Ilikuwaje Afisa Ardhi apokee rushwa mbele ya Mkuu wa Mkoa na Rais Mwinyi?

Ilikuwaje Afisa Ardhi apokee rushwa mbele ya Mkuu wa Mkoa na Rais Mwinyi?

Huoni watu wenye uongozi wanataka kutoa Hadhi maalumu badala ya dual
Yaani wala sijui ni nini hiyo
Kuna ukweli kuhusu vikongwe ila kuja huko nimeghairi maana kila leo mnakopa tu
Na sasa mmejiongeza mpaka Korea tena

Acha nipambane tu huku maana fursa zipo kila mahali ila huku ni nyingi na kitu ambacho huko huwezi kufanya ni kuwa na partners kwenye biashara ni ngumu sana ila huku kununua shares au kuwa Director ni rahisi sana na hela unaiona bila hiyana

Ila bado ni nyumbani tu sipakatai
Wanawalaghai kuwapa "hadhi maalumu"
Daaah hawa watu ni shidaa hii kitu sijawahi sikia

Mkuu tulia huko ule maisha tuu bongo miyeyusho

Wazee wa kulamba asali tuu
Wazuri hawafi
Wanajiita born town
Watu wa deal

Wazee na vijana wote sawa
Uzee mwisho chalinze
Wazee wa trab na trat daaah hatariiii Sana twafaa



Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Wanawalaghai kuwapa "hadhi maalumu"
Daaah hawa watu ni shidaa hii kitu sijawahi sikia

Mkuu tulia huko ule maisha tuu bongo miyeyusho

Wazee wa kulamba asali tuu
Wazuri hawafi
Wanajiita born town
Watu wa deal

Wazee na vijana wote sawa
Uzee mwisho chalinze
Wazee wa trab na trat daaah hatariiii Sana twafaa



Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Yaani ni maajabu ya dunia mzawa anapewa hadhi maalum ila mchina anaitwa muwekezaji halafu anatembeza maua kariakoo

Hapa wanadhani kuna wajinga watatumbukia humu kupewa hadhi maalum
Kama ni wabunifu kwanini wanazidi kulipaisha deni la taifa?
 
Rushwa,ufisadi,wizi,ubadhirifu unaofanyika unafanywa na watu wanaolindwa na dola,Je dola imeruhusu na kuyalinda hayo!!!?

Okh sawa;-

"Wakati wanajeshi wanalinda mipaka ya nchi yetu,wanasiasa walipaswa kulinda rasilimali zetu,je ulinzi wa rasilimali zetu unaridhisha!!?
 
Wanawalaghai kuwapa "hadhi maalumu"
Daaah hawa watu ni shidaa hii kitu sijawahi sikia

Mkuu tulia huko ule maisha tuu bongo miyeyusho

Wazee wa kulamba asali tuu
Wazuri hawafi
Wanajiita born town
Watu wa deal

Wazee na vijana wote sawa
Uzee mwisho chalinze
Wazee wa trab na trat daaah hatariiii Sana twafaa



Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Msikilize Balozi wetu Kairuki wa 🇬🇧 alipokuwa Leeds akiongea na wabongo
 
Katikati Hali ya kushangaza sna Jana mkuu wa mkoa wa Arusha bwana Paulo makonda aliwaamuru takukuru kumkamata afsa ardhi bwan mwakyola kwa kutuhuma za kupokea rushwa kiasi Cha shilingi milion tano mbele ya RC na mbele ya rais mwinyi

Rc makondaa alisema " huyu bwan alivyo wa aajbu alipewa rushwa ya shilingi milion tano mbele yangu na rais mwinyi na nikamuambia wee ilete hyo bahasha uliyo pewa jamaa akaitupa chini ili kupoteza ushaihidi na kwa ushahidi Zaid video IPO " alisema makonda

Ni vyema tuone hyo video Kama kweli jama alipokea rushwa mbele ya rais na rc na ilikuwaje mtego wa nmna hyo uwekwe mbele ya rais na rc?

Mbya Zaid makonda alisema huyu bwana achunguzwe kwa tuhuma hzo lkn ajabu Bado alikuwa ofcn Bado. Na jamaa bila kujali aliudhuria mkutano wake uliofanyika ngaramtoni mjin mdgo

Je inakuwaje watu wawe majasiri kiasi hiki Hadi kuchukuwa rushwa mbele ya rais na rc

Kama afsa anaweza kuchukuwa rushwa mbele ya rais na rc je mawaziri na viongozi wengine

TUNARUDI NYUMA SNA
kuna mawili
 
Katikati Hali ya kushangaza sna Jana mkuu wa mkoa wa Arusha bwana Paulo makonda aliwaamuru takukuru kumkamata afsa ardhi bwan mwakyola kwa kutuhuma za kupokea rushwa kiasi Cha shilingi milion tano mbele ya RC na mbele ya rais mwinyi

Rc makondaa alisema " huyu bwan alivyo wa aajbu alipewa rushwa ya shilingi milion tano mbele yangu na rais mwinyi na nikamuambia wee ilete hyo bahasha uliyo pewa jamaa akaitupa chini ili kupoteza ushaihidi na kwa ushahidi Zaid video IPO " alisema makonda

Ni vyema tuone hyo video Kama kweli jama alipokea rushwa mbele ya rais na rc na ilikuwaje mtego wa nmna hyo uwekwe mbele ya rais na rc?

Mbya Zaid makonda alisema huyu bwana achunguzwe kwa tuhuma hzo lkn ajabu Bado alikuwa ofcn Bado. Na jamaa bila kujali aliudhuria mkutano wake uliofanyika ngaramtoni mjin mdgo

Je inakuwaje watu wawe majasiri kiasi hiki Hadi kuchukuwa rushwa mbele ya rais na rc

Kama afsa anaweza kuchukuwa rushwa mbele ya rais na rc je mawaziri na viongozi wengine

TUNARUDI NYUMA SNA
Hii inawezekana kwa namna moja tu. Aliwahi kuomba rushwa, halafu mtu aliyeombwa rushwa akaripoti kwenye mamlaka, halafu akapewa fedha zenye namba maalumu (sijui kam fedha hizi bado zipo siku hizi) kwenye bahasha
 
Back
Top Bottom