Hahahahahahahahah,
Kumbe mlijiunga siku moja??
Jina lako la zamani lilikuwa lipi??
Halafu usome vizuri hiyo post ya mama totooo....na maneno ya babu...sawa ehhhh???
Duuuuuuuuuuuuuuu......umeua
marejesho...!!
Hapa wewe mwenyewe umedhihirisha ushuhuda wa babu...kama kuna mtu atakuja kunizulia kesi, basi namleta kwenye hii reference post...!!
Ndiyo maana wenye busara zao walisema enzi zao kuwa "mke mwema hutoka kwa God...."....lol!!
Siyo kila mtu bado anatumia huo msamiati..(blue)...Angekuwa chizi mmoja hapa kama
Madame B au
Kongosho...hii ilikuwa tayari imeshakuwa ligi ya kutimua nayo hadi December!!...Ila wewe umeyamaliza kwa busara na hekima...
Ubarikiwe sana!!...Naamini hata
Smile atakuja kupata tuition kwako...
Huyu
Filipo anayo bahati ya mtende haki ya nani...sijue Mungu ampe nini zaidi..
Sina kingine cha kusema...endeleeni kumtukuza Mungu......Amen!!
CC: Wazee/wakubwa wenzangu wote...
Asprin,
Kaizer,
gfsonwin,
snowhite (??),
Mtambuzi,
PakaJimmy (mwenyekiti), @FP,
Nyamayao (???) na wadogo/wajukuu zetu wapendwa..
King'asti,
MwanajamiiOne,
Arushaone,
mwanyisi,
KOKUTONA,
Arabela,
Lily Flower,.........!!!
Babu DC!!