Ilikuwaje siku ya kwanza unachangia jambo humu jf ?

Ilikuwaje siku ya kwanza unachangia jambo humu jf ?

Daaaahhh, sikumbuki aisee jinsi nilivyoanza kuchangia.

Ninachokumbuka tu ni kuwa baada ya kujua ili niwe Expert member lazima niwe na post 250, ndio nikaanza kuchangia kila uzi ili nifikishe hizo posts
Hahahahahaha
Ulijua mengi saana
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mimi niliwahi kutongozwa PM alidhani mimi ni Ke
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hapo ulipatikana
 
Nakumbuka nlivyochangia mada, wengine wakaanza tania mtu uko toka 2014, first comment 2019 [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Bila shaka ulipoteza vitendea kazi(PC, simu janja) au ulisahau nywila.

Kwa muda huo wote ushindwe kupost hata kidogo, kweli....?
 
Sijaona cha ajabu japo nljua wengi ni ma great thinker kumbe great sinker
 
Back
Top Bottom