Ilikuawaje Yanga wakaweka bango la kuonesha kwamba wameifunga Simba 5 -???

Yale ni makelele, Vyura wanapenda makelele.
 
usiogope kuwa tofauti na wengine...
 
Huko duniani ulikofanya utafiti Kuna Simba na yanga!?
 
Midomo yenu michafu inayonuka.
 
Hawana kazi za Kufanya mtoa mada umesahau waliwahi kumtengenezea rais wao machela hasa baada ya kumsajiri Tuisila Kisinda na Mukoko Tonombe yaan watu flani malimbukeni tuuu ......Samahani jamani atakayeguswa!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…