Mazishi ya yamefanyika Ifakara Kibaoni na ndipo mahali alipompumzisha ndugu yetu Dennis Rupia (Chogo).
Mwili ukiwa unashushwa katika nyumba ya milele
Baba na kaka wa Marehemu, Dennis Rupia (Chogo) wakiweka msalaba kwenye kaburi la mpendwa wetu.
Waombolezaji wakiwa katika majonzi makubwa
Viongozi wa kiroho wakiweka shada kaburini
Wazazi wa marehemu, Dennis Rupia wakiweka shada kaburini.
Mtoto wa marehemu Dennis Rupia (Chogo) akiweka shada na kumpumzisha baba yake kwenye makazi ya milele
Mwili ukiwa unashushwa katika nyumba ya milele
Baba na kaka wa Marehemu, Dennis Rupia (Chogo) wakiweka msalaba kwenye kaburi la mpendwa wetu.
Waombolezaji wakiwa katika majonzi makubwa
Viongozi wa kiroho wakiweka shada kaburini
Wazazi wa marehemu, Dennis Rupia wakiweka shada kaburini.
Mtoto wa marehemu Dennis Rupia (Chogo) akiweka shada na kumpumzisha baba yake kwenye makazi ya milele