technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Mshapigwa muda sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu jikite kwenye madaHivo nyie wanasiasa mchwara wa Chadema, hamkulijua hili siku zote, na hata hamkuisoma ripoti ya CAG, mpaka Mwami Zitto aisome na aifanyie translation kwa ile lugha ya Chekechea mnaoyoimudu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Duu!! Ongeza sauti haitoshi!naapa nitaitumikia jmt kwa moyo wangu wote nitairinda na kuitetea katiba ya jmt
na pia nitahakikisha nawamaliza wachagga wote serikalini na kuwaingiza wasu.kumma
kwakua hii ni zamu yao ee mwenyezi nisaidie
Huyu rais ni fisadi mwizi anayejigicha kwenye kichaka cha uzalendo fakeHii ni tuhuma nzito sana na imetolewa na mwanasiasa mmoja machachari katika kuibua tuhuma na kwakweli imeaniacha hoi.
Eti fedha zimetolewa benki kubwa na kuhamishiwa akaunti nyingine kabla ya kulipwa kwa kampuni inayotengeneza ndege!!!
Tunasubiri majibu/ufafanuzi kutoka kwa wahusika kwani tuhuma hii ni nzito sana.
Kama hujui international procurement procedure omba msaada wakueleweshe Kuna kitu kinaitwa Letter of credit, bill of landing, bank guarantee, ukivielewa hivyo hautauliza Hilo swaliHii ni tuhuma nzito sana na imetolewa na mwanasiasa mmoja machachari katika kuibua tuhuma na kwakweli imeaniacha hoi.
Eti fedha zimetolewa benki kubwa na kuhamishiwa akaunti nyingine kabla ya kulipwa kwa kampuni inayotengeneza ndege!!!
Tunasubiri majibu/ufafanuzi kutoka kwa wahusika kwani tuhuma hii ni nzito sana.
Weka picha tuone,Huyu rais ni fisadi mwizi anayejigicha kwenye kichaka cha uzalendo fake
Tuhuma zipi? Zitto anajua taratibu za manunuzi, Ila anaitaka kuzuga watu,Namshauri Mhe. Waziri wa Fedha amjibu Mhe. Zitto kwa tuhuma zake zisizo na mashiko.
Kama hujui international procurement procedure omba msaada wakueleweshe Kuna kitu kinaitwa Letter of credit, bill of landing, bank guarantee, ukivielewa hivyo hautauliza Hilo swali
Chenji ya rader ilikuwa na mapungufu yake, wao ndio waliotukopesha fedha wakanunua wenyewe kwa Bei wapioitaka wao,Kwenye chenji ya Radar hizo international procurement procedures hazikufuatwa?. Hata Wazungu they are essentially very corrupt
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni tuhuma nzito sana na imetolewa na mwanasiasa mmoja machachari katika kuibua tuhuma na kwakweli imeaniacha hoi.
Eti fedha zimetolewa benki kubwa na kuhamishiwa akaunti nyingine kabla ya kulipwa kwa kampuni inayotengeneza ndege!!!
Tunasubiri majibu/ufafanuzi kutoka kwa wahusika kwani tuhuma hii ni nzito sana.
Nasita kuiamini habari hii sababu chanzo hakijawekwa wazi. Kama ni suala lipo kwenye ripoti ya CAG kwani ni siri ya hali ya juu ile(top secret?) Ingesaidia sana mleta uzi akafunguka zaidiKama hujui international procurement procedure omba msaada wakueleweshe Kuna kitu kinaitwa Letter of credit, bill of landing, bank guarantee, ukivielewa hivyo hautauliza Hilo swali