Nchi ingekuwa na huduma bora sanaAsee ni jasiri sana,kama tungekuwa na vijana hao 500 tusingekuwa hapa tulipo
Mkuu Kwanini unaona km ni ajabu???. Kwani Serikali ipo kwaajili ya akina nani?. Kweli mfumo kandamizi ni mbaya sana yaani haki Yako unaona km Surprise?!!.Wamejibu kwa busara sana,heb waza dogo kama huyo anajibiwa na serikali!!! Ni ajabu sana
Mkuu ni haki yangu lakini geresha tu,ww uliwahi kupata haki kabisa? Japo ni haki yangu lakini ni ajabu sababu sijazoeaMkuu Kwanini unaona km ni ajabu???. Kwani Serikali ipo kwaajili ya akina nani?. Kweli mfumo kandamizi ni mbaya sana yaani haki Yako unaona km Surprise?!!.
Mungu amsimamie asikengeukeHakika sasa huyu ndio kiongozi anaeifaa demokrasia wala sio aliepita
Upo sahihi Mkuu, kwasababu tulishawekwa kwenye mifuko ya watu.In short tushazoea kugandamizwa.Mkuu ni haki yangu lakini geresha tu,ww uliwahi kupata haki kabisa? Japo ni haki yangu lakini ni ajabu sababu sijazoea
Mimi bado najiuliza, dogo hakuona kama kachaguliwa Ualimu!Dah!! Haya mambo tumeyazoea kuona kwenye nchi kama Marekani, Uingereza n.k
Kitendo alichofanya huyu dogo Josephat kama ungekuwa utawala wa mwendazake sasa ungekuta wazazi wanamtafuta huyu kijana.
Kwanza angepotezwa kwa kuidhalilisha serikali bila kusikilizwa hoja zake,angepigwa na kuvunjwa miguu ili iwe funzo kwa madogo wengine.
Hongereni TAMISEMI kwa busara mliyotumia,sasa ni wakati wa demokrasia chini ya Samia Suluhu hakuna ubabe tena,hakuna kejeli wala kutosikizwa kama tulivyozoea.
Mods niwekeeni ule uzi wa TAMISEMI YAMEJIBU MWANAFUNZI ALIEVAA MABANGO ili watu waelewe hoja yangu
Kama umeupata huo uzi niwekee mkuuWamejibu kwa busara sana,heb waza dogo kama huyo anajibiwa na serikali!!! Ni ajabu sana