Ili utoboe fanya yafuatayo

Yote hayo ni kwa sababu ya umaskini. The absolute enemy ni umaskini. Wala marafiki na ndugu zako hawana shida.
You must know your enemy.
Toka kwenye hayo mawazo.
 
Huwezi kutobia bila kuwafanyisha watu kazi. Huwezi kutoboa bila kuwatumikisha watu. Hiyo ni sayansi na ipo kwenye nadharia za kiuchumi pia.
 
Huwezi kutobia bila kuwafanyisha watu kazi. Huwezi kutoboa bila kuwatumikisha watu. Hiyo ni sayansi na ipo kwenye nadharia za kiuchumi pia.
Nalijua sana mkuu.
 
Unafanya biashara ndugu wanakopa hawarejeshi , unakutana nae anakenua meno tu , undugu kwenye biashara ni sumu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…