View attachment 2200651
View attachment 2200653
View attachment 2200654
Je Wachina walikuwa wanatafuta kitu gani hapa ? ? ? Maisha yangu yote ya academia sijawahi kusikia kitu kinaitwa honorary professorship!
Wachina wanata Bagamoyo bandari kwa njia ya kikwete . Mtoto wake naye alikuwa huko mwaka jana ! Raisi Samia anatakiwa kuwa makini na hili. Ole Nasha alitaka kusema vitu hatunaye leo