Ilikuwaje Afisa Ardhi apokee rushwa mbele ya Mkuu wa Mkoa na Rais Mwinyi?

dr namugari

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2022
Posts
10,466
Reaction score
18,206
Katikati Hali ya kushangaza sna Jana mkuu wa mkoa wa Arusha bwana Paulo makonda aliwaamuru takukuru kumkamata afsa ardhi bwan mwakyola kwa kutuhuma za kupokea rushwa kiasi Cha shilingi milion tano mbele ya RC na mbele ya rais Mwinyi.

Rc makondaa alisema "huyu bwan alivyo wa aajbu alipewa rushwa ya shilingi milion tano mbele yangu na rais mwinyi na nikamuambia wee ilete hyo bahasha uliyo pewa jamaa akaitupa chini ili kupoteza ushaihidi na kwa ushahidi Zaid video IPO" Alisema makonda.

Ni vyema tuone hyo video Kama kweli jama alipokea rushwa mbele ya rais na rc na ilikuwaje mtego wa nmna hyo uwekwe mbele ya rais na RC?

Mbya Zaid makonda alisema huyu bwana achunguzwe kwa tuhuma hzo lkn ajabu Bado alikuwa ofcn Bado. Na jamaa bila kujali aliudhuria mkutano wake uliofanyika ngaramtoni mjin mdgo.

Je, inakuwaje watu wawe majasiri kiasi hiki Hadi kuchukuwa rushwa mbele ya rais na RC.

Kama afsa anaweza kuchukuwa rushwa mbele ya rais na rc je mawaziri na viongozi wengine.

TUNARUDI NYUMA SNA
 
Siwafichi hawa watumishi wetu ni wezi na ni wajinga...na ndio chanzo cha hata bandari kuuzwa..na sio bandari tu hata Hayati Benjamin Mkapa aliona mashirika na taasisi za umma vinaendeshwa kwa hasara tu akafanya ubinafsishaji.

Hawana uzalendo kabisaa. Ninacho Mshukuru Mungu mimi huwa tunamalizana hapo hapo haijalishi ni taasisi kubwa au ndogo mtumishi mzembe tunamalizana. Sijawah ogopa chochote kwenye haki yangu ya namna yyote...ni bora uniue ukiweza lakin. Makonda anapiga kazi haswa sio utani
 
Rushwa na ufisadi ni tamaduni za kawaida ktk Tawala za nchi za Afrika.
Siyo kitu Cha ajabu hata kidogo.
 
kwani sheria inasemaje?

hawezi kumuweka ndani?kumfungulia kesi labd
 
Huyo jamaa alipokea rushwa hiyo mbele ya Rai's Mwinyi na RC wa Mkoa gani na ilikuwa mwaka gani? Tukipata maelezo haya tunaweza kuchangia zaidi kuhusu hili.
 
Huyo jamaa alipokea rushwa hiyo mbele ya Rai's Mwinyi na RC wa Mkoa gani na ilikuwa mwaka gani? Tukipata maelezo haya tunaweza kuchangia zaidi kuhusu hili.
Braza uko wapi hili tukio liliibuliwa Jana na rc wa Arusha na afsa aliyekula pesani afsa kutoka arumeru dc
 
Sahih kbsa Kaz inaonekana
 
Huyo jamaa alipokea rushwa hiyo mbele ya Rai's Mwinyi na RC wa Mkoa gani na ilikuwa mwaka gani? Tukipata maelezo haya tunaweza kuchangia zaidi kuhusu hili.
Mkuu karibuni hapa mkutano wa 29 kwa sisi wana hisa bank ya crdb ulifanyika Arusha mnamo tar 18 mwez wa tano...kwa kujadili mambo mbalimbali yahusuo uwanachama wa sisi wanahisa ikiwemo gawio ktk hisa...labda uanzie hapo nimekupa intro tu..
 
Na sidhani kama litakuja kuisha hili tatizo, maana kuna wengi huwa wanatetea wizi
Unakuta mtu anakuambia hata mimi nisingeziacha

Hapo unategemea nini?
Vp mkuu ile project yako ilikubaliwa?
Maana ulitaka kutuletea ideas za huko ulaya hapa bongolala

Wazee wa kulamba asali
Wapiga deals
Ukikaa vibaya wanakuuza ukiwa unatembea

Hii bongo sio ya mwaka 47 saivi hadi vikongwe wanafanya ukahaba

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kiukweli rushwa zipo sana
kila kona
kuanzia kiongozi wa juu
mpaka wa chini wote watafunwa rushwa,
kuna watu Rais Samia hawezi kuwagusa kwasababu wana mkono mrefu kwenye uteuzi wake
anaanzaje kuwagusa watu waliomuunga mkono huko nyuma hata wakifanya madudu.
 
Huoni watu wenye uongozi wanataka kutoa Hadhi maalumu badala ya dual
Yaani wala sijui ni nini hiyo
Kuna ukweli kuhusu vikongwe ila kuja huko nimeghairi maana kila leo mnakopa tu
Na sasa mmejiongeza mpaka Korea tena

Acha nipambane tu huku maana fursa zipo kila mahali ila huku ni nyingi na kitu ambacho huko huwezi kufanya ni kuwa na partners kwenye biashara ni ngumu sana ila huku kununua shares au kuwa Director ni rahisi sana na hela unaiona bila hiyana

Ila bado ni nyumbani tu sipakatai
 
Unashangaa hiyo wakati Kuna clip nyingi tu watumishi wanapokea bahasha mbele ya mama na mama anaishia kusema mkalitazame .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…