Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh..umeshanikata stim isee acha nimpotezee..Hebu tupeane experience.
Mie gono ya kwamza kabisa nilipata mwaka 2012, na dem alonipa ni alikua kisu balaa tena chuoni na nilihangaika kinoma kumpata, sikutegemea kama angekua anaumwa ugonjwa aina hiyo kwa classy alokua anajiweka.
Zipo verified accounts vilevile...kwakifupi kuna mambo ni very private sio ya kushare kwenye mitandao ni sawasawa kwamfano nikuulize "eti jana usiku umelalaje kitandani na mke/mumewako"? 🤣🤣Hapa si tupo anonymous
Mbona watu asubuhi wanauliza “Mmeamkaje?” na tunajibu.??😂😂😂Zipo verified accounts vilevile...kwakifupi kuna mambo ni very private sio ya kushare kwenye mitandao ni sawasawa kwamfano nikuulize "eti jana usiku umelalaje kitandani na mke/mumewako"? 🤣🤣
Bodycounts kubwa hivyo unaipeleka wapi mkuu.??😂😂😂Hv nyapu ulizochakata zinafika hata 20?
😆😆elewa neno "mmelalaje" apo nimejaribu tu kupunguza ukali wa manenoMbona watu asubuhi wanauliza “Mmeamkaje?” na tunajibu.??😂😂😂
Ni maamuzi yako mkuu so me sina comment. Me nakojoa penye faida tu, sitaki kutumia kiuno changu vibaya. Kama ni kula haram basi nile iliyonona.Hahahahaa watu kila baada ya wiki 2 tunaongeza bodycount moja. Mm nimechakata almost 50 women hadi leo hii toka nianze
Sindano yake ni balaaHebu tupeane experience.
Mie gono ya kwanza kabisa nilipata mwaka 2012, na dem alonipa ni alikua kisu balaa tena chuoni na nilihangaika kinoma kumpata, sikutegemea kama angekua anaumwa ugonjwa aina hiyo kwa classy alokua anajiweka.
... vidonge tu!Sindano yake ni balaa