Ilikuwaje hadi Wachina wakampa Rais Kikwete Uprofesa wa heshima?

Ilikuwaje hadi Wachina wakampa Rais Kikwete Uprofesa wa heshima?

Kichuguu

Platinum Member
Joined
Oct 11, 2006
Posts
17,048
Reaction score
22,790
1650931201149.png

1650931266514.png

1650931307873.png


Je Wachina walikuwa wanatafuta kitu gani hapa ? ? ? Maisha yangu yote ya academia sijawahi kusikia kitu kinaitwa honorary professorship!
 
Prof ni Dokta vile vile.
Unajua waswahili kwa kupenda title hatuachwi nyuma: Basi iwe hivi: His Excellency, Professor, Dr, Retired President, Colonel Kikwete.

Unakumbuka His Excellency, President for Life, Field Marshal Alhaji Doctor Idi Amin Dada, VC, DSO, MC, CBE, Lord of All the Beasts of the Earth and Fishes of the Seas and Conqueror of the British Empire in Africa in General and Uganda in Particular, Uncrowned King of Scotland and Professor of Geography.

Waswahili kwa title hatujambo; leo hii mke wangu akijifungua mtoto tukamwita Mchwa, basi itabidi nipewe title kuonyesha kuwa nina mtotot anaitwa Mchwa kwa kuitwa ya Baba Mchwa!
 
Unajua waswahili kwa kupenda title hatuachwi nyuma: Basi iwe hivi: His Excellency, Professor, Dr, Retired President, Colonel Kikwete.

Unakumbuka His Excellency, President for Life, Field Marshal Alhaji Doctor Idi Amin Dada, VC, DSO, MC, CBE, Lord of All the Beasts of the Earth and Fishes of the Seas and Conqueror of the British Empire in Africa in General and Uganda in Particular, Uncrowned King of Scotland and Professor of Geography.

Waswahili kwa title hatujambo; leo hii mke wangu akijifungua mtoto tukamwita Mchwa, basi itabidi nipewe title kuonyesha kuwa nina mtotot anaitwa Mchwa kwa kuitwa ya Baba Mchwa!
Haha
 
Waswahili tunasumbuliwa sana na title, na wachina walikuwa wanatafuta kitu hapo. Ni mwaka 2014, unaweza kujua kuna mikataba mingapi ilisainiwa na wachina baada ya title hiyo.

Tuhesabu mikataba wanayoita ya awamu ya sita ?
 
Proffesori to supervisor

Umoja wa wenye mtungi, move yao, kumradhi , muvii yao itakujasindikwa 2025 hapo atapata Honorary Directorship.
Thus, Honorable whatever role....

Nitaijaza hapa chini inshallah 2025
 
Nimepitiapitia makabrasha hapa nimeona Hata Oxford University wanatoa honorary professorship

 
View attachment 2200651
View attachment 2200653
View attachment 2200654

Je Wachina walikuwa wanatafuta kitu gani hapa ? ? ? Maisha yangu yote ya academia sijawahi kusikia kitu kinaitwa honorary professorship!
Mwingine naye yupo njiani.

Yeye kapata washauri kabisa kutoka huko wanakomwinda. Muda si muda tutaanza kusikia sifa kemkem akimwagiwa. Jinsia nayo kitakuwa kigezo muhimu cha kumuuza kiongozi huyu.

Hawa watu wanajua tuna viongozi limbukeni sana, wanaouza kila kitu mradi wapate sifa.

Sasa ukitaka kujua ujuha wa hawa watu, hata hiyo spichi ya mtunukiwa haionyeshwi popote.

Ni kawaida, mtunukiwa wa mavitu kama haya (u-Profesa sijawahi sikia ukitolewa kwa kiongozi yeyote kwa heshima, ila naona waChina wanajuwa kukoga)..., nilikuwa nasema, mtunukiwa wa shahada ya heshima huandaa hotuba (kama paper) ambayo huiwasilisha anapotunukiwa hiyo shahada. Na mara nyingi, hotuba hiyo ndiyo huthibitisha uzito wa mtu huyo anayetunukiwa juu ya uwezo wake katika eneo lake linalompa heshima hiyo.

Je, Kikwete yeye hotuba yake alizungumza nini?

Hapa hawa waChina bila shaka walikuwa wakisherehekea Bagamoyo!
 
Back
Top Bottom