Ilikuwa kosa kubwa sana Joseph Kabila kumuibia Tshisekedi ushindi wa urais Congo dhidi ya mshindi halali, Fayulu

Ilikuwa kosa kubwa sana Joseph Kabila kumuibia Tshisekedi ushindi wa urais Congo dhidi ya mshindi halali, Fayulu

Ilikuaje Nanga akubali kumtangaza mshindi, halafu leo aseme hakushinda aliiba kura?.
Sasa wadhani alitangaza matokeo bila kuwa na waangalizi wa matangazo kuhakikisha atangaza matokeo yanotakiwa?
 
Raia wengi wa Congo hawamkubari Rais wa Sasa, ndo hao wanaowashangilia M23...!
 
Ilikuaje Nanga akubali kumtangaza mshindi, halafu leo aseme hakushinda aliiba kura?.
Ni ujinga alifanya, anasema eti walijadiliana wakaona ilikuwa ndio njia ya kutunza amani ya Congo, ila ni deals walicheza watatu wakitanguliza maslahi yao binafsi. Pia sio leo hata amesema kwamba alitangaza matokeo ya mfukoni kwa Kabila, tangu 2019 alianza hayo maneno ndipo wakazinguana na Tshisekedi.

Labda pia alifikiri mahakama ya katiba itapindua matokeo na kumpa ushindi Fayulu maana ushahidi ulikuwa wa wazi kabisa.
 
Fuatilia thread za huyu na yule anajifanya kanda ya Mara hawa ni Pro PK. Sio hivyo tu na maandiko yao nje ya Jf kwa majina tofauti
Nimeona Wana intellingency wanasema wewe mtusi,,, una kipi cha kujitete
 
Ni ujinga alifanya, anasema eti walijadiliana wakaona ilikuwa ndio njia ya kutunza amani ya Congo, ila ni deals walicheza watatu wakitanguliza maslahi yao binafsi. Pia sio leo hata amesema kwamba alitangaza matokeo ya mfukoni kwa Kabila, tangu 2019 alianza hayo maneno ndipo wakazinguana na Tshisekedi.

Labda pia alifikiri mahakama ya katiba itapindua matokeo na kumpa ushindi Fayulu maana ushahidi ulikuwa wa wazi kabisa.
Africa tunasafari kubwa sana ya kuwa na watu walionyoka.
 
Back
Top Bottom