Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Issue ya congo si rahisi km watu wengi wanavyoiongelea, congo inahitaji kiongozi haswaa mwenye uwezo na nguvu ya kurekebisha mambo tena ajitoe mhanga kwelikweli kwa haya matatizo ya congo ni ya mda mrefu na ni yakutengeneza. Waliyoyatengeneza wanawalisisha watu wao kwa kuwa wanapata faida. Congo pia iwekeze kwa nchi rafiki ktk mkutadha wa diplomasia ya uchumi ili kusaidiwa na madui zake hawa huku izidi kujijenga kijeshi.Uchaguzi wa Congo DRC wa mwaka 2018 ulikuwa ni fursa ya dhahabu ya Congo kurekebisha mambo mengi sana na kuipa nchi hiyo muelekeo sahihi wa kitaifa kwa mara ya kwanza ila uroho wa madaraka wa Kabila kulinda maslahi yake na kutoheshimu matakwa ya raia ukaikosesha Congo fursa hiyo.
Katika uchaguzi wa DRC wa mwaka 2018 ni wazi kwamba Martin Fayulu alishinda uchaguzi huo kwa kura nyingi sana lakini Kabila akaingilia Tume ya Taifa ya uchaguzi(CENI) kumsimika Tshisekedi aliyemuahidi atakuwa kibaraka wake.
Martin Fayulu alikuwa ni mgombea aliyeweza kuunganisha makundi mengi tofauti ya Congo, alikuwa na ushawashi mkubwa, huenda angeweza kuipa Congo ahueni kwa mara ya kwanza tofauti na Tshisekedi aliyeingizwa kwa msaada wa Kabila kupora uchaguzi.
Katumbi ndio anafaa kuwa raisi wa Kongo DRC.Na yule Mmiliki wa TP Mazembe?
Kama Kagame pia anavyoshinda kwa 99.99% na kuua wapinzani wake, tabia hizo Magufuli alijifunza kwa KAGAME.Kwahiyo walipika matokeo ya Uchaguzi kama hawa CCM wa hapa nyumbani?!
Kwahio kagame asipomtaka mtu asiwe Raisi?. Yeye Kagame mbona anaua wapinzani wake.Kati ya Fayulu na Tshekedi, Kagame hamtaki Tshekedi, bora Fayulu.
Active haya yanaruhusiwa?.Acha kudandia waume za watu, mimi sili shoga, tafta mtu mwingine.
Mifumo ya chaguzi ya Uganda, Rwanda, Burundi na Tanzania haitofautiani sana. Tume za uchaguzi zinao uwezo wa kubambikia wananchi kiongozi wasiyemtaka. Hapo Rwanda ni mgumu kuamini kuwa kagame anashinda kwa % 99.Uchaguzi wa Congo DRC wa mwaka 2018 ulikuwa ni fursa ya dhahabu ya Congo kurekebisha mambo mengi sana na kuipa nchi hiyo muelekeo sahihi wa kitaifa kwa mara ya kwanza ila uroho wa madaraka wa Kabila kulinda maslahi yake na kutoheshimu matakwa ya raia ukaikosesha Congo fursa hiyo.
Katika uchaguzi wa DRC wa mwaka 2018 ni wazi kwamba Martin Fayulu alishinda uchaguzi huo kwa kura nyingi sana lakini Kabila akaingilia Tume ya Taifa ya uchaguzi(CENI) kumsimika Tshisekedi aliyemuahidi atakuwa kibaraka wake.
Martin Fayulu alikuwa ni mgombea aliyeweza kuunganisha makundi mengi tofauti ya Congo, alikuwa na ushawashi mkubwa, huenda angeweza kuipa Congo ahueni kwa mara ya kwanza tofauti na Tshisekedi aliyeingizwa kwa msaada wa Kabila kupora uchaguzi.
Hiyo 99.99% inawezekana kwasababu Kagame kaleta Amani ambayo haijawahi kuonekana Rwanda mimi nimeshawahi kuishi Rwanda ya Habyarimana ilikuwa hakuna Amani kama hii ya sasa.Kama Kagame pia anavyoshinda kwa 99.99% na kuua wapinzani wake, tabia hizo Magufuli alijifunza kwa KAGAME.
Mkuu wewee ndie unaewazingatiaNyie Wanyaruanda mnataka kujipambanua kuwa mnauwezo na akili ili nyie ni mbumbumbu tu hapa EAC na watu wengi wanawapuuzia.
siwazingatii nashangaa wanavyojiachia kwenye JF yetu WaTz😁😁😁Mkuu wewee ndie unaewazingatia
Unawazingatia hawawezi kuwa wanakutoa povu kiasi hiki mkuu, hili ni jukwaa hurusiwazingatii nashangaa wanavyojiachia kwenye JF yetu WaTz😁😁😁
2018 ,Moise Katumbi hakua mgombeq ila alimuunga Mkono ,mgombea wa Muungano wa Lamuka , Martin FayuluNa yule Mmiliki wa TP Mazembe?
Hahahaha,Ina maaana hkn mwingine atakaye simamia Aman , Rwanda zaidi ya Kagame?Hiyo 99.99% inawezekana kwasababu Kagame kaleta Amani ambayo haijawahi kuonekana Rwanda mimi nimeshawahi kuishi Rwanda ya Habyarimana ilikuwa hakuna Amani kama hii ya sasa.
Wanyarwanda wanajua nini maana ukosefu wa Amani ndio maana wanampenda Kiongozi wao.
Nyinyi mashabiki wa Rwanda mnajulikana kwa kutaka Katumbi aongoze nchi, na akiwa Rais bado mtampinga mtaunga mkono mpinzani. Mobutu mlimpinga, mkaja na Laurent Kabila baadae mkampinga, Kabila Jr hamkumtaka, kaja Felix hamumtaki. Hata wakija hao Katumbi au Fayulu mnaofagilia sasahivi bado mtasema hamuwataki.Katumbi ndio anafaa kuwa raisi wa Kongo DRC.
Laana ya utajiri wa CongoUchaguzi wa Congo DRC wa mwaka 2018 ulikuwa ni fursa ya dhahabu ya Congo kurekebisha mambo mengi sana na kuipa nchi hiyo muelekeo sahihi wa kitaifa kwa mara ya kwanza ila uroho wa madaraka wa Kabila kulinda maslahi yake na kutoheshimu matakwa ya raia ukaikosesha Congo fursa hiyo.
Katika uchaguzi wa DRC wa mwaka 2018 ni wazi kwamba Martin Fayulu alishinda uchaguzi huo kwa kura nyingi sana lakini Kabila akaingilia Tume ya Taifa ya uchaguzi(CENI) kumsimika Tshisekedi aliyemuahidi atakuwa kibaraka wake.
Martin Fayulu alikuwa ni mgombea aliyeweza kuunganisha makundi mengi tofauti ya Congo, alikuwa na ushawashi mkubwa, huenda angeweza kuipa Congo ahueni kwa mara ya kwanza tofauti na Tshisekedi aliyeingizwa kwa msaada wa Kabila kupora uchaguzi.