GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
- Thread starter
- #21
Swali la kujiuliza, tumeshaanza mchakato wa mabadiliko ya kifikra? Tumeshafanya maamuzi ya kubadilika kwa gharama yoyote Ile?Ni
Ni kweli, lakini itahitajika gharama kubwa sana ya muda na hata maisha ya watu. Maana mfumo tulionao umesha jiambukiza kwenye DNA zetu.
Ni kweli, kutakuwepo na gharama, tena siyo ndogo. Itahitaji kuacha ubinafsi, na kuwa "generational thinker". Ni lazima kujitahidi na hata kujitoa "sadaka' ikibidi, kwa ajili ya vizazi vijavyo. Ni gharama sana, na sidhani kama mabadiliko makubwa yalishawahi kuwa marahisi. Lakini nia dhabiti ikiwepo, matokeo yatafikiwa, hata kama mchakato utagharimu sana.