Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Mhongo hajathibishwa kisheria kama ni mhalifu ila kisiasa lkn huyu Deo Mwanyika mahakama ilimkuta na hatia na akalipa faini ya bilioni 2.mafisadi ndio wanaopewa nafasi refee kwa muhongo
Mkuu Deo Mwanyika ni Njombe Mjini .Yule wa Njombe mjini nadhani ni DEO SANGA na sio huyo Mwanyika
John amenishinda tabiaJohn aliamua kumharibia maisha Deo Mqanyika ili baadaye anyenyekewe (John). Deo akiwa mbunge definitely atakuwa subordinate wa John. Na atanyanyasika ikibidi.
Bora kuozea jela ukiwa msafi kuliko kuozea uraiani ukiwa mchafu.Magufuli anazuga kupambana na mafisadi, kinachofanyika ni sawa kukiita state sponsored robbery, watu wanaamua tu kulipa hela ili wawe huru.
Tizama akina Sethi waliogoma kulipa hela, hakuna ushahidi wowote wa maana unaopelekwa mahakamani ili wahukumiwe, kwa sababu haupo!
Justice delayed is justice denied.
Nchii tuna mfalme Juha na mfalme wa challte anaamua kusamehe anemtaka na kuua anemtakavita dhidi ya ufisadi nchini ni usanii!.
Umesahau tuliambiwa kuwa Andengenye Amesaini mkataba wa kifisadi wa matriolini ya hela, leo yuko wapi?, badala ya kuwa jela sasa hivi ni mkuu wa mkoa wa kigoma!
Duu ...sijui nikuweke kundi gani ?PUNGUZA MIHEMKO NA UONGO. WA NJOMBE NI DEO SANGA NA WA ACACIA NI DEO MWANYIKA.
Duu ...sijui nikuweke kundi gani ?
View attachment 1545929
Kokoro likiwa la msabatho linaleta hadi gogogo kambare na kamongo hutaki unatakaCCM ni kokoro by kapiteni Joni Komba rip
Ndio huyo huyo mimi nimesoma naye. Alikuwa ndiye rais wa ACACIA Afrika. Kukwepa kodi na Noaha zetu ni huyu mtuYule wa Njombe mjini nadhani ni DEO SANGA na sio huyo Mwanyika
Mwanyika wa Acacia unajua mpaka sasa yupo waoi?
Mimi nmesema Deo Mwanyika n mgombea ubunge CCM jimbo la Njombe Mjini..hata huyo deo sanga sijamzungumzia...PUNGUZA MIHEMKO NA UONGO. WA NJOMBE NI DEO SANGA NA WA ACACIA NI DEO MWANYIKA.
Twende kwenye topic.Kwanini haujiulizi Wizi uliokuwa umegunduliwa , kwamba uligunduliwa na nani?
Au umekuwa too much Centered