Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo kwenye nyeto hapo🤭Magonjwa mengi ya kuanzia 40s ni fujo za ujana
Sigara na shisha - Presha, Cancer ya fizi, koo, mapafu, n.k.
Pombe - Homa ya ini, Mawe ya kibofu, Presha
Ngono zembe - UTI ambayo haiwezi kuja kutibika, Ukimwi, n.k.
Punyeto na Porn - nguvu za kiume, Usahaulifu uliopindukia (ukungu kwenye ubongo)
photophobia ilisababishwa na nnMkuu mimi nilisumbuliwa na ugonjwa wa macho yani photophobia kwa miaka 7 ila nashukuru mungu kwa sasa atleast niko vizuri kupitia dawa ambazo nilitumia pia nilipunguza screentume ilinisaidia sana
Ova
AiseeHapo kwenye nyeto hapo🤭
AiseeSema ugonjwa unaokusumbua jf ni uwanja mpana
📌90% ya muda wangu nilikua natumia computerphotophobia ilisababishwa na nn
AiseeMagonjwa mengi ya kuanzia 40s ni fujo za ujana
- Sigara na shisha - Presha, Cancer ya fizi, koo, mapafu, n.k.
- Pombe - Homa ya ini, Mawe ya kibofu, Presha
- Ngono zembe - UTI ambayo haiwezi kuja kutibika, Ukimwi, watoto wa nje, n.k.
- Punyeto na Porn - nguvu za kiume, Usahaulifu uliopindukia (ukungu kwenye ubongo)
- Kuendekeza kula vyakula vyenye mafuta hasa vya kukaangwa - Magonjwa ya moyo
- Kutumia sana electronics - matatizo ya macho, masikio, kupinda mgongo,
- Rushwa na pesa za mkato - vilio vya uliowaibia havikuachi salama, kuna namna utalipa
Aisee kwaiyo saizi macho mekunduu📌90% ya muda wangu nilikua natumia computer
📌pia matumizi ya smartphone kwa muda mrefu
💥mwanga uliozidi kiwango ambao ulikua unasababishwa na taa sita zilizopo kwa kila darasa
Kongole mwamba umeupiga mwingi sana hapa.Magonjwa mengi ya kuanzia 40s ni fujo za ujana
- Sigara na shisha - Presha, Cancer ya fizi, koo, mapafu, n.k.
- Pombe - Homa ya ini, Mawe ya kibofu, Presha
- Ngono zembe - UTI ambayo haiwezi kuja kutibika, Ukimwi, watoto wa nje, n.k.
- Punyeto na Porn - nguvu za kiume, Usahaulifu uliopindukia (ukungu kwenye ubongo)
- Kuendekeza kula vyakula vyenye mafuta hasa vya kukaangwa - Magonjwa ya moyo
- Kutumia sana electronics - matatizo ya macho, masikio, kupinda mgongo,
- Rushwa na pesa za mkato - vilio vya uliowaibia havikuachi salama, kuna namna utalipa
hiyo ya mwishoni nayo ni ugonjwaMagonjwa mengi ya kuanzia 40s ni fujo za ujana
- Sigara na shisha - Presha, Cancer ya fizi, koo, mapafu, n.k.
- Pombe - Homa ya ini, Mawe ya kibofu, Presha
- Ngono zembe - UTI ambayo haiwezi kuja kutibika, Ukimwi, watoto wa nje, n.k.
- Punyeto na Porn - nguvu za kiume, Usahaulifu uliopindukia (ukungu kwenye ubongo)
- Kuendekeza kula vyakula vyenye mafuta hasa vya kukaangwa - Magonjwa ya moyo
- Kutumia sana electronics - matatizo ya macho, masikio, kupinda mgongo,
- Rushwa na pesa za mkato - vilio vya uliowaibia havikuachi salama, kuna namna utalipa
Sema wwNina afya njema Alhamdulillah.
Nawaombea pia wagonjwa afya njema.
mi mwenyewe nimemkubali
hapana ni ya kawaida tuAisee kwaiyo saizi macho mekunduu
Nakufuata inboxhapana ni ya kawaida tu
Ulienda kupiga inshu ya mchagga au ulisameheUsiku mwema
V.nd.vy tui ndio vimedumu