GadoTz
JF-Expert Member
- Nov 20, 2014
- 370
- 636
Tunajua wimbo wa Bado wa Harmonize na Diamond umetoka kitambo kidogo na video yake ilifanyikia South.
Nachojiuliza ilikuwaje Ali Kiba na Ommy Dimpoz wakaamua nao wakafanyie video eneo lile lile walilofanyia kina Diamond, tena wao kina Kiba wakashoot usiku!!?
Najiuliza swali la kizushi tu.