kushuhudia, mwisho ukweli umebaki pale pale ambao ni huu hapa chini.
1. Ili utoboe haraka kwa njia za haki, simamia mwenyewe kazi yako
2. Ili utoboe haraka kwa njia za haki achana na story ya kumwachia dhamana kubwa mtu mwingine
3. Ili utoboe haraka kwa njia za haki achana na partinership za kibongo zisizo na tija
4. Ili utoboe haraka kwa njia za haki achana na kitu kinaitwa undugu hasa kwa sisi wabantu
5. Ili utoboe haraka kwa njia za haki usimpe usaidizi wa kazi total jobless person
Hio no 3 umekoroga ngazi

Ila yote kwa yote mtu akifuata hizo protocol vizur lazima atoboe
 
Salaam,
Katika michakato ya ujasiriamali nimekutana na mambo kadhaa wa kadhaa, iwe kwa kuona au kuhadithiwa au kwa kutenda au kutendewa au kushuhudia, mwisho ukweli umebaki pale pale ambao ni huu hapa chini.
1. Ili utoboe haraka kwa njia za haki, simamia mwenyewe kazi yako
2. Ili utoboe haraka kwa njia za haki achana na story ya kumwachia dhamana kubwa mtu mwingine
3. Ili utoboe haraka kwa njia za haki achana na partinership za kibongo zisizo na tija
4. Ili utoboe haraka kwa njia za haki achana na kitu kinaitwa undugu hasa kwa sisi wabantu
5. Ili utoboe haraka kwa njia za haki usimpe usaidizi wa kazi total jobless person
Umepotea sana madam!! Vipi mashamba njombe, iringa na ruvuma eka moja inachezea ngapi kwa sasa?
 
Salaam,
Katika michakato ya ujasiriamali nimekutana na mambo kadhaa wa kadhaa, iwe kwa kuona au kuhadithiwa au kwa kutenda au kutendewa au kushuhudia, mwisho ukweli umebaki pale pale ambao ni huu hapa chini.
1. Ili utoboe haraka kwa njia za haki, simamia mwenyewe kazi yako
2. Ili utoboe haraka kwa njia za haki achana na story ya kumwachia dhamana kubwa mtu mwingine
3. Ili utoboe haraka kwa njia za haki achana na partinership za kibongo zisizo na tija
4. Ili utoboe haraka kwa njia za haki achana na kitu kinaitwa undugu hasa kwa sisi wabantu
5. Ili utoboe haraka kwa njia za haki usimpe usaidizi wa kazi total jobless person
Shukrani kwa ku share lakini
 
Hio no 3 umekoroga ngazi

Ila yote kwa yote mtu akifuata hizo protocol vizur lazima atoboe
Naam,
Nimeangalia na kushuhudia partinership nyingi, kwa ufupi ni mtihani sana kupata good partiners. Naamini katka kushirikiana sana, lakini tuwe na mipaka katika ushirikiano huo.
 
Umepotea sana madam!! Vipi mashamba njombe, iringa na ruvuma eka moja inachezea ngapi kwa sasa?
Mashamba yapo,
Ujio wa Parachichi na macadamia, ajira kupotea, idadi ya watu wasio na ajira rasmi kuongeze umebadilisha thamani ya ardhi. Maporini kabisa tulikokuwa tunanunua bei karibu na bure leo nenda na 150,000/ kwenda juu.
 
Salaam,
Katika michakato ya ujasiriamali nimekutana na mambo kadhaa wa kadhaa, iwe kwa kuona au kuhadithiwa au kwa kutenda au kutendewa au kushuhudia, mwisho ukweli umebaki pale pale ambao ni huu hapa chini.
1. Ili utoboe haraka kwa njia za haki, simamia mwenyewe kazi yako
2. Ili utoboe haraka kwa njia za haki achana na story ya kumwachia dhamana kubwa mtu mwingine
3. Ili utoboe haraka kwa njia za haki achana na partinership za kibongo zisizo na tija
4. Ili utoboe haraka kwa njia za haki achana na kitu kinaitwa undugu hasa kwa sisi wabantu
5. Ili utoboe haraka kwa njia za haki usimpe usaidizi wa kazi total jobless person

Kufanikiwa kwa njia za haki😍
Asante sana Malila🙏
 
Nami na wambia iliufanikiwe katika biashara unatakiwa kuwa na wateja wa kutosha na hayo yote hapo juu bila wateja ni bure.
 
Salaam,
Katika michakato ya ujasiriamali nimekutana na mambo kadhaa wa kadhaa, iwe kwa kuona au kuhadithiwa au kwa kutenda au kutendewa au kushuhudia, mwisho ukweli umebaki pale pale ambao ni huu hapa chini.
1. Ili utoboe haraka kwa njia za haki, simamia mwenyewe kazi yako
2. Ili utoboe haraka kwa njia za haki achana na story ya kumwachia dhamana kubwa mtu mwingine
3. Ili utoboe haraka kwa njia za haki achana na partinership za kibongo zisizo na tija
4. Ili utoboe haraka kwa njia za haki achana na kitu kinaitwa undugu hasa kwa sisi wabantu
5. Ili utoboe haraka kwa njia za haki usimpe usaidizi wa kazi total jobless person
Please naomba ufafanue point yako ya mwisho.
 
Mashamba yapo,
Ujio wa Parachichi na macadamia, ajira kupotea, idadi ya watu wasio na ajira rasmi kuongeze umebadilisha thamani ya ardhi. Maporini kabisa tulikokuwa tunanunua bei karibu na bure leo nenda na 150,000/ kwenda juu.
Duuh! Hata kwa 100k kwa eka ni ngumu kupata huko?
 
Duuh! Hata kwa 100k kwa eka ni ngumu kupata huko?
Unaweza pata ndani ndani sana, ambako changamoto zote zipo kama kukosa barabara, maji, huduma za kijamii mbali sana, wanyama waharibifu nk nk. Au unaweza pata za bei hiyo kwenye mashamba yenye migogoro au yaliyoachwa na wenyewe kwa muda.
 
Please naomba ufafanue point yako ya mwisho.
Unapompa kazi mtu ambaye totally ni jobless kwa kipindi cha kutosha, kuna vitu lazima ukubali vikukute. Moja anaweza kuwa mdokozi sbb ya shida au anaweza asiwe na tija sbb ameshakata tamaa. Pili, anaweza kukuonyesha tabia halisi baada ya kitambo wakati ameshajikarabati.
 
Nami na wambia iliufanikiwe katika biashara unatakiwa kuwa na wateja wa kutosha na hayo yote hapo juu bila wateja ni bure.
Uko sawa, bomba linaloleta maji ni nchi moja na la kutolea ni nchi nne, sijui kama maji yatakaa. Hapa tunazungumzia bomba la kutolea maji liwe dogo sana ili maji yajae tanki mkuu.
 
Back
Top Bottom