Ilikuwa vilio na simanzi mazishi ya aliyekuwa mtangazaji wa EFM, Denis Rupia(Chogo)

kirerenya

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2013
Posts
1,696
Reaction score
2,253
Mazishi ya yamefanyika Ifakara Kibaoni na ndipo mahali alipompumzisha ndugu yetu Dennis Rupia (Chogo).

Mwili ukiwa unashushwa katika nyumba ya milele

Baba na kaka wa Marehemu, Dennis Rupia (Chogo) wakiweka msalaba kwenye kaburi la mpendwa wetu.

Waombolezaji wakiwa katika majonzi makubwa

Viongozi wa kiroho wakiweka shada kaburini

Wazazi wa marehemu, Dennis Rupia wakiweka shada kaburini.

Mtoto wa marehemu Dennis Rupia (Chogo) akiweka shada na kumpumzisha baba yake kwenye makazi ya milele
 
Duh!Yupi wa kwanza aliwahi kufufuka?RIP Chogo.Mbele take nyuma yetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…