Ilikuaje Sudan Kaskazini ikawa na watu wenye rangi nyeupe (Waarabu) na Kusini kukawa na watu weusi?

Ilikuaje Sudan Kaskazini ikawa na watu wenye rangi nyeupe (Waarabu) na Kusini kukawa na watu weusi?

Siyo kweli Sudani ina weupe wengi sema kwa kuwa wengi wao wanazungumza kiarabu na kufuata tamaduni za kiarabu ndiyo maana wanatambulika kama nchi ya kiarabu. Asilimia kubwa ya Wasudani kaskazini ni Machotara na watu weusi, asilimia chache ndiyo waarabu.
 
Kwanza tambua hili bara ni moja na lina features tofauti tofauti ndani yake na watu tofauti tofauti ndani yake na kazi hiyo imefanywa na Mungu Mwenyewe (kwasisi tunao amini ktk Mungu,

Sasa wale jamaa pale Berlin walipo igawanya kwa kujigawia wenyewe hili wapate kuitawala kiuraisi, hawakuangalia rangi wala kabila za waafrika ktk ugawaji ule,

Mfano:
1. Watusi na wahutu wa Burundi ndio wale wale wa kule Rwanda, lkn nchi ni tofauti

2. Wamasai wa Kule Tanzania ndio walewale wa kenya

3. Watu wa Mombasa ya Kenya, hawana tofauti na waUnguja ya Zanzibar n.k.

sasa wale Watunisia, Algeria,Misri,Sudan ( hili kuwatambua kwa majina hayo ni baada ya ile Berlin comference)

Tukienda kwenye jibu ni kuwa, mipaka tuu iligawanywa hivyo wakajikuta wamejimix kwenye nchi moja.
 
Hakuna swali mkuu ,kama Mbulu weupee peee , singida weepe peee , tabora wanayamwezi weupe peee ,zanzibar wapemba weeupe peeee!!
Unachobisha nini hapo hiyo historia inajielezea kabisa huko mbulu wana asili ya ethiopia
 
Kwanza tambua hili bara ni moja na lina features tofauti tofauti ndani yake na watu tofauti tofauti ndani yake na kazi hiyo imefanywa na Mungu Mwenyewe (kwasisi tunao amini ktk Mungu...
mkuu lakini hao unaowataja wana tamaduni zinazofanana, sudani wa kas na kus wana tamaduni tofauti kabisa
 
Sudan ilikuwa ni nchi moja kabla ya kugawanyika na kuwa nchi mbili hivi karibuni. Sasa binafsi nashangazwa kidogo kwa namna hii nchi ilivokuwa yaani kule kaskazini raia wa kule ni weupe peee mpaka nywele zao ambazo ni ndefu kama waarabu halafu wa kusini ni weusi tiiii nadhani Afrika nzima ndio wanaongoza kwa weusi.

Ilikuaje ikawa hivi?

Au wale wa kaskazini ni walowezi? Maana hawafanani hata kidogo japo ilikuwa nchi moja.
Mkuu mada hii umeiandika kwa dhana.

Picha ya rais aliyepinduliwa Omar al Bashiri ni mweupe yule?

Je baraza linaloongoza serikali ya mpito umeona picha zao ni weupe wale?

Weusi na majiyakunde kama wasomali utasemaje weupe pee!
 
Asili ya Afrikaans ni blacks. Whites walikuja hasa kipindi chautumwa na kabla ya utumwa. Waarabu wote Afrika ni wahamiaji wasiojuwa kwao.
 
Zamani Sudan na Misri ilikuwa nchi moja na nasikia hawahitaji visa kuja Misri. Nilienda Misri nikakuta idadi kubwa ya South Sudanese kuliko hata wasomali.
 
Sudan ilikuwa ni nchi moja kabla ya kugawanyika na kuwa nchi mbili hivi karibuni. Sasa binafsi nashangazwa kidogo kwa namna hii nchi ilivokuwa yaani kule kaskazini raia wa kule ni weupe peee mpaka nywele zao ambazo ni ndefu kama waarabu halafu wa kusini ni weusi tiiii nadhani Afrika nzima ndio wanaongoza kwa weusi.

Ilikuaje ikawa hivi?

Au wale wa kaskazini ni walowezi? Maana hawafanani hata kidogo japo ilikuwa nchi moja.
Jiographia ya kaskazini na kusini mwa Afrika inajieleza vizuri sana. Tunategemea kaskazini inayopakana na Misri kuwe na waarabu na kusini inayopakana na Kenya na Uganda kuwe na wabantu, walipogawanya nchi ikawa hivyo hivyo, mbona rahisi?
 
Sudan ilikuwa ni nchi moja kabla ya kugawanyika na kuwa nchi mbili hivi karibuni. Sasa binafsi nashangazwa kidogo kwa namna hii nchi ilivokuwa yaani kule kaskazini raia wa kule ni weupe peee mpaka nywele zao ambazo ni ndefu kama waarabu halafu wa kusini ni weusi tiiii nadhani Afrika nzima ndio wanaongoza kwa weusi.

Ilikuaje ikawa hivi?

Au wale wa kaskazini ni walowezi? Maana hawafanani hata kidogo japo ilikuwa nchi moja.
Sio rangi tu,Mpaka Dini,hao Weusi ni wa Kristo na Waarabu ni Waislam
Hii ni Moja ya Sababu ya Kugawanywa kwa Sudan
 
Sudan ilikuwa ni nchi moja kabla ya kugawanyika na kuwa nchi mbili hivi karibuni. Sasa binafsi nashangazwa kidogo kwa namna hii nchi ilivokuwa yaani kule kaskazini raia wa kule ni weupe peee mpaka nywele zao ambazo ni ndefu kama waarabu halafu wa kusini ni weusi tiiii nadhani Afrika nzima ndio wanaongoza kwa weusi.

Ilikuaje ikawa hivi?

Au wale wa kaskazini ni walowezi? Maana hawafanani hata kidogo japo ilikuwa nchi moja.
Sudan maana yake land of black people hicho n kiarabu....
So waarabu kwa Mara ya Kwanza wanafika hayo maeneo wakayapa jina la Sudan wakimaanisha ardhi ya mtu mweusi....
uvamizi wa waarabu waliokua wakifanya biashara za watumwa ...
Ikumbukwe kuwa waarabu hawanaga tabia ya kurudi kwao...
So kwa asili native people wa ukanda wa mto Nile ni wasudan weusi tii Kama mkaa wanaoitwa nilotic....
So baada ya miaka mingi ya utumwa na muingiliano wa waarabu hasa wengi wakitokea Misri na middle East ndo ikafanya kuwepo kwa waarabu wengi na machotara ambao wametokana na muingiliano wa waarabu na wanilotic
 
Sudan maana yake land of black people hicho n kiarabu....
So waarabu kwa Mara ya Kwanza wanafika hayo maeneo wakayapa jina la Sudan wakimaanisha ardhi ya mtu mweusi....
uvamizi wa waarabu waliokua wakifanya biashara za watumwa ...
Ikumbukwe kuwa waarabu hawanaga tabia ya kurudi kwao...
So kwa asili native people wa ukanda wa mto Nile ni wasudan weusi tii Kama mkaa wanaoitwa nilotic....
So baada ya miaka mingi ya utumwa na muingiliano wa waarabu hasa wengi wakitokea Misri na middle East ndo ikafanya kuwepo kwa waarabu wengi na machotara ambao wametokana na muingiliano wa waarabu na wanilotic
Ahsante sana kwa ufafanuzi wako, lakini hawa waarabu walikaa kasakazini pekee chief?
 
Jiographia ya kaskazini na kusini mwa Afrika inajieleza vizuri sana. Tunategemea kaskazini inayopakana na Misri kuwe na waarabu na kusini inayopakana na Kenya na Uganda kuwe na wabantu, walipogawanya nchi ikawa hivyo hivyo, mbona rahisi?
mbona Libya na Algeria zimepakana na Niger na chad lakini haziko hivi
 
Zamani Sudan na Misri ilikuwa nchi moja na nasikia hawahitaji visa kuja Misri. Nilienda Misri nikakuta idadi kubwa ya South Sudanese kuliko hata wasomali.
south sudan hawa weusi?
 
Back
Top Bottom