Ilikuwa mafuta, ikawa miamala na sasa baada ya siku 5 itakuwa kilio cha nyongeza kiduchu ya mishahara

Ilikuwa mafuta, ikawa miamala na sasa baada ya siku 5 itakuwa kilio cha nyongeza kiduchu ya mishahara

Ndio maana unatakiwa kulipa kodi Ili kuepukana na misaada.

Sasa Nchi imejaa watu wapuuzi kama nyie hamtaki kulipa kodi ila mnalaumu,tunawapuuza na kodi ziko pale pale
Shida yetu sio kulipa Kodi, bali namna Kodi inavyotumika. Hivi tulipe Kodi ili tupate hela za kuiba uchaguzi, kununua wapinzani,kurudia chaguzi, kuhamia Dodoma, kununua ndege cash, kujenga uwanja chato, nk.

Kila mtu analipa kodi anaponunua chochote. Madini, kahawa korosho, Bandari, bahari, misitu, mbuga, ardhi, viwanda, usafirishaji, mafuta, gesi, PAYE, mifugo, nk. vyote hivyo havitoshi hadi tutoze vijizee vinavyotumiwa vijisenti vya matumizi na wajukuu zao? Laana gani hii. Tunawadanganya eti ni hela za kujenga zahanati zao, shame.
 
Shida yetu sio kulipa Kodi, bali namna Kodi inavyotumika. Hivi tulipe Kodi ili tupate hela za kuiba uchaguzi, kununua wapinzani,kurudia chaguzi, kuhamia Dodoma, kununua ndege cash, kujenga uwanja chato, nk.

Kila mtu analipa kodi anaponunua chochote. Madini, kahawa korosho, Bandari, bahari, misitu, mbuga, ardhi, viwanda, usafirishaji, mafuta, gesi, PAYE, mifugo, nk. vyote hivyo havitoshi hadi tutoze vijizee vinavyotumiwa vijisenti vya matumizi na wajukuu zao? Laana gani hii. Tunawadanganya eti ni hela za kujenga zahanati zao, shame.
Unavyoongea sasa utafikiri serikali inajiendesha kama upepo au hakuna kinachofanyika.

Kodi ya miamala itaendelea hata kama itapunguzwa kidogo lakini kamwe haitakaa itolewe,wewe endelea na wishful thinking zako za kijinga eti laana na upuuzi kama huo wa sijui watu wanadanganywa nk
 
Unavyoongea sasa utafikiri serikali inajiendesha kama upepo au hakuna kinachofanyika.

Kodi ya miamala itaendelea hata kama itapunguzwa kidogo lakini kamwe haitakaa itolewe,wewe endelea na wishful thinking zako za kijinga eti laana na upuuzi kama huo wa sijui watu wanadanganywa nk
Ukipunguza ni sawa, kwani tozo kwenye miamala zilikuwepo na watu wanazilipa wanacholalamikia ni upuuzi na uhuni wa kuongeza ++++. Lakini hii ni awaking call kuwa wananchi wanakaribia kuungana mwenye mengi bila kujali itikadi zao. Someni alama za nyakati.
 
Back
Top Bottom