Leo niko huku kidogo.
Angalizo !
Kama uzi utakuwa una fanana au umeshawahi kuwekwa humu,ni aula nikakuzwa.
Sina kumbukumbu vizuri,ila nakumbuka ulikuwa uzi fulani unahusu "Cloning" (Nitasahihishwa juu ya anuani ya uzi husika) katika jukwaa la "Jamii Intelligence", nilijitutumua sana siku hiyo,huku kichwani nina mawazo ya kuwa humu kuna vichwa balaa na wako makini sana na ukikosea lazima uwekwe sawa,papo hapo. Hiyo siku nilikuwa makini sana,yaani nilikuwa naandika huku nafuta futa mara kadhaa. Uoga ulinijaa sana siku ile,nahisi ilikuwa ni sababu ya ugeni na kasumba iliyokuwepo kichwani mwangu.
Angalizo !
Kama uzi utakuwa una fanana au umeshawahi kuwekwa humu,ni aula nikakuzwa.
Sina kumbukumbu vizuri,ila nakumbuka ulikuwa uzi fulani unahusu "Cloning" (Nitasahihishwa juu ya anuani ya uzi husika) katika jukwaa la "Jamii Intelligence", nilijitutumua sana siku hiyo,huku kichwani nina mawazo ya kuwa humu kuna vichwa balaa na wako makini sana na ukikosea lazima uwekwe sawa,papo hapo. Hiyo siku nilikuwa makini sana,yaani nilikuwa naandika huku nafuta futa mara kadhaa. Uoga ulinijaa sana siku ile,nahisi ilikuwa ni sababu ya ugeni na kasumba iliyokuwepo kichwani mwangu.