King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
King kumbe bado upoooooo, Mungu anakupenda sana hahaaaaa
Kufanikiwa kwa njia za haki inachukua muda sana, lakini unapata amani ya moyo unapokula matunda yako, hata huwezi kubadili line ya simu etiii.Kufanikiwa kwa njia za haki😍
Asante sana Malila🙏
Tukiwa na akina Mbu, loohMkuu Malila nipo ,Mungu ni Mwema kila wakati,Kitambo sana tangu enzi zile unatupa nondo za kilimo.
Ili utoboe kohalamu ufanyeje?Salaam,
Katika michakato ya ujasiriamali nimekutana na mambo kadhaa wa kadhaa, iwe kwa kuona au kuhadithiwa au kwa kutenda au kutendewa au kushuhudia, mwisho ukweli umebaki pale pale ambao ni huu hapa chini.
1. Ili utoboe haraka kwa njia za haki, simamia mwenyewe kazi yako
2. Ili utoboe haraka kwa njia za haki achana na story ya kumwachia dhamana kubwa mtu mwingine
3. Ili utoboe haraka kwa njia za haki achana na partinership za kibongo zisizo na tija
4. Ili utoboe haraka kwa njia za haki achana na kitu kinaitwa undugu hasa kwa sisi wabantu
5. Ili utoboe haraka kwa njia za haki usimpe usaidizi wa kazi total jobless person
Bila haramu kutoboa si kazi rahisi. Matajiri wote duniani ni watu wa rushwa na dhulma.Bila rushwa mtaandika sana jitihada za kutoboa, TZ kutoboa ngumu nila rushwa
Baada ya kuigusa serikali but kama ni shughuli zako binafsi rushwa as shamba, duka la madela rushwa utatoa siku gami labda (au siku ya kwenda kukata leseni?)Bila rushwa mtaandika sana jitihada za kutoboa, TZ kutoboa ngumu nila rushwa
Nakazia.Salaam,
Katika michakato ya ujasiriamali nimekutana na mambo kadhaa wa kadhaa, iwe kwa kuona au kuhadithiwa au kwa kutenda au kutendewa au kushuhudia, mwisho ukweli umebaki pale pale ambao ni huu hapa chini.
1. Ili utoboe haraka kwa njia za haki, simamia mwenyewe kazi yako
2. Ili utoboe haraka kwa njia za haki achana na story ya kumwachia dhamana kubwa mtu mwingine
3. Ili utoboe haraka kwa njia za haki achana na partinership za kibongo zisizo na tija
4. Ili utoboe haraka kwa njia za haki achana na kitu kinaitwa undugu hasa kwa sisi wabantu
5. Ili utoboe haraka kwa njia za haki usimpe usaidizi wa kazi total jobless person
Hiyo ni general misconception tu, sio matajiri wote wapo hivyo.Bila haramu kutoboa si kazi rahisi. Matajiri wote duniani ni watu wa rushwa na dhulma.
Baada ya kuigusa serikali but kama ni shughuli zako binafsi rushwa as shamba, duka la madela rushwa utatoa siku gami labda (au siku ya kwenda kukata leseni?)
Kulima nyanya, vitunguu unatoa rushwa kwa nani? mfano tu.
Hiyo ni general misconception tu, sio matajiri wote wapo hivyo.
Ndio nakuambia kuwa ni general misconception. Bakhresa ameajiri watu kusaidia biashara zake na lengo lake ni zuri tu ila walioajiriwa ndio wanamuangusha kwa kuleta udanganyifu.Kwa Tanzania ni wote, na ndio maana walikua wanampiga vita sana JPM na utawala wake
Juzi Azam amekamatwa anauza sumu watu wanamtetea
Hivi umefundisha watu Chemistry kuanzia Form 1 hadi 6 na wengine wana Ph.D. za Chemistry kwamba hawajui madhara ya Benzine
Haha, Azam anaendelea kuuza sumu
Zaidi ya hapo lazima uwe fisadi la ccmMadela yanatajirisha??
Hao wanaowapa ushauri wa kutoboa wao mbona hawajatoboa kwa kufata shauri zao.
Nchi yetu huwezi kutoboa bila UMAFIA tutadanganywa sana na watu
Utapata pesa ya kula na kujenga 3bedrooms na IST umemaliza
Bwana Extramiles kama wewe ni mtafutaji wa pesa ungekuwa ushatuelewa tunachoongea. Ila naona bado wewe ni mwanafunzi wa chuo bado au unaishi kwa Baba yako.Ndio nakuambia kuwa ni general misconception. Bakhresa ameajiri watu kusaidia biashara zake na lengo lake ni zuri tu ila walioajiriwa ndio wanamuangusha kwa kuleta udanganyifu.
Ndio nakuambia kuwa ni general misconception. Bakhresa ameajiri watu kusaidia biashara zake na lengo lake ni zuri tu ila walioajiriwa ndio wanamuangusha kwa kuleta udanganyifu.
Kwani Malila Ni madam acha kukejeli watuUmepotea sana madam!! Vipi mashamba njombe, iringa na ruvuma eka moja inachezea ngapi kwa sasa?