Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Kama kuna ambaye alikuwepo na hajaingia kusema kwamba alikuwepo, hiyovji shida yake. Kwa waliochangia.. ukisoma wanachoandika utajuwa tu hakuwepo.Kumbuka humu ndani tumo takribani 370,000 bila kuangalia drop outs, deceased na Kenyans. Ni wangapi kati ya hawa wana-fall kwenye hiyo 1-4?
Si unajua kuna watu wakiandika, wengine hukomenti...SHULE ZIMEFUNGWA? hii maana yake nini?