Ilikuwa vilio na simanzi mazishi ya aliyekuwa mtangazaji wa EFM, Denis Rupia(Chogo)

Ilikuwa vilio na simanzi mazishi ya aliyekuwa mtangazaji wa EFM, Denis Rupia(Chogo)

Inauma

R.I.P

Mtoa mada siku nyingne usiweke picha nyingi mtandaoni bado watu wana majonzi

Sasa wew unatoa wapi nguvu ya Ku share

Kweli mwenye msiba ni mfiwa wengne wasindikizaji tu
 
Poleni sana wana familia. R.I.P Denis...
 
Kwamba huwa anawaonyesha jinsi mfufukaji hawezi kutoka kabulini kama kabuli limesakafiwa na zege..?
Halafu ni Kaburi na Kaburini.

Pitia post zake utaelewa.
Namtandikia bwana kitanda muda huu.
 
R.I.P CHOGO
Kifo chako kitukumbushe wana jf kwamba hakuna ajuae saa wala dakika kwa iyo tumrudie muumba wetu na tuache mambo papuchi mbunye mkuyungu bwawa vibamia mtalimbo vitumbua
 
Mazishi ya yamefanyika Ifakara Kibaoni na ndipo mahali alipompumzisha ndugu yetu Dennis Rupia (Chogo).
View attachment 601229
Mwili ukiwa unashushwa katika nyumba ya milele
View attachment 601212
Baba na kaka wa Marehemu, Dennis Rupia (Chogo) wakiweka msalaba kwenye kaburi la mpendwa wetu.
View attachment 601213
Waombolezaji wakiwa katika majonzi makubwa
View attachment 601214
Viongozi wa kiroho wakiweka shada kaburini
View attachment 601215
Wazazi wa marehemu, Dennis Rupia wakiweka shada kaburini.
View attachment 601216
Mtoto wa marehemu Dennis Rupia (Chogo) akiweka shada na kumpumzisha baba yake kwenye makazi ya milele
Huwa naumia sana nikiona mtu mpaka anakufa lakini bado hajasilimu kumrudia Allah S.W.T.
 
Back
Top Bottom