Extra miles
JF-Expert Member
- Apr 18, 2018
- 3,652
- 4,972
Hatuwezi kuelewana ila amini unachoamini mkuu.Kwamba Bakhresa hajui hajui mchanganyiko katika bidhaa zake bali wafanyakazi wake ndio wanajua? We jamaa unatuonaje lakini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatuwezi kuelewana ila amini unachoamini mkuu.Kwamba Bakhresa hajui hajui mchanganyiko katika bidhaa zake bali wafanyakazi wake ndio wanajua? We jamaa unatuonaje lakini?
Kwa mtaalamu wa kilimo ili afike Mara kwa Mara kwenye Shamba lako,Kulima nyanya, vitunguu unatoa rushwa kwa nani? mfano tu.
Yote hayo ni kwa sababu ya umaskini. The absolute enemy ni umaskini. Wala marafiki na ndugu zako hawana shida.Salaam,
Katika michakato ya ujasiriamali nimekutana na mambo kadhaa wa kadhaa, iwe kwa kuona au kuhadithiwa au kwa kutenda au kutendewa au kushuhudia, mwisho ukweli umebaki pale pale ambao ni huu hapa chini.
1. Ili utoboe haraka kwa njia za haki, simamia mwenyewe kazi yako
2. Ili utoboe haraka kwa njia za haki achana na story ya kumwachia dhamana kubwa mtu mwingine
3. Ili utoboe haraka kwa njia za haki achana na partinership za kibongo zisizo na tija
4. Ili utoboe haraka kwa njia za haki achana na kitu kinaitwa undugu hasa kwa sisi wabantu
5. Ili utoboe haraka kwa njia za haki usimpe usaidizi wa kazi total jobless person
Nalijua sana mkuu.Huwezi kutobia bila kuwafanyisha watu kazi. Huwezi kutoboa bila kuwatumikisha watu. Hiyo ni sayansi na ipo kwenye nadharia za kiuchumi pia.