Mkuu Charles177, mbona miaka 20 ni mingi sana?
Kwa rasilimali tulizo nazo, na kiwango cha Sayansi na Teknikojia iliyofikiwa duniani, miaka 10 tu ya "useriousness" yanatosha kuibadili Tanzania kabisa.
Ilimchukua miaka mingapi Mcanada, Dr. Williamson kuujenga mji wa Mwadui? Inasemekana kampuni ya Almasi ya Mwadui ilianzishwa mwaka 1940, lakini kufikia 1947, kupitia uwekezaji alioufanya, alikuwa ameshafanikuwa kupafanya Mwadui miongoni mwa miji ya kisasa Afrika.