View attachment 2200651
View attachment 2200653
View attachment 2200654
Je Wachina walikuwa wanatafuta kitu gani hapa ? ? ? Maisha yangu yote ya academia sijawahi kusikia kitu kinaitwa honorary professorship!
Hizo picha za mwaka 2014Wachina wanata Bagamoyo bandari kwa njia ya kikwete . Mtoto wake naye alikuwa huko mwaka jana ! Raisi Samia anatakiwa kuwa makini na hili. Ole Nasha alitaka kusema vitu hatunaye leo
Unajua professor huwa ni academic rank kwenye chuo siyo kwamba ni title. Professor wa chuo kimoja anaweza askubalike kuwa profesa wa chuo kingine. Zamani sana alikuwa mwalimu mmoja wa hesabu pale UDSM akitokea India ambako alikuwa profesa, lakini alipofika UDSM akawa senior Lecturere. Sas hawa wanapoiwat honorary professor nadhani ni kuwakubali kwenye chuo chao, ila nilikuwa sijawahi kuisikia. Ninajua Honoris causa za Doctorate tu, ambazo mtu hupewa pamoja na priveleges zake na rights zake kiasi kuwa popote duniani anatambulika kuwa ana honorary doctorate.Nimepitiapitia makabrasha hapa nimeona Hata Oxford University wanatoa honorary professorship
About Honorary Professor Title
The Academic Union has been founded in 2014 on the basis of the Club of the Rectors of Europe (2000) on the initiative of the international scientific and business community.oau.ebaoxford.co.uk
Hiyo Dokta yenyewe nakumbuka alipewa kimagumashi kwelikweli na kichuo ka uchochoroni kutoka huko magharibi. Hawa watu wanawadharau sana watu weusi, hasa kutoka Afrika.Prof ni Dokta vile vile.
Mwacheni j.k apumzike jwa amaniUnajua waswahili kwa kupenda title hatuachwi nyuma: Basi iwe hivi: His Excellency, Professor, Dr, Retired President, Colonel Kikwete.
Unakumbuka His Excellency, President for Life, Field Marshal Alhaji Doctor Idi Amin Dada, VC, DSO, MC, CBE, Lord of All the Beasts of the Earth and Fishes of the Seas and Conqueror of the British Empire in Africa in General and Uganda in Particular, Uncrowned King of Scotland and Professor of Geography.
Waswahili kwa title hatujambo; leo hii mke wangu akijifungua mtoto tukamwita Mchwa, basi itabidi nipewe title kuonyesha kuwa nina mtotot anaitwa Mchwa kwa kuitwa ya Baba Mchwa!
Bandari ya bagamoyo, hata ndungai ilikuwa mbioni?View attachment 2200651
View attachment 2200653
View attachment 2200654
Je Wachina walikuwa wanatafuta kitu gani hapa ? ? ? Maisha yangu yote ya academia sijawahi kusikia kitu kinaitwa honorary professorship!
View attachment 2200651
View attachment 2200653
View attachment 2200654
Je Wachina walikuwa wanatafuta kitu gani hapa ? ? ? Maisha yangu yote ya academia sijawahi kusikia kitu kinaitwa honorary professorship!
View attachment 2200651
View attachment 2200653
View attachment 2200654
Je Wachina walikuwa wanatafuta kitu gani hapa ? ? ? Maisha yangu yote ya academia sijawahi kusikia kitu kinaitwa honorary professorship!
Inawezekana hata M7 na Uhuru wanatunukiwa vingi tu... lakini Tanzania ndo nchi ambayo title inashikiwa bango kuliko hata uwezo wa mhusika.Hiyo Dokta yenyewe nakumbuka alipewa kimagumashi kwelikweli na kichuo ka uchochoroni kutoka huko magharibi. Hawa watu wanawadharau sana watu weusi, hasa kutoka Afrika.
Samahani, naondoa hilo la watu weusi, na kutoka Afrika. Sijasikia M7 au Uhuru Kenyatta, au mwingine yeyote katika nchi zinazotuzunguka. Naona huu uchizi ni waTanzania pekee ndio wanaoupewa.