jitombashisho
JF-Expert Member
- Jun 11, 2020
- 667
- 2,245
Uongozi ni pamoja na wewe kuungwa mkono na kamati husika niliyoitaja hapo juu tofauti na hapo ni kupoteza muda tu.
Kamati hii inawajumuisha wafuatao:
Rais aliyepo madarakani japokuwa si muhimu akuunge.
Mkuu wa majeshi.
Mkuu wa Jeshi la Polisi.
Mkurugenzi wa Idara ya Usalama wa Taifa.
Mkuu wa Magereza.
Mkuu wa Uhamiaji.
Kamishna wa kudhibiti madawa ya kulevya.
...na Marais wastaafu japokuwa ni waalikwa.
Ndugu yangu bila uungwaji wa mkono na hao jamaa hapo juu wala huna haja ya kupoteza muda.
Kwa gharama "yeyote" na kwa namna "yeyote" ili uweze kufanikiwa kuwa mkuu wa Nchi lazima baadhi ya hao wawe upande wako na kama ni vinginevyo bora Nchi waichukie wao kuliko kikaragosi fulani..
Kamati hii inawajumuisha wafuatao:
Rais aliyepo madarakani japokuwa si muhimu akuunge.
Mkuu wa majeshi.
Mkuu wa Jeshi la Polisi.
Mkurugenzi wa Idara ya Usalama wa Taifa.
Mkuu wa Magereza.
Mkuu wa Uhamiaji.
Kamishna wa kudhibiti madawa ya kulevya.
...na Marais wastaafu japokuwa ni waalikwa.
Ndugu yangu bila uungwaji wa mkono na hao jamaa hapo juu wala huna haja ya kupoteza muda.
Kwa gharama "yeyote" na kwa namna "yeyote" ili uweze kufanikiwa kuwa mkuu wa Nchi lazima baadhi ya hao wawe upande wako na kama ni vinginevyo bora Nchi waichukie wao kuliko kikaragosi fulani..