Hypersonic WMD
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 1,337
- 1,876
Achana na sikio la kufa unaumwa ugonjwa gani mkuuwakuu,
Mimi nimeugua kuanzia 2021 hadi leo miaka minne. Nipo nahangaika...
kama nakuelewa hivi afu kama sikuelewiTatizo si ubora wa dawa kwenye kutibu tatizo ni kuwa ilo ni sikio la kufa kwahiyo alisikii dawa
Kibamia kama kinasimama ni geneticNawaza sana je kula sana kumeniletea kibamia? Au ni genetics tu. Huu ugonjwa wa kibamia unanitesa sana
Huu uzi ilitakiwa uwe kwa ajiri ya kupeana experiance ya dawa na matibabu kwa magojwa sungu na sio maonesho na ushuhuda wa muda ambao unasumbuliwa na huo ugonjwawakuu,
Mimi nimeugua kuanzia 2021 hadi leo miaka minne. Nipo nahangaika...
SawaHuu uzi ilitakiwa uwe kwa ajiri ya kupeana experiance ya dawa na matibabu kwa magojwa sungu na sio maonesho na ushuhuda wa muda ambao unasumbuliwa na huo ugonjwa
#wajinga ndo waliwao
#kataa ndoa
umechacha tenaKuna wapuuzi fulani waliwahi kuimba
Ama kweli maradhi yote ugua, lakini kuchacha usiombee
Wajitafakari
sawa mkuuSawa
putin hyo profile ndo putin mwenyeweUsiku mwema
YaanJe unaumwa nini ?
Waweza share na ugonjwa ili tuone Kama zipo tiba mbadala waweza kutumia ili kuweka mwili sawa.
nnsawa mkuu
Aseme tu ukwelii, mambo ya kufarijiana mbona gafla..Achana na sikio la kufa unaumwa ugonjwa gani mkuu
💯Magonjwa mengi ya kuanzia 40s ni fujo za ujana
Sigara na shisha - Presha, Cancer ya fizi, koo, mapafu, n.k.
Pombe - Homa ya ini, Mawe ya kibofu, Presha
Ngono zembe - UTI ambayo haiwezi kuja kutibika, Ukimwi, n.k.
Punyeto na Porn - Usahaulifu uliopindukia na uzubavu
mimi nilisumbuliwa na ugonjwa wa macho yani photophobia kwa miaka 7 ila nashukuru mungu kwa sasa atleast niko vizuri kupitia dawa ambazo nilitumia pia nilipunguza screentime ilinisaidia sanawakuu,
Mimi nimeugua kuanzia 2021 hadi leo miaka minne. Nipo nahangaika.
Naumwa ugonjwa wenye tiba lakini wenye usugu wa dawa. Yaani kwa kifupi ni sikio la kufa.
Nadhan wapo wengine ambao wamepata magonjwa ya kudumu kama pressure ,kisukari na ukimwi.
TUFARIJIANE