ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 2,424
- 4,954
Kwahiyo pambana sana kijana, hili ni somonhasa kwa vijana lazima uwe na nguvu tatu muhimu uweze kuheshimika
1. Nguvu ya kiserikali, lazma uwe karibu na serikali na watu wake wa juu ikiwemo Rais, waziri, rcs , wabunge, igp, mabeyo,
2. Nguvu ya uchawi - maadui ni wengi unahitaji ulinzi wa kichawi na WA kiserikali Ili uweze pambana na maadui na mafanikio yako yazidi.
3. Nguvu ya pesa, awamu iliyopita ilituonesha nguvu peke yake ya kuwa na pesa haitoshi, unahitaji nguvu ya kichawi na nguvu ya kiserikali mfano manji, lakini bado ni kigezo muhimu ya mafanikio na kuheshimika. Na kuwa juu.
Kama mnakumbuka Makonda alikuwa mkuu wa mkoa tu lakini alikuwa na nguvu za kiserikali kuliko hata mawaziri.
Matajiri wanapesa lakini wanapambana kuwa juu zaidi kiserikali na kiuchawi.
Imetosha
1. Nguvu ya kiserikali, lazma uwe karibu na serikali na watu wake wa juu ikiwemo Rais, waziri, rcs , wabunge, igp, mabeyo,
2. Nguvu ya uchawi - maadui ni wengi unahitaji ulinzi wa kichawi na WA kiserikali Ili uweze pambana na maadui na mafanikio yako yazidi.
3. Nguvu ya pesa, awamu iliyopita ilituonesha nguvu peke yake ya kuwa na pesa haitoshi, unahitaji nguvu ya kichawi na nguvu ya kiserikali mfano manji, lakini bado ni kigezo muhimu ya mafanikio na kuheshimika. Na kuwa juu.
Kama mnakumbuka Makonda alikuwa mkuu wa mkoa tu lakini alikuwa na nguvu za kiserikali kuliko hata mawaziri.
Matajiri wanapesa lakini wanapambana kuwa juu zaidi kiserikali na kiuchawi.
Imetosha